zimbabwe

Zimbabwe (), officially the Republic of Zimbabwe, is a landlocked country located in Southern Africa, between the Zambezi and Limpopo Rivers, bordered by South Africa to the south, Botswana to the south-west, Zambia to the north, and Mozambique to the east. The capital and largest city is Harare. The second largest city is Bulawayo. A country of roughly 15 million people, Zimbabwe has 16 official languages, with English, Shona, and Ndebele the most common.
Since the 11th century, present-day Zimbabwe has been the site of several organised states and kingdoms such as the Rozvi and Mthwakazi kingdoms, as well as being a major route for migration and trade. The British South Africa Company of Cecil Rhodes first demarcated the present territory during 1890 when they conquered Mashonaland and later in 1893 Matabeleland after a fierce resistance by Matabele people known as the First Matabele War. Company rule ended in 1923 with the establishment of Southern Rhodesia as a self-governing British colony. In 1965, the conservative white minority government unilaterally declared independence as Rhodesia. The state endured international isolation and a 15-year guerrilla war with black nationalist forces; this culminated in a peace agreement that established universal enfranchisement and de jure sovereignty as Zimbabwe in April 1980. Zimbabwe then joined the Commonwealth of Nations, from which it was suspended in 2002 for breaches of international law by its then-government under Robert Mugabe, and from which it withdrew in December 2003. The sovereign state is a member of the United Nations, the Southern African Development Community (SADC), the African Union (AU), and the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA). It was once known as the "Jewel of Africa" for its great prosperity.Robert Mugabe became Prime Minister of Zimbabwe in 1980, when his ZANU–PF party won the elections following the end of white minority rule; he was the President of Zimbabwe from 1987 until his resignation in 2017. Under Mugabe's authoritarian regime, the state security apparatus dominated the country and was responsible for widespread human rights violations. The country has been in economic decline since the 1990s, experiencing several crashes and hyperinflation along the way.
On 15 November 2017, in the wake of over a year of protests against his government as well as Zimbabwe's rapidly declining economy, Mugabe was placed under house arrest by the country's national army in a coup d'état and eventually resigned six days later. Emmerson Mnangagwa has since served as Zimbabwe's president.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    China yaikabidhi Zimbabwe 'zawadi' ya jengo la Bunge

    Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amesifu uhusiano "bora" na kati ya nchi yake na Uchina alipotoa kwa mara ya kwanza hotuba kwa Taifa katika jengo jipya la Bunge lenye thamani ya mamilioni ya dola ambao China imelitoa kwa taifa hilo kama Zawadi China ilifadhili na kujenga jengo kubwa la Bunge...
  2. BARD AI

    Zimbabwe: Serikali yapitisha sheria ya kuwaadhibu 'wasio wazalendo' kwa nchi

    Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa imeidhinisha sheria iliyolalamikiwa kuwa inalenga kuwanyamazisha wakosoaji wake na kuwabana wanaoshawishi mataifa ya nje kuiwekea vikwazo Serikali yake. Pia, Sheria hiyo iliyopewa jina la Sheria ya Uzalendo, imeharamisha raia wasioidhinishwa kufanya...
  3. L

    Vikwazo dhidi ya Zimbabwe vyapaswa kuondolewa mara moja

    Tarehe 25 Oktoba ni “Siku ya Kupinga Vikwazo” iliyoanzishwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC). Katika maadhimisho ya Siku hiyo, viongozi wa nchi nyingi kwa mara nyingine tena wametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya Zimbabwe. China pia imesisitiza kuwa, Marekani...
  4. Gama

    ugonjwa wa Ndui walipuka Zimbabwe

    WHO wameshtushwa na mlipuko wa ugonjwa wa ndui katika nchi ya Zimbabwe hasa kutokana na idadi ya vifi vilivyosababishwa na mlipuko huo. Mamlaka zimeanza kutoa chanjo dhidi ya ugonjwa huo ===== WHO triggers crisis response to Zimbabwe measles outbreak Isaac Kaledzi, Deutsche Welle - Yesterday...
  5. JanguKamaJangu

