zelensky

Zelensky is a Slavic masculine surname.
Its Polish version is Żeleński (masculine) or Żeleńska (feminine).
Its Russian version (Russian: Зеленский) is romanized Zelenski, Zelenskii, Zelenskiy, or Zelensky, and originates from the toponym Zelyonoe, meaning “green”; its feminine counterpart is Zelenskaya or Zelenskaia.
Its Ukrainian version (Ukrainian: Зеленський) is romanized Zelenskyi, Zelensky, or Zelenskyy. The feminine (Ukrainian: Зеленська) is Zelenska.
the Lithuanized version is Zelenskis.
Notable people with the surname include:

Aleksei Zelensky (born 1971), Russian luger
Elena Zelenskaya (born 1961), Russian opera soprano
Igor Zelensky, Russian ballet dancer
Isaak Zelensky (1890–1938), Russian politician
Varvara Zelenskaya (born 1972), Russian alpine ski racer
Volodymyr Zelensky (born 1978), Ukrainian politician and incumbent President of Ukraine, formerly a screenwriter, actor and studio director
Władysław Żeleński (disambiguation), multiple people
Żeleński noble family
Count Tadeusz Josef Żeleński
Countess Ewa Theresa Żeleńska Korab-Karpinska
Countess Sarah Elżbieta Philimina Korab-Karpinska Żeleńska Eagan

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Zelensky akutana na waislamu na kusema lazima Crimea irudi Ukraine

    Kwenye misosi ya futar, amesema kwa vyovyote vile lazima Crimea irudi...... Natumai maustadhi wa humu mtapunguza chuki dhidi ya Ukraine kisa chuki zenu kwa Marekani. The Ukrainian president hosted an Iftar with Muslim officials, including the Crimea's Tatars. Meanwhile, Kyiv said it will resume...
  2. MK254

    Rais Zelenskyy amualika Rais Xi Jinping aje Kyiv

    Hii ni baada ya China kukatalia mbali ombi la kuipa Urusi msaada wa silaha, ombi lilikataliwa juzi pale rais wa Uchina alitembelea Urusi. --- Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said on Wednesday that he had invited Chinese President Xi Jinping to visit his country. "We are ready to see...
  3. BARD AI

    Spika wa Bunge la Marekani akataa mwaliko wa Zelensky kutembelea Ukraine

    SPIKA wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy amekataa mwaliko wa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy wa kuzuru taifa hilo, CNN imeripoti. Licha ya changamoto za kivita wanazokutana nazo Ukraine kutoka kwa Mrusi, ambazo kimsingi McCarthy alitakiwa kwenda kuziona, kiongozi huyo amesema hana haja...
  4. HERY HERNHO

    Hali tete Ukraine waanza kutumia vikongwe na watoto. Wagner Group yamtaka Zelensky atangaze kuipoteza Bakhmut maana hali ni tete

    Mkuu wa kampuni ya masuala ya kijeshi nchini Urusi, Wagner Group, amesema wapiganaji wake wameuzunguka mji wa Bakhmut mashariki mwa Ukraine, ambao Urusi imekuwa ikijaribu kuutwaa kwa miezi kadhaa sasa. Kufikia asubuhi ya Ijumaa (Machi 3), Yevgeny Prigozhin alisema sehemu pekee ambayo haikuwa...
  5. HERY HERNHO

    Zelensky aapa Ukraine kuishinda Urusi

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine ameapa kwamba mwaka huu wa 2023 utakuwa mwaka wa ushindi dhidi ya uvamizi wa Urusi, huku Muungano wa Kijeshi wa NATO ukisema dhamira yake ya kuiunga mkono Ukraine iko imara. Rais Zelensky ametumia hotuba yake ya kukumbuka mwaka mmoja wa uvamizi wa Urusi dhidi...
  6. MK254

    Museveni na Zelensky wa Ukraine wafanya mazungumzo, Urusi kuendelea kutengwa

    Sijajua kwanini Urusi ilikua inamshobokea sana Museveni hadi kutuma viongozi kwake, hata hivyo hali imebadilika, Museveni na Zelensky waingia kwenye makubaliano. ======== President Yoweri Museveni and his Ukraine counterpart, Volodymyr Oleksandrovych Zelensky, on Wednesday evening spoke to...
  7. Webabu

    Zelensky wa Ukraine alia tena, asifu ujasiri wa watu wake

    Kwa mara nyingine Urusi imeendelea kupiga maeneo mbali mbali ya Ukraine ambapo jengo moja la ghorofa 9 limeporomoshwa huko Oblast ya Kherson. Katika hotuba yake ya usiku wa jana raisi Zelensky wa Ukraine amesifu uzalendo wa wananchi wake ambao wameshiriki katika shughuli ya uokoaji wa wahanga...
  8. MK254

    Urusi yang'aka kuhusu ziara ya Zelensky kule USA

    Sasa sijui wanalia nini, kwani rais wa Ukarine hana uhuru wa kufanya ziara ya nchi nyingine aitakayo??? Subirini mfumo wa Patriot usimikwe vizuri ili show iendelee... The Kremlin said that nothing good would come from Ukrainian President Volodymyr Zelensky's trip to Washington on Wednesday...
  9. Webabu

    Zelensky aitembelea au akimbilia Marekani?

