zimbabwe

Zimbabwe (), officially the Republic of Zimbabwe, is a landlocked country located in Southern Africa, between the Zambezi and Limpopo Rivers, bordered by South Africa to the south, Botswana to the south-west, Zambia to the north, and Mozambique to the east. The capital and largest city is Harare. The second largest city is Bulawayo. A country of roughly 15 million people, Zimbabwe has 16 official languages, with English, Shona, and Ndebele the most common.
Since the 11th century, present-day Zimbabwe has been the site of several organised states and kingdoms such as the Rozvi and Mthwakazi kingdoms, as well as being a major route for migration and trade. The British South Africa Company of Cecil Rhodes first demarcated the present territory during 1890 when they conquered Mashonaland and later in 1893 Matabeleland after a fierce resistance by Matabele people known as the First Matabele War. Company rule ended in 1923 with the establishment of Southern Rhodesia as a self-governing British colony. In 1965, the conservative white minority government unilaterally declared independence as Rhodesia. The state endured international isolation and a 15-year guerrilla war with black nationalist forces; this culminated in a peace agreement that established universal enfranchisement and de jure sovereignty as Zimbabwe in April 1980. Zimbabwe then joined the Commonwealth of Nations, from which it was suspended in 2002 for breaches of international law by its then-government under Robert Mugabe, and from which it withdrew in December 2003. The sovereign state is a member of the United Nations, the Southern African Development Community (SADC), the African Union (AU), and the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA). It was once known as the "Jewel of Africa" for its great prosperity.Robert Mugabe became Prime Minister of Zimbabwe in 1980, when his ZANU–PF party won the elections following the end of white minority rule; he was the President of Zimbabwe from 1987 until his resignation in 2017. Under Mugabe's authoritarian regime, the state security apparatus dominated the country and was responsible for widespread human rights violations. The country has been in economic decline since the 1990s, experiencing several crashes and hyperinflation along the way.
On 15 November 2017, in the wake of over a year of protests against his government as well as Zimbabwe's rapidly declining economy, Mugabe was placed under house arrest by the country's national army in a coup d'état and eventually resigned six days later. Emmerson Mnangagwa has since served as Zimbabwe's president.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Maambukizi ya Kipindupindu yasambaa katika Majimbo 10 Nchini Zimbabwe

    Serikali ya Zimbabwe inaendelea na jitihada za kuzuia kuenea kwa mlipuko wa Ugonjwa wa Kipindupindu licha ya kuwa maambukizi yemesamba katika Majimbo 10 huku kukiwa na ongezeko kubwa zaidi katika majimbo ya Kusini-Mashariki ya Masvingo na Manicaland. Mlipuko wa Kipindupindu umeua zaidi ya watu...
  2. Chachu Ombara

    Zimbabwe: Upinzani wamshutumu Rais Mnangagwa kumteua mwanaye na mpwawe Baraza la Mawaziri

    Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshutumiwa kwa upendeleo baada ya kumteua mwanawe katika baraza jipya la mawaziri kufuatia kuchaguliwa tena kwa uchaguzi wenye utata mwezi uliopita. Bw. Mnangagwa Jumatatu alimtaja mwanawe, David Kudakwashe, kama naibu waziri wa fedha kama sehemu ya mgawo...
  3. Ziroseventytwo

    SI KWELI Tinashe Jonas atangaza mpango wa kufanya mapinduzi nchini Zimbabwe

    Video ya Kushtua ya Wanajeshi imetolewa ikimuonesha Jonas, wa Kamandi Kuu ya Ideal Zimbabwe, anapinga moja kwa moja serikali ya Zimbabwe na Kuomba msaada wa silaha zaidi katika video yake. Jonas Alitangaza Mrengo wake mpya wa Kijeshi mwezi uliopita na watu wengi hawakumchukulia kwa uzito...
  4. BARD AI

    Zimbabwe: Upinzani waitisha Maandamano Nchi nzima kupinga Matokeo ya Uchaguzi

    Kiongozi cha Chama Kikuu cha Upinzani cha Citizens Coalition for Change (CCC), kimetangaza kuchuka hatua hiyo kwa maelezo kuwa Matokeo ya Uchaguzi Mkuu yaliyompa Ushindi Rais Emmerson Mnangagwa ni Batili. Maandamano hayo yatafanyika katika Majimbo 10 huku CCC ikiwaomba Wanaharakati kusambaza...
  5. benzemah

    Rais Samia Ampongeza Emmerson Mnangagwa kwa Kuchaguliwa Kuwa Rais wa Zimbabwe

    Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Rais wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameandika Ujumbe wa kumpongeza Emmerson Manangangwa kwa Kuchaguliwa Kuwa Rais wa Zimbabwe Ameandika "On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I extend my heartfelt...
  6. BARD AI

    Emmerson Mnangagwa atangazwa kushinda tena Urais Zimbabwe

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) imetangaza kuwa Kiongozi huyo aliyeingia Madarakana mara ya kwanza mwaka 2017 kwa kumpindua Robert Mugabe, ametetea Kiti chake kwa 53% ya Kura zilizopigwa. (ZEC) imesema mpinzani mkuu wa Mnangagwa, Nelson Chamisa, anayeongoza chama cha Citizens's...
  7. B

    Uchaguzi Zimbabwe, upinzani Tanzania bado hatujifunzi?

    Uchaguzi wa karibuni kwenye mazingira kama yetu, ni huu wa juzi Zimbabwe. Waangalizi mbali mbali mbali wakiwamo SADC, Carter Center na wengine, wamelazimika kuuita kwa majina yake. Yaani kwa ufupi, wameuona siyo uchaguzi bali ni wizi wa mchana kweupe. Hapa chini ni sampuli za yale matokeo...
  8. BARD AI

    Waangalizi wa Umoja wa Ulaya wadai Uchaguzi wa Zimbabwe sio Huru na Haki

    Kupitia ripoti yao, Waangalizi kutoka Ujumbe wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) wamesema Uchaguzi huo ulikuwa na Uminyaji wa Haki, Ukosefu wa Fursa Sawa na Mazingira Magumu kwa Wapiga Kura. EU EOM imeongeza kuwa kulikuwa na ukamataji wa kutumia nguvu wa Waangalizi 39 wa Mashirika ya Kiraia ambao...
  9. Lady Whistledown

    Zimbabwe: Wapinzani wakamatwa katika kampeni za Uchaguzi Mkuu

    Polisi inawashikilia Wanachama 40 wa Muungano wa Upinzani waliokuwa katika kampeni, Mjini Harare, baada ya kudai kuwa Mkazi mmoja aliripoti usumbufu kutoka kwa Wanachama hao waliokuwa wamefunga barabara kuruhusu misafara yao. Mnamo Mwezi Julai, 2023, Muungano wa Upinzani wa (CCC) uliitaka Tume...
  10. BARD AI

    Putin amzawadia Rais wa Zimbabwe Helikopta

    Rais wa Urusi Vladimir Putin amemzawadia mwenzake wa Zimbabwe helikopta ya Rais, kwa mujibu wa wizara ya habari ya Zimbabwe. Zawadi hiyo itatolewa hivi karibuni, taarifa hiyo iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii imesema. Rais Emmerson Mnangagwa anahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Urusi na Afrika...
  11. JanguKamaJangu

    Zimbabwe: Upinzani waenda Mahakamani kulalamikia ukandamizaji wa Serikali

    Citizens Coalition for Change (CCC) ambacho ni chama kikuu cha upinzani Nchini Zimbabwe kimefikia uamuzi huo kikipinga uamuzi wa Polisi wa kupiga marufuku mkutano wa kisiasa uliopangwa kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 2023. Zuio hilo linahusu kufanya mkutano katika Mji wa...
  12. BARD AI

    Zimbabwe: Bunge lapitisha Muswada wa kuwaadhibu wasio Wazalendo kwa Nchi

    Hatua hiyo imefanywa na Bunge la #Zimbabwe lenye idadi kubwa ya Wabunge wa Chama Tawala (Zanu PF) baada ya kukwama takriban miaka 5, ingawa Watetezi wa Haki za Binadamu wameipinga vikali. Muswada huo uliojadiliwa na kupitishwa kwa siku moja ulianza kutumika kama Sheria tangu mwaka 2018...
  13. carnage21

    Zimbabwe nchi yenye hali mbaya zaidi duniani, Tanzania yashika nafasi ya 99

    Wakati tukiwaza maisha magumu embu tupige magoti tumshukuru Mungu na kuwaombea wenzetu kama zimbabwe, Somalia n.k ambao wanapitia kipindi kigumu cha maisha.Tunalalamika hali ni mbaya ila kuna wenzetu wanataman hata haya maisha tunayoishi sisi. #HABARI Zimbabwe imetajwa kuwa nchi yenye hali...
  14. Justine Marack

    Mjue Maxwell Chikumbutso: Mgunduzi wa Zimbabwe ambaye Marekani imemchukua

    Amegundua TV isiyotumia umeme wa kawaida au solar. Amegundua Generator isiyotumia mafuta. Amegundua Helicopters na Magari ya umeme usio wa kawaida. Alianza kufanya majaribio ya kisayansi tangu mwaka 1997 ambapo alifanikiwa kuunda vifaa kama transmitter na vifaa vingine ambavyo alivipeleka...
  15. BARD AI

    Wabunge wa Uingereza wagomea mwaliko wa Rais Mnagangwa kuhudhuria kusimikwa kwa 'King Charles III'

    Wabunge wa Uingereza wametoa tamko la kumshinikiza Waziri Mkuu, Rishi Sunak kufuta mwaliko wa Rais Emmerson Mnangagwa kushiriki sherehe hizo kwa maelezo kuwa uongozi wake umekuwa ukivunja Haki za Binadamu. Kama mwaliko huo hautafutwa, Mnangagwa atakuwa Rais wa kwanza kuingia jijini London baada...
  16. BARD AI

    Zimbabwe: Msemaji wa Chama cha Upinzani apigwa faini kwa kusambaza taarifa za Uchochezi

    Mahakama Nchini Zimbabwe imemtoza Fadzayi Mahere ambaye ni mwanasheria na mwanachama wa Chama cha Wananchi (CCC), faini ya Dola za Marekani 500 (Tsh. Milioni 1.17) baada ya kumkuta na hatia ya kusambaza taarifa zilizotajwa kuwa ni uongo kupitia Twitter. Mahere alikamatwa miaka miwili iliyopita...
  17. JanguKamaJangu

    Zimbabwe: Wafanyakazi wa Umma waongezewa mshahara kwa 100%

    Serikali imebainisha kuwa lengo la ongezeko hilo ni kurahisisha maisha kwa Wananchi ili wamudu gharama mbalimbali kutokana na mfumuko wa bei ambao umeongezeka kwa 92.3%. Inamaanisha kuwa bei katika maduka imepanda kwa karibu kiwango sawa na nyongeza ya mishahara. Ongezeko la mshahara limeanza...
  18. BARD AI

    Zimbabwe yapiga marufuku usafirishaji nje Madini ya Lithium

    Wizara ya Madini na Maendeleo imesema mauzo yote ya Madini ya Lithiam nje ya Nchi yamesitishwa baada ya Uchunguzi kuonesha kuna upotevu wa Tsh. Trilioni 4.2 kila mwaka kutokana na kuuzwa kama Madini Ghafi badala ya kutengeneza Betri halisi. Lithium inayofahamika kama Dhahabu Nyeupe hutumika...
  19. BARD AI

    Zimbabwe: Mtoto wa Rais Mnangagwa awekewa vikwazo na Serikali ya Marekani

    Idara ya Hazina imetangaza kuwaongeza Wazimbabwe 4 na kampuni 2 zinazohusishwa na mfanyabiashara Kudakwashe Tagwirei na kampuni yake ya Sakunda Holdings, ambao tayari wako kwenye orodha ya vikwazo vya Marekani. Mtoto wa Mnangagwa ametajwa kwenye orodha hiyo baada ya kubainika kuwa ndiye...
  20. Carlos The Jackal

    Mke wa Rais Zimbabwe atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari nchini Urusi

    Mapema leo, akiwa ziarani nchini humu kuimarisha uhusiano katika nyanja ya elimu, utamadan n.k, Bi.Auxillia Mnangagwa alitembelea Chuo Kikuu kijulikanacho kama "Russian State University for the Humanities (RGGU)". Huko kwenu mna Shahada za kimichongo, ujanja ujanja na speed kali! Ni wakati wa...
Back
Top Bottom