zelensky

Zelensky is a Slavic masculine surname.
Its Polish version is Żeleński (masculine) or Żeleńska (feminine).
Its Russian version (Russian: Зеленский) is romanized Zelenski, Zelenskii, Zelenskiy, or Zelensky, and originates from the toponym Zelyonoe, meaning “green”; its feminine counterpart is Zelenskaya or Zelenskaia.
Its Ukrainian version (Ukrainian: Зеленський) is romanized Zelenskyi, Zelensky, or Zelenskyy. The feminine (Ukrainian: Зеленська) is Zelenska.
the Lithuanized version is Zelenskis.
Notable people with the surname include:

Aleksei Zelensky (born 1971), Russian luger
Elena Zelenskaya (born 1961), Russian opera soprano
Igor Zelensky, Russian ballet dancer
Isaak Zelensky (1890–1938), Russian politician
Varvara Zelenskaya (born 1972), Russian alpine ski racer
Volodymyr Zelensky (born 1978), Ukrainian politician and incumbent President of Ukraine, formerly a screenwriter, actor and studio director
Władysław Żeleński (disambiguation), multiple people
Żeleński noble family
Count Tadeusz Josef Żeleński
Countess Ewa Theresa Żeleńska Korab-Karpinska
Countess Sarah Elżbieta Philimina Korab-Karpinska Żeleńska Eagan

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Zelensky agomea ombi la Urusi la kusitisha vita, asema hadi Warusi waondoke Ukraine

    Urusi imemtuma rais wa Uturuki aongee na Zelensky watafute mbinu za kumaliza vita, hili limemshangaza sana maana siku zote ndilo lilikua ombi lake, hususan ile siku Urusi ilikua inajaribu kuparamia Kyev kabla kuangukia pua. Asema hadi Urusi iwaondoe wanajeshi wake, ni mwendo wa mapigo tu...
  2. M

    Zelensky sasa anataka dunia yote iwasuse warusi wote. Warusi wote warudi urusi!! Dunia yao iwe urusi!!

    Baada ya kuona vikwazo vya kiuchumi vimeshindwa kumdhibiti Putin, baada ya kuona misaada ya silaha na fedha (kwa sasa zimefikia zaidi ya dola bilioni 65!) zimeshindwa kumfanya Putin aiachie Ukkraine, sana sana anagawa uraia kwa wa-ukraine wa maeneo yaliyotekwa. Sasa Zelensky anaona njia pekee ni...
  3. M

    Kipigo kimenyong'onyea: Zelensky aililia China isaidie kumaliza vita yake na Urusi

    Zile tambo za Zelensky kwamba hataki mazungumzo na Putin kwa kuwa atamshinda kwenye uwanja wa vita naona zimeishiwa pumzi. Kipigo anachokipata kila siku si cha kitoto. Bahasha ya makombora anayopewa ndani ya saa 24 hayapungui makombora 6,500!! Kwa sasa Zelensky anaibembeleza China isaidie...
  4. M

    Bila kumung'unya maneno: Zelensky ameukubali muziki wa Urusi kwenye uwanja wa vita

    Donbass fighting is ‘hell’ – Zelensky The president says Ukrainian forces can’t break Russia’s advantage in artillery and manpower. Ukrainian President Vladimir Zelensky said on Tuesday that the fighting in Donbass was “hell,” claiming that Kiev’s military remained heavily outgunned and even...
  5. MK254

    Rais Zelensky ajitokeza kuwajibu wanaodai yuko mahututi

    Urusi wanaendelea kuchoka hadi wanamzushia huyu dogo, mwanzo walimpa masaa 24 aondoke Ukraine, wakajaribu kuparamia Kyev ili wamuondoe, wakapigwa za uso na kukimbia, leo hali inazidi kushindikana hadi wakaona waanzishe propaganda kwamba kalazwa. "Today, Russia launched more fake news that the...
  6. M

    Shirikisho la Umoja wa kiuchumi wa nchi za Amerika ya Kusini zimemkatalia Zelensky kuhutubia kwenye kikao chao

    Imekuwa ni kawaida ya Rais Zelensky wa Ukraine kuhutubia vikao mbali mbali vya kitaifa na kimataifa katika harakati zake za kutaka kuungwa mkono kuiwekea vikwazo urusi. Jitihada hizo zimeshindwa vibaya kwenye mataifa ya mashariki ya kati, Asia, Amerika ya kusini na Afrika. Alikubaliwa...
  7. Analogia Malenga

    70% ya Waitalia hawataki nchi yao kumsaidia silaha Zelensky

    Wabunge wamemshikia mabango Waziri Mkuu wa Italia, Mario Draghi wakipinga hatua ya kuisaidia Ukraine === Italy Deputies rise up against Mario Draghi “Stop sending weapons to Zelensky! More than 70% of Italians do not want to send weapons to Zelensky,” the deputies say. Mario Draghi is accused...
  8. beth

