zimbabwe

Zimbabwe (), officially the Republic of Zimbabwe, is a landlocked country located in Southern Africa, between the Zambezi and Limpopo Rivers, bordered by South Africa to the south, Botswana to the south-west, Zambia to the north, and Mozambique to the east. The capital and largest city is Harare. The second largest city is Bulawayo. A country of roughly 15 million people, Zimbabwe has 16 official languages, with English, Shona, and Ndebele the most common.
Since the 11th century, present-day Zimbabwe has been the site of several organised states and kingdoms such as the Rozvi and Mthwakazi kingdoms, as well as being a major route for migration and trade. The British South Africa Company of Cecil Rhodes first demarcated the present territory during 1890 when they conquered Mashonaland and later in 1893 Matabeleland after a fierce resistance by Matabele people known as the First Matabele War. Company rule ended in 1923 with the establishment of Southern Rhodesia as a self-governing British colony. In 1965, the conservative white minority government unilaterally declared independence as Rhodesia. The state endured international isolation and a 15-year guerrilla war with black nationalist forces; this culminated in a peace agreement that established universal enfranchisement and de jure sovereignty as Zimbabwe in April 1980. Zimbabwe then joined the Commonwealth of Nations, from which it was suspended in 2002 for breaches of international law by its then-government under Robert Mugabe, and from which it withdrew in December 2003. The sovereign state is a member of the United Nations, the Southern African Development Community (SADC), the African Union (AU), and the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA). It was once known as the "Jewel of Africa" for its great prosperity.Robert Mugabe became Prime Minister of Zimbabwe in 1980, when his ZANU–PF party won the elections following the end of white minority rule; he was the President of Zimbabwe from 1987 until his resignation in 2017. Under Mugabe's authoritarian regime, the state security apparatus dominated the country and was responsible for widespread human rights violations. The country has been in economic decline since the 1990s, experiencing several crashes and hyperinflation along the way.
On 15 November 2017, in the wake of over a year of protests against his government as well as Zimbabwe's rapidly declining economy, Mugabe was placed under house arrest by the country's national army in a coup d'état and eventually resigned six days later. Emmerson Mnangagwa has since served as Zimbabwe's president.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    UTEUZI: Susan Kaganda Balozi mpya wa Tanzania - Zimbabwe, Prof. Sanga apewa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.amefanya uteuzi wa viongozi watatu. Ambapo katika uteuzi huo ameweza kumpangia kituo cha kazi Suzan Kaganda kwenda Nchini Zimbabwe. Hi hapa taarifa ya ikulu👎
  2. Damaso

    Zimbabwe no way out

    This is happening in Zimbabwe 🇿🇼
  3. Yoda

    USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

    Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
  4. ChoiceVariable

    Hatimaye Uchumi wa Zimbabwe Waanza Kukua tena Baada ya Wazungu Kurejeshewa Mashamba Waliyoporwa na Uwekezaji wa Migodi

    My Take Hili liwe funzo Kwa Afrika Kusini maana mtu mweusi hakuna kitu anakiweza zaidi ya uharibifu Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia https://youtu.be/F9GD9DgC-mM?feature=shared Soma zaidi hapa Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia...
  5. Ojuolegbha

    Rais Dkt. Samia awasili Harare Zimbabwe

    Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo...
  6. Waufukweni

    Rais Samia kuelekea Zimbabwe kushiriki Mkutano wa dharura wa SADC kujadili Usalama DRC

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho tarehe 31 Januari, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Akiwa nchini...
  7. A

    Tujikumbushe hoja za Mugabe dhidi ya Wakoloni kutoka Uingereza

  8. R

    Huu ni mtindo wa kuunganisha kenchi kutumia vyuma kama hawa mafundi huko Zimbabwe unatumika sana hapa?

    Hawa ni mafundi wanatayarisha kenchi kwa kutumia "truss plates" huko Zimbabwe kijijini.
  9. Logikos

    Jinsi Mpigania Uhuru, Wafanyabiashara wawili, DJ na Mmiliki Bar walivyofanikisha mwaliko wa Bob Marley nchini Zimbabwe kwenye Hafla ya Uhuru 1980

    Ilichukua mzalendo, mpigania uhuru asiye na woga na katibu mkuu wa Zanu-PF kuandaa sherehe za uhuru wa Zimbabwe. Kwa msaada wa wafanyabiashara wawili, mmiliki wa baa na mtangazaji wa redio waliweza kupanga njia ya mwaliko wa Robert Nesta (Bob) Marley. Mkongwe wa kitaifa Cde Edgar Zivanai “Two...
  10. Mtoa Taarifa

    Zimbabwe yafuta rasmi Hukumu ya Kifo baada ya kutotekelezwa kwa miaka 19

    Rais Emmerson Mnangagwa ameidhinisha Sheria inayofuta rasmi adhabu ya Kifo ambayo kama ingeendelea kutekelezwa, ingeondoa uhai wa Wafungwa takriban 60 waliohukumiwa adhabu hiyo. Shirika la Amnesty International limepongeza hatua hiyo na kuielezea kama hatua muhimu katika juhudi za kimataifa...
  11. Judah Tribe

