1,500,000/= nashida na kiasi hicho cha fedha kama dharura narudisha ndani ya miezi sita(6)

AHMARDZ

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
790
Reaction score
677
Nashida na 1,500,000/= tshs narudisha 1,890,000/= tshs kwa miezi sita.

Tuwasiliane: ahmardz@gmail.com

Niko serious na dharura kidogo au mwenywe kujua microfinance yoyote ambayo mtu anaweza nielekeza karibu.

Nakazi nimeajiriwa na mshahara sio chini ya 500,000 yani zaidi nakuendelea.
 
Nenda CRDB bank

DJ sepetu
mkubwa tatizo la bank nitambiwa niwe na account na mimi mwajiri wangu awezi kupeleka hela njee ya bank nyinigne zaidi ya exim bank. na nimetaka mkopo kwenye hizi micro finance sio bank. bank mapozi mengi
 
Hujajiunga na saccos yeyote mkuu?
 
Mkuu hela zipo,tatizo ww umepanga riba na muda...! Riba na muda anapanga mwenye hela...! Hiyo unayotaka,riba ni 750,000/=kwa mwezi. Km upo tayari nipm...!

Sent using Jamii Forums mobile app
mmmh hio ni unyonyaji okay nataka 1,500,000 nipe taratibu zako na riba yako ila muda nipe wakutosha ili niwe comfortable kukulipa mfano marejesho ya kila mwezi hadi kukulipa hela zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…