    Zelensky: Vita ya Urusi imefanya Afrika kuwa "Mateka"

    Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), Rais Volodymyr Zelensky amesema Afrika ni "mateka" katika Vita ya Urusi dhidi ya Taifa lake, kwani kuzuiwa kwa usafirishaji wa Nafaka Ukraine kumepelekea uhaba ambao unaweka Mamilioni ya watu katika hatari ya njaa. Amesema inawezekana Vita inaendelea mbali na...
  9. Webabu

    Baada ya hali kubadilika Biden amsuta Zelensky

    Raisi Biden wa Marekan amemlaumu raisi wa Ukraine kwa kuwa mkaidi na kutosikiliza ushauri wa wakubwa. Anasema alikataa kusikiliza uoni wa kiintelijinsia ya Marekani kwamba Urusi ilikuwa iko karibu kuivamia nchi hiyo. Marekani pia baada vita kuanza iliwahi kumshauri kuwa akimbie nchi na akataa...
  10. 5

    Zelensky: Nina hakika Putin hawezi kutembelea wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine'

    Kwa mara ya pili baada ya wiki mbili, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alitembelea ngome za jeshi kwenye mstari wa mbele - kwanza katika mkoa wa Kharkiv, na sasa katika sehemu hatari zaidi za mkoa wa Donbass na Zaporizhia. Wataalamu wa Ukraine na nje ya nchi wana hakika kwamba, licha ya...
  11. JanguKamaJangu

    Zelensky: Urusi wameshatawala 20% ya eneo la Ukraine

    Rais wa Ukrainee, Volodymyr Zelensky amesema majeshi ya Urusi yanashikilia asilimia 20 ya ardhi ya Ukraine wakati mapigano yakiendelea. Zelensky amesema hayo wakati akihutubia Bunge la Luxembourg kwa njia ya mtandao Juni 2, 2022. Hii ni mara yake ya kwanza kutoa kauli hiyo tangu kuanza kwa...
  12. Webabu

    Donbas itarudi tena kuwa Ukraine-Zelensky

    Rais wa Ukraine ndugu Zelensky katika taarifa zake za leo kwa njia ya mtandao amesema eneo la Donbas litarudi kuwa Ukraine kwa mara nyengine. Hii ina maana eneo hilo ambalo ni muunganiko wa mikoa miwili ya mashariki ya Ukraine limeshaangukia mikononi mwa Urusi baada ya mapigano makali ya wiki...
  13. beth

    Zelensky: Acheni kucheza na Urusi, vikwazo zaidi viwekwe

    Rais Volodymyr Zelensky ameyataka Mataifa ya Magharibi kuacha michezo na kuiwekea Urusi vikwazo vikali ili kumaliza vita, akisisitiza Ukraine itabaki kuwa Nchi Huru Siku za hivi karibuni, Zelensky amekuwa akikosoa vikali Nchi za Magharibi huku Vikosi vya Urusi vikijaribu kudhibiti Miji miwili...
  14. Gama

    President Zelensky mocks Putin’s laser weapon claims

    Ukrainian President Volodymyr Zelensky has poured scorn on Russian claims they are using laser weapons to wage war in his country. The Ukrainian leader mockingly compared them to the so-called wonder weapons of Nazi propaganda which were regularly hailed as the technology that would turn the...
  15. JanguKamaJangu

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema Urusi inatumia silaha dhaifu katika vita

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky anasema Urusi inatumia silaha zisizo na nguvu dhidi ya Nchi yake ni ishara ya kushindwa kwao. Amesema hayo baada Makamu Naibu Waziri Mkuu wa Urusi, Yury Borisov kudaia kuwa wana teknolojia yenye uwezo wa kuangusha ndege zisizo na rubani kwa umbali wa Kilometa...
  16. L

    Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

    Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin) Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts, wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui...
  17. JanguKamaJangu

    Zelensky: Urusi imeshambulia hospitali na vituo vya matibabu

    Imeelezwa kuwa uamuzi wa Urusi kuivamia Ukraine umeharibu hospitali nyingi na vituo vya matibabu hali iliyofanya madaktari kuwa na wakati mgumu katika kufanua huduma zao Hayo yamesemwa na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy ambaye amesisitiza kuwa kuna vituo 400 vimeharibiwa na kuna changamoto...
  18. ward41

    Kwanini inakuwa hivi?

    Inakuwaje kataifa kadogo kama Israel kanakuwa na uchumi mkubwa. Ina maana sisi hatufanyi kazi ISRAEL ECONOMY
  19. ward41

    Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

    Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine. Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia...
  20. Narumu kwetu

    Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

    Ukrainian President Volodymyr Zelensky said the Ukrainian army has already destroyed more than 1,000 Russian tanks, nearly 200 Russian aircraft, and almost 2,500 armored fighting vehicles. Despite these losses, Russian troops still have equipment to launch additional attacks, Zelensky said...
Back
Top Bottom