    FIFA yamfungia Afisa wa soka Zimbabwe kwa unyanyasaji wa kingono kwa waamuzi wa kike

    Afisa wa Chama cha Soka cha Zimbabwe (Zifa), Obert Zhoya amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka mitano na faini ya Dola 20,300 kwa unyanyasaji wa kingono kwa waamuzi wa kike Adhabu hiyo imetolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) baada ya kumkuta na hatia Zhoya...
  6. S

    Jeshi la Zimbabwe latia fora kwenye International army games iliyohusisha nchi 30 huko Urusi

    Jeshi la Zimbabwe latia fora baada ya kuamua kushiriki International army games huko Urusi inayohusisha nchi 30 duniani. Katika mashindano hayo, kikosi bora cha tanks cha Zimbabwe kimeshindwa kulenga shabaha iliyowekwa, mbali ya kuchukua muda mwingi karibu mara mbili ya muda uliotumiwa na timu...
  7. JanguKamaJangu

    Vifo vya Surua vyafikia 157 Zimbabwe, maambukizi 2000

    Hali ya maambukizi ya Ugonjwa wa Surua Nchini Zimbabwe inazidi kuwa mbaya baada ya vifo kuongezeka mara mbli ya ilivyokuwa ndani ya wiki moja iliyopita, idadi ya waliofariki imefa Watoto 157, huku kukiwa na maambukizi zaidi ya 2,000. Waziri wa Afya wa Zimbabwe, Monica Mutsvangwa takwimu hizo ni...
  8. BigTall

    Mikusanyiko ya kidini yalaumiwa kwa kuenea kwa Surua Zimbabwe

    Wizara ya afya ya Zimbabwe imesema Jumapili kwamba mlipuko wa Surua umeua watoto 80 nchini humo tangu Aprili, wakati ikidai mikusanyiko ya kidini imesababisha kuongezeka kwa maambukizi. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, wizara hiyo katika taarifa imesema kwamba mlipuko huo sasa...
  9. JanguKamaJangu

    Zimbabwe yaruhusu bangi kuuzwa kwenye maduka ya dawa

    Mamlaka ya Kudhibiti Dawa ya Zimbabwe imeruhusu uuzwaji wa bangi katika maduka ya dawa ambapo itakuwa zikitumika kama sehemu ya dawa, ambapo pia wauzaji wa rejereja na jumla waohitaji kufanya biashara nje ya Nchi hiyo kuomba kibali Serikalini. Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato ikiwa ni...
  10. M

    SI KWELI Wananchi wa Zimbabwe huuza vidole ili wajipatie kipato

    Hivi karibuni kulizuka uvumi wa watu kulipa hela nyingi kununua vidole vya miguu nchini Zimbabwe. Je, Ukweli ukoje?
  11. Lycaon pictus

    Hivi hyperinflation, kama iliyotokea Zimbabwe au Venezuela inaweza kutukuta?

    Ile habari ya kubeba pesa kwenye toroli kwenda kununua mikate inaweza kutupata. Maana wanasema inasababishwa na watu kupoteza imani na pesa. Nini linasababisha hilo? Ishu kama ile inaweza kutokea hapa kwetu?
  12. JanguKamaJangu

    Dola ya Marekani kutumika rasmi nchini Zimbabwe baada ya mfumuko wa bei kuwa mkubwa

    Serikali ya Zimbabwe imetangaza mipango wa kutumia Dola ya Marekani kuwa fedha rasmi itakayotumika nchini humo kwa kipindi cha takriban miaka mitano ijayo, kutokana na mfumuko wa bei kupanda kwa kasi. Waziri wa Fedha wa Zimbabwe, Nthuli Ncube ametoa tangazo hilo baada ya mfumuko wa bei kufikia...
  13. Mohamed Said

    Bulawayo, Zimbabwe 1993

    BULAWAYO, ZIMBABWE 1993 Angalia picha hapo chini niko Bulawayo chini ya kibao na nyingine kipo kibao kitupu. Hiyo ambayo nipo chini ya kibao nilipiga Bulawayo mwaka wa 1993 na hiyo nyingine kapiga ndugu yangu mmoja mwaka huu baada ya kuona picha hiyo ya kwanza. Kaniambia anataka nirudishe...
  14. M

    Kama wamasai sio wazawa, mbona Wahehe walitokea Zimbabwe. Huyu Msigwa hana utu na mbaguzi

    Huwezi kubagua watanzania wenzetu kwa historia ya miaka 2000 iliyopita. Huyu ni mbumbu kabisa. Mbona Wahehe walitokea huko kusini mwa Afrika na walevi kama watu wa Zimbabwe mbona hatuwabagui
  15. Kitandu Nkoru

    Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

    Taarifa hiyo kwamba raia wa Zimbabwe wanauza vidole vyao vya miguuni ili kukabiliana na umasikini imesambaa sana nchini Nigeria. Mwanablogu mmoja wa Zimbabwe amedai kwamba biashara hiyo inafanyika katika kituo kimoja cha maduka katika mji mkuu Harare. Inanukuua ujumbe wa WhatsApp ukiwa na...
  16. sky soldier

    Tahadhari: Utapeli wa Zimbabwe wa kubadili mtu aliyelala na mke wa mtu aonekane ana miguu ya ng'ombe na mkia, umefika Tanzania

    Kinachofanyika ni kwamba mtu anafukiwa miguu kwenye shimo ama anaweza kuwa ni kilema hana miguu, wanaiweka miguu ya ng'ombe kwenye suruali halafu kwa namna wanayojua wenyewe inaunganishwa na na kiwili wili. Kuhusu huo mkia unacheza cheza kila mara, kuna mota inafungwa ama kuna uzi umepita...
  17. JanguKamaJangu

    Mfumuko wa bei Nchini Zimbabwe wafikia kiwango cha zaidi ya 130%

    Kiwango cha mfumuko wa bei Nchini Zimbabwe kimeongezeka hadi asilimia 131.7 hadi kufikia Mei, 2022, ikielezwa kuwa athari za vita vya Ukraine zimechangia kuathiri zaidi uchumi ambao tayari ulikuwa umeathirika. Mfumo ulifika asilimia 100 tangu Juni 2021 mbapo mafuta ya kupikia na mikate bei...
  18. L

    Mlinda amani wa Zimbabwe kupokea Tuzo ya Mtetezi wa Jinsia wa Kijeshi ya UM kwa mwaka 2021

    Idara ya Operesheni za Amani imesema mlinda amani wa Zimbabwe atapokea Tuzo ya Umoja wa Mataifa ya Mtetezi wa Jinsia wa Kijeshi ya mwaka 2021. Mwangalizi wa Kijeshi Meja Winnet Zharare mwenye umri wa miaka 39, alifanyakazi Bentiu, Sudan Kusini hadi mwaka 2022 na atapokea tuzo hiyo kutoka kwa...
  19. L

    Zimbabwe yafanya mkutano wa kilele wa tembo kujadili usimamizi wa tembo

    Mkutano wa kilele wa tembo umefunguliwa jana Jumatatu katika mbuga ya wanyamapori ya taifa ya Hwange nchini Zimbabwe, ambapo nchi zinazoshiriki zimetaka kufikia makubaliano kuhusu usimamizi wa tembo na hifadhi ya wanyamapori. Mkutano huo utakaoendelea hadi Mei 26 utakuwa jukwaa la kujadili...
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    Standard Chartered kufunza shughuli zake Zimbabwe, kupunguza huduma Tanzania

    BENKI YA STANDARD CHATERED KUFUNGWA ZIMBABWE,INAPUNGUZA HUDUMA TANZANIA. LONDON, Uingereza - Benki kongwe zaidi ya Zimbabwe ya Standard Chartered imefunga shughuli zake nchini Zimbabwe na nchi nyingine sita za Afrika na Mashariki ya Kati kama inataka kuboresha faida kwa kupunguza mwelekeo wake...
Back
Top Bottom