    Kwa mara ya mwanzo tangu vita vianze raisi Zelensky wa Ukraine ameondoka nchini mwake kuelekea Washington ili kukutana na Rais Biden. Huku safari ikiwa imeiva nchi nzima ilisikika ving'ora vikiashiria makombora yanayotembea angani kutafuta shabaha zake. Hapo jana kwa mara ya tatu katika wiki...
  10. MK254

    Zelensky atembelea eneo lililokuwa limekaliwa na Warusi tangu 2014

    Safari ya kufika Crimea bado iko pale pale, Zelensky ametembela eneo la Sloviansk ambalo lilikua limekaliwa na Warusi tangu 2014 na sasa lipo mikononi mwa wazalendo wa Ukraine. Vita kwa sasa vimechacha Bakhmut ambapo wanajeshi wa Urusi wameshindwa kiasi cha kupeleka makundi ya kulipwa ya...
  11. green rajab

    Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

    Russia imerusha kombora na kutua Poland Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported. Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki has called an emergency meeting of...
  12. MK254

    Kuna mliotuaminisha kwa Urusi kukimbia Kherson ni mtego, haya Rais Zelensky afanya ziara Kherson

    Haya tuone kama rais atanasa kwenye mtego wenu, mlisema Urusi ametoroka ili kuwavuta Ukraina waingie kichwa kichwa kwenye mtego, fanyeni sasa. Nakumbuka hata wakati Warusi wanaikimbia Kyev mlisema ni mtego fulani hivi...hii mitego lini itanasa, maana kila Mrusi akitoroka sehemu mnasema mtego...
  13. M

    Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

    Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama...
  14. Webabu

    Waukraine watakiwa wachaji simu zao mapema wakati Berluscon amlaumu Zelensky

    Shirika la umeme la Ukraine ,Ukrenergo limewataka wateja wake wawe wakichaji simu zao mapema na tochi kwani hali ya upatikanaji wa umeme imezidi kuwa mbaya huku hofu ya kushambuliwa zaidi kwa vinu vya umeme kutoka majeshi ya Urusi ikiongezeka. Katika nasaha zake katika kipindi hiki cha baridi...
  15. Webabu

    Zelensky anaposifia silaha za Marekani hana nia nzuri na dunia

    Kila siku raisi wa Ukraine anapotaka kujisifu kuwa amekomboa eneo au tuseme anapopiga propaganda za vita hawachi kusifu silaha fulani aliyopokea karibuni kutoka Marekani au kwa washirika wake. Na anaponyimwa chochote na nchi hizo hawachi kutoa lawama za wazi wazi na vitisho kwa taifa hilo kwa...
  16. S

    Zelensky na Pro-NATO walisherehekea kupewa na Putin sq km 6,000 (4.8%), sasa wapoteza rasmi sq km 119,000 (95.2%)

    Zelensky na Pro-NATO akili zao wanazijua wao wenyewe aisee...Eti walisherehekea kupewa kifuta jasho cha kilomita za mraba 6,000 sawa na asilimia 4.8 tu, toka kwa kilomita za mraba 125,000 zilizokuwa zimekaliwa na Urusi (kwa maneno mengine Urusi imebakia na asilimia 95.2 ya eneo hilo). Sasa...
  17. 5

    Zelensky awaonya wanajeshi wa Urusi kujisalimisha

    Hali imebadilika mwanzo wa hii operation Urusi ndio wakiionya Ukrain wanajeshi wake kujisalimisha lakini baada ya miezi 7 sasa Rais wa Ukrean Zelensky amekuja na kauli hii yeye kuwaambia wanajeshi wa Urusi wajisalimishe na hii ni baada ya Ukrean kufanikiwa kurejesha maeneo yake karibu kilimita...
  18. MK254

    Zelensky azuru mojawapo wa miji iliyokombolewa

    Vijana wazidi kuikomboa nchi yao huku rais akifanya ziara kwenye miji iliyokombolewa. Mpaka sasa Urusi wanaendelea kushikilia kwamba hamna mji uliokombolewa, ila uhalsia wanaendelea kutoka nduki. ======= Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy visited the newly recaptured city of Izyum on...
  19. S

    Ikulu ya Ukraine yalalamika kuwa Urusi imeziangamiza melivita mbili za Ukraine

    Ikulu ya rais Zelensky wa Ukraine inalalamika kuwa Urusi ameziangamiza melivita mbili za jeshi la Ukraine kwa kutumia makombora ya shabaha kali yaliyorushwa toka kwenye ndegevita za Urusi. Ndege hizo zilishambulia zikiwa kwenye kijiji cha Novofedorivka huko Crimea. Mwambieni Zelensky aache...
  20. S

    Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

    Marekani na Ukraine zinalalamika kuwa Urusi imeikatia Umeme Kyiv toka kwenye mtambo mkubwa wa nyuklia wa kufua umeme uliokuwa mali ya Ukraine kabla ya kuanza vita vya Ukraine. Mtambo huonwa nyuklia wa Zaporizhzhia ndio mtambo mkubwa zaidi kwa Ulaya nzima, na umo kwenye top 10 ya mitambo mikubwa...
Back
Top Bottom