king salaza
Member
- Jan 29, 2017
- 80
- 65
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mimi huwa nakopesha km mtu binafsi,sijasajiliwa kufanyabiashara ya pesa km taasisi zingine za fedha. Siwezi kuweka mfumo wa marejesho ya muda mrefu. Me nikikupa pesa ni ya mwezi mmoja na riba ni nusu yake..! Taratibu zetu ukitaka hela kuanzia milioni,dhamana ni pikipiki,gari,nyumba nk. Tunaandikishana,kwa mfano unakopa milioni,kwenye maandishi utasema umekopa kwangu milioni na nusu na utairudisha km ilivyo tarehe......! Utaniachia kadi original au hati ya kiwanja au nyumba. Kwa tunaofahamiana,akipiga hata simu tu,mzigo anaupata..!! Kwa mgeni km ww taratibu zipo hivyo mkuu...!!mmmh hio ni unyonyaji okay nataka 1,500,000 nipe taratibu zako na riba yako ila muda nipe wakutosha ili niwe comfortable kukulipa mfano marejesho ya kila mwezi hadi kukulipa hela zote
okay asante kwa kuweka wazi yani umenielewesha vizuri, ila kwa wewe inge faa naanza na hela ndogo kadiri tunavyoenda naongeza kidogo kidogo hadi kuaminiana nafikia uko bila masharti magumu. ila kwa sasa na dharura ya kiasi hicho na riba yako iko juu na muda utoi mrefu naelewa hapoMkuu Mimi huwa nakopesha km mtu binafsi,sijasajiliwa kufanyabiashara ya pesa km taasisi zingine za fedha. Siwezi kuweka mfumo wa marejesho ya muda mrefu. Me nikikupa pesa ni ya mwezi mmoja na riba ni nusu yake..! Taratibu zetu ukitaka hela kuanzia milioni,dhamana ni pikipiki,gari,nyumba nk. Tunaandikishana,kwa mfano unakopa milioni,kwenye maandishi utasema umekopa kwangu milioni na nusu na utairudisha km ilivyo tarehe......! Utaniachia kadi original au hati ya kiwanja au nyumba. Kwa tunaofahamiana,akipiga hata simu tu,mzigo anaupata..!! Kwa mgeni km ww taratibu zipo hivyo mkuu...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mifumo ya bank inawasiliana,crdb watakata hela kutoka kwenye account yako ya exim..we kakopemkubwa tatizo la bank nitambiwa niwe na account na mimi mwajiri wangu awezi kupeleka hela njee ya bank nyinigne zaidi ya exim bank. na nimetaka mkopo kwenye hizi micro finance sio bank. bank mapozi mengi
Ndonasikia kwako..kaka nimesha jaribu hio kitu, standing order sijui ndo wanaita ila wamesema hapa wanachotaka hela ipitie kwao kama mshahara
Ndo hivyo mkuu,pole sana! Biashara yenyewe ya pesa ngumu sana mkuu,mwingine ukishamkopesha akishindwa kulipa anajidai anajua sheria. Wakati anakuja anakuwa mpole sana. Ndo maana tunajitahidi kuweka masharti ambayo hayatatuletea shida...!! Pole sana mkuu.okay asante kwa kuweka wazi yani umenielewesha vizuri, ila kwa wewe inge faa naanza na hela ndogo kadiri tunavyoenda naongeza kidogo kidogo hadi kuaminiana nafikia uko bila masharti magumu. ila kwa sasa na dharura ya kiasi hicho na riba yako iko juu na muda utoi mrefu naelewa hapo
r = [(1,890,000 - 1,500,000)/ 1,500,000 ] x 100%Nashida na 1,500,000/= tshs narudisha 1,890,000/= tshs kwa miezi sita.
Tuwasiliane: ahmardz@gmail.com
Niko serious na dharura kidogo au mwenywe kujua microfinance yoyote ambayo mtu anaweza nielekeza karibu.
Nakazi nimeajiriwa na mshahara sio chini ya 500,000 yani zaidi nakuendelea.
No sinanisaidie basi mwana wewe una mwana?
Mtoa mada usijaribu kukopa hela Bayport kamwe. Hao ni zaidi ya wanyonyaji, usithubutu ndugu, ni bora ubaki na shida yako hivyo hivyo kuliko kukopa huko BayportNenda Bayport. 24 hrs ushapata chako.