1,500,000/= nashida na kiasi hicho cha fedha kama dharura narudisha ndani ya miezi sita(6)

1,500,000/= nashida na kiasi hicho cha fedha kama dharura narudisha ndani ya miezi sita(6)

Jaribu kwa hawa watu kaka, Micro Trust Finance Limited. Wapo opposite na kanisa la Kakobe pale Lufungira Mwenge/Mlimani City. Shuka kituo cha magari cha Lufungira upande kama unatoka Ubungo kisha rudi nyuma na service road kuelekea Mlimani City, kuna Flem za maduka nyingi upande wako wa kulia mwisho wa zile frem utaona kuna kizuizi cha kunyanyua na bango lao ingia hapo au uliza utaoneshwa office yao ipo hapo nyuma ya flemu hizo. piga mobile 0755511672 au mezani 0222773218
poa ngoja nifanyie kazi nikikwama nakufamisha]
 
Jaribu kwa hawa watu kaka, Micro Trust Finance Limited. Wapo opposite na kanisa la Kakobe pale Lufungira Mwenge/Mlimani City. Shuka kituo cha magari cha Lufungira upande kama unatoka Ubungo kisha rudi nyuma na service road kuelekea Mlimani City, kuna Flem za maduka nyingi upande wako wa kulia mwisho wa zile frem utaona kuna kizuizi cha kunyanyua na bango lao ingia hapo au uliza utaoneshwa office yao ipo hapo nyuma ya flemu hizo. piga mobile 0755511672 au mezani 0222773218
namba hazipatikani boss
 
okay, Update nimecheki na Kfiance je ni wazuri hawa jamaaa au? kuna mtu yoyote anae wajua?
 
r = [(1,890,000 - 1,500,000)/ 1,500,000 ] x 100%
r = 390,000/ 1,500,000 x 100%
r = 0.26 x 100%
r = 26%
Monthly rate = 26%/6 months
Monthly rate = 4.33% (Simple Interest)

Monthly Deduction

= Tshs1,890,000/6
= Tshs 315,000
nime wapata watu wa k-finance wao ni 5%
so ni 1,950,000/=
325,000/=
 
Nenda kaweke bondi gari bahari motors, pale utapata mkopo hata wa miaka 10.
 
Dah,
Ndio nashtukia now kumbe ulikua uzi wa Promo,
wapo utakaowapata lakini
hapa siko kwajili ya promo sifanyani kazi huko hizo reasearch yangu nimefanya nimepata hapo, so nimeshare sidhani kama vibaya, kuna sehemu nilikua nachukua zamani ila kwa sasa siwezi koz nimemkopea rafiki yangu ni EFL wako mapambano so kama napiga promo siwezi kupiga huku na kule. ila nashukuru nimepata pakuanzia kupitia hapa
 
ASANTENI WADAU KWA MAONI yenu mazuri na nimefanyia kazi, kuna mdau anaitwa Bill kanipa namba za mkurugenzi aise jamaa anaelezea vizuri saana na nimuelewa amesema ana nisaidia mungu akipenda napata soon mkopo, na jamaaa wao ni 4.5% interest yao alafu jamaa wana maixum time ni mwaka mmoja which kwangu imekaa vizuri. BILL madau asante saana.
 
Back
Top Bottom