$1.6B biggest resort in East and Central Africa in Zanzibar

$1.6B biggest resort in East and Central Africa in Zanzibar

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Ujenzi wa resort ijulikanayo kama amber resort umeanza kisiwani Zanzibar. Itakuwa na underwater restaurant, private islands pia na villas ndani ya bahari na kiwanja cha ndege. Ujenzi kukamilika 2020. Contractors ni MCC kutoka China. Kiukweli Zanzibar itakuwa kama Dubai ndani ya muda mfupi.
amber_resort.jpg
Zanzibar-Amber-Resort-3.jpg
ZANZIBAR-AMBER.jpg
res8.jpg
images-112.jpeg
images-117.jpeg
DSC_0827.jpeg
DSC_0825.jpeg
ZAR_CGI_SK0010_PRELIM1-1.jpg
res10.jpg
Zanzibar4.jpg
130973.jpg
res12.jpg
DSC_0821.jpeg
16_JAN12_CG_WEB3.jpg
DSC_0805-1.jpeg
DSC_0808.jpeg
Screenshot_2017-07-17-05-34-40.png
Screenshot_2017-07-17-05-34-54.png
Screenshot_2017-07-17-05-36-15.png
 
Hii itakuwa si mchezo, naona hata mzee Bakhresa kawekeza huko sana
 
Tatizo nyie ni wale wale, hata mrushe rushe mapicha kwenye mitandao mnabaki pale pale maana hata yale mliyo nayo bado hamjatumia.
Inawezekana mkaingizwa kwenye kumbukumbu za UNESCO kama nchi yenye utajiri mwingi lakini maskini wa kutupwa

Mna mlima mrefu Africa, mti mrefu Africa, nimeona sehemu kuwa mna jiwe kubwa Africa, mbuga za wanyama zaidi ya nchi zote Africa, madini ya kila aina, simba anayenyonyesha chui, gesi lakini bado ni maskini wakutupwa
 
Daah ebwana nimeisoma fresh, ila Dah hii kitu si mchezo ile ya baresa ni Mtoto
 
Tatizo nyie ni wale wale, hata mrushe rushe mapicha kwenye mitandao mnabaki pale pale maana hata yale mliyo nayo bado hamjatumia.
Inawezekana mkaingizwa kwenye kumbukumbu za UNESCO kama nchi yenye utajiri mwingi lakini maskini wa kutupwa

Mna mlima mrefu Africa, mti mrefu Africa, nimeona sehemu kuwa mna jiwe kubwa Africa, mbuga za wanyama zaidi ya nchi zote Africa, madini ya kila aina, simba anayenyonyesha chui, gesi lakini bado ni maskini wakutupwa
Nafikiri unaelewa tulipo na tunapoelekea it's a matter of time.
 
Mkuu imekuuma sana. Punguza hasira na hii. Huyu ni contractor wakutengeneza golf course hapo amber resort. Kaisha kula contract nae yupo kazini. Taratibu mtatuelewa. Nikiludi nakuongