zimbabwe

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Standard Chartered kufunza shughuli zake Zimbabwe, kupunguza huduma Tanzania

    BENKI YA STANDARD CHATERED KUFUNGWA ZIMBABWE,INAPUNGUZA HUDUMA TANZANIA. LONDON, Uingereza - Benki kongwe zaidi ya Zimbabwe ya Standard Chartered imefunga shughuli zake nchini Zimbabwe na nchi nyingine sita za Afrika na Mashariki ya Kati kama inataka kuboresha faida kwa kupunguza mwelekeo wake...
  2. beth

    Ajali Zimbabwe: Takriban watu 35 wafariki wakielekea kwenye mkutano wa Pasaka

    Takriban watu 35 wamefariki dunia na wengine 71 kujeruhiwa baada ya Basi lililokuwa limewababa kuelekea kwenye mkusanyiko wa Pasaka kutoka nje ya barabara na kutumbukia kwenye korongo Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, kuna viashiria kuwa basi hilo lilijaa kupita kiasi. Kwa kawaida, Mabasi Nchini...
  3. Victor Inyangala

    The impunity of Uganda politics

    For years Uganda has experienced impunity in her politics since independence to now as many know a leader who ceases power by a coup is not a leader and we have seen so many ruthless counters on opposition leaders.
  4. chizcom

    Raia wa Zimbabwe abuni umeme unaotumia mawimbi ya redio tu

    Ni ngumu sana sisi binadamu pale ukielezwa teknolojia huko mbeleni itakuwa hivi au kitakuwa hivi kwa sababu tujakiona wala kuhamini kipo. Kuna uzi fulani nilishawahi kueleza kuhusu umeme unaojizalisha wenyewe. Lakini ikaonekana kama JOKE na kushambuliwa sana. Kutoka Zimbabwe kwa bwana Maxwell...
  5. MK254

    Kenya, Zimbabwe ink seven pacts to boost investments

    President Uhuru Kenyatta with his visiting Republic of Zimbabwe counterpart, Emmerson Mnangagwa during a press briefing at State House, Nairobi on March 9, 2022. PHOTO | PSCU Kenya has signed seven bilateral agreements with Zimbabwe even as President Uhuru Kenyatta joined the push for the...
  6. Analogia Malenga

    #COVID19 Zimbabwe yarejesha masharti ya kupambana na Corona

    Zimbabwe imerejesha marufuku ya kutotoka nje na karantini za lazima kwa wasafiri wote huku kukiwa na ongezeko la visa vya Covid ili kuzuia kuenea kwa aina mpya ya kirusi cha Omicron. Nchi hiyo imerekodi zaidi ya visa 130,000 vya Covid na takriban vifo 4,700 tangu janga hilo lianze mapema mwaka...
  7. Miss Zomboko

    #COVID19 Rwanda imetangaza kusitisha safari zake za ndege kwenda Afrika Kusini, Zambia na Zimbabwe

    Rwanda imetangaza kusitisha safari zake za ndege kwenda South Africa, Zambia na Zimbabwe na kurejesha masharti ya karantini ya siku 7 kwa wote wanaotoka kwenye Nchi hizi baada ya kirusi kipya hatari cha corona kugundulika South Africa wiki iliyopita.
  8. Jerlamarel

    Zimbabwe Kujenga Interchange Road ya Kwanza Jijini Harare

    Serikali ya Zimbabwe imepata dola milioni 85 kujenga barabara yake ya kwanza ya ubadilishanaji (Interchange Road), Mbudzi Interchange Road jijini Harare. Serikali ilitangaza mipango na usanifu uko katika hatua za mwisho na ujenzi utaanza ndani ya muda mfupi. Viongozi wetu kaeni mkao mzuri...
  9. haha

    Rwanda kuomba walimu Zimbabwe, hii ipoje? Hatuoni sisi nduguze?

    Rais wa Rwanda, Mh Paul Kagame ameomba walimu wengi kutoka Zimbabwe kwenda kuziba nafasi nyingi za walimu wa msingi na sekondari nchini mwake! Hatua hii kiukweli kama wewe ni mwana East Africa lazima uishangae!! Kulikoni walimu wa nchi wanachama waachwe? Kuna Uganda, Kenya and the Giant...
  10. BAK

    Tanzania kuwa kama Zimbabwe kukataa kusign hii UN convention against torture ni jambo la kusikitisha na kushangaza sana

    WHY HASN’T ZIMBABWE ADOPTED THE UN CONVENTION AGAINST TORTURE? – CONSTITUTION WATCH 6 / 2019 By Veritas28 June 2019Analysis and Comment, Democracy, Human Rights, Legislation 2 Introduction 26th June was the International Day in Support of Torture Victims. Yet another 26th June has come and...
  11. beth

    #COVID19 Zimbabwe: Watumishi wa Umma wasiochanjwa wapigwa marufuku kazini

    Serikali ya Zimbabwe imewazuia Watumishi wa Umma ambao hawajapata Chanjo dhidi ya COVID19 kwenda kazini, ikisema walipewa muda wa kutosha kupata chanjo hizo Mamlaka Nchini humo zinasema takriban 90% ya watu wanaolazwa Hospitali kwasababu ya Virusi vya Corona hawajapata chanjo. Wastani wa visa...
  12. Sam Gidori

    #COVID19 Zimbabwe: Wafanyakazi wote wa Serikali watakiwa kupata chanjo, la sivyo wajiuzulu

    Wafanyakazi wa Serikali nchini Zimbabwe wametakiwa kupata chanjo ya COVID-19, vinginevyo wametakiwa kujiuzulu. Waziri wa Katiba wa Nchi hiyo, Ziyambi Ziyambi amekiambia kituo cha Redio cha Kibinafsi nchini humo, ZiFM Stereo, kuwa Wafanyakazi wa Umma wana wajibu wa kuwalinda wengine dhidi ya...
  13. M

    Mfahamu billionea wa kwanza Mweusi Uingereza mwenye asili ya Zimbabwe

    Inakuwaje wanajamvi! Strive Masiyiwa ametangazwa kuwa billionaire wa kwanza mweusi Uingereza. Ana asili ya Zimbabwe na kujishughulisha na biashara ya Telecom. Masiyiwa pia ni mjumbe wa bodi wa Netflix na Uniliver. Ana mkono wa kutoa sana kwa Africa. Na amejihusisha sana kugawa chanjo za Covid...
  14. WilsonKaisary

    WHO na kesi dhidi ya mila za Rwanda za kuongeza Kisimi

    VITA YA ‘WHO’ DHIDI YA RWANDA NA TAMADUNI YAO YA KUKUZA VISIMI KWA WANAWAKE. Nchini Rwanda na Burundi na baadhi ya nchi kama Zimbabwe, kuna mila ya wanawake au wasichana kuchua visimi (Labia minora) kwa mtindo wa kikuvuta mbele ili kiwe kirefu. Mila hii ni maarufu na kubwa sana nchi Rwanda...
Back
Top Bottom