    VIDEO: Mtanzania akimkimbia traffic police Zimbabwe katika harakati za kuingia South Africa

    Watanzania tunatia huruma Sana ukiiona video hii ni aibu we mtu anakimbilia porini hata hajali huko porini atakutana na nini. JIANDAE KUKUTANA NA HAYA KAMA UTAHAMIA NCHI ZA WATU BILA PASIPOTI UTAISHI KAMA DIGI DIGI Papers ni za muhimu Sana kwenye nchi za watu tusihamie kienyeji sana Ona huyu
  12. Ojuolegbha

    Dkt. Mwinyi ahitimisha ziara yake ya kikazi Zimbabwe

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ally Mwinyi amehitimisha ziara yake ya Kikazi nchini Zimbabwe na kuagwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zimbabwe Mhe. Virginia Mabhiza, Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania Mhe. Hellen Bangawe pamoja na viongozi mbalimbali wa...
  13. Yoyo Zhou

    Wafanyabiashara wa Zimbabwe watafuta fursa katika maonesho ya CIIE Shanghai

    Mdau wa biashara wa Zimbabwe amesema Maonesho ya kimataifa ya uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya China CIIE yametoa jukwaa kwa kufungua fursa za kibiashara kwa sekta ya bidhaa za sanaa ya Zimbabwe. Maonesho hayo yaliyofanyika huko Shanghai, mashariki mwa China kuanzia Novemba 5 hadi 10, ni moja...
  14. Mindyou

    Serikali ya Zimbabwe yataka Whatsap Admins kupata leseni na kulipa ada ya laki moja ili kuendesha magroup ya Whatsap

    Wakuu, Serikali ya Zimbabwe imetangaza kwamba Admins wa makundi ya WhatsApp yanayofanya kazi ndani ya mipaka ya nchi hiyo sasa wanatakiwa kusajili na kupata leseni kutoka kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Posta na Mawasiliano ya Zimbabwe (POTRAZ). kwenye mkutano wa POTRAZ wa hivi karibuni...
  15. GoldDhahabu

    Kwanini Watanzania wanahofia kupita Zimbabwe katika safari za Afrika Kusini?

    Sijawahi kufika kwenye hizo nchi, lakini naamini nitafanya hivyo muda si mrefu.Lakini kwa stori za hapa JF, wengi wa wadau wanashauri kutokupita Zimbabwe kwa safari za kwenda Afrika Kusini. Natamani, katika safari yangu, niende kwa ndege, lakini wakati wa kurudi, nitumie usafiri wa usafiri wa...
  16. Abdulrahmanyusuph03

    Wizi wa Dola Milioni 4.4 Ulioitikisa Taifa La Zimbabwe Wiki iliyopita

    Zimbabwe Alhamisi iliyopita, wezi waliiba dola milioni 4.4 kutoka tawi la benki ya Ecobank huko Bulawayo katika tukio ambalo linadaiwa kuwa wizi mkubwa zaidi wa benki katika historia ya Zimbabwe. Uhalifu huu wa ujasiri umekamata fikra za taifa, na vyombo vya habari vya ndani vimejaa maelezo ya...
  17. Mpigania uhuru wa pili

    Uganda itakuja kuwa kama zimbabwe

    Ukiangalia yanayoendelea uganda kupitia mtoto wa museven Muhoozi Kainerugaba ambaye ni CDF ni uwezekano wa uganda kuwa kama zimbabwe kwanini nasema hivi Majuzi ubalozi wa marekani ulitoa tamko juu ya museven kutaka kugombea tena ikimsihi asigombee tena, mtoto wake Muhoozi Kainerugaba akaibuka...
  18. Dear_me_

    Nini kiliwapata Zimbabwe mwaka 2008?

    In 2008, mfumuko wa bei ulifikia viwango vya juu sana, na kusababisha dola ya Zimbabwe kupoteza thamani yake na serikali kuiacha mnamo 2009. Tangu wakati huo, dola ya Marekani na sarafu nyingine za kigeni zimekuwa zikitumika sana katika uchumi. Juhudi walizofanya wakiamini wataweza...
  19. Crocodiletooth

    Starlink yatua Zimbabwe

    Starlink’s high-speed, low-latency internet is now available in Zimbabwe!, latest coverage till now!, below ⏬ -Tanzania tunangoja nini?, at the same time, kwa nini haipo South Africa?,
  20. Tembosa

    FT: AFCON Qualification 2025: Kenya 0-0 Zimbabwe | 06.09.2024

    Duke Abuya Vs Prince Dube. Game On... 33' Mpira unaendelea kwa kasi sana. Duke Abuya kiungo anaubonda sana leo 35' Kenya wanajitahidi kufika kwenye lango la Zimbabwe wanakaa imara pale. 36' Dube anatoa pasi nzuri inaleta shambulio kali kwenye lango la Kenya. Inaokolewa, Kenya wamekoswa koswa...
Back
Top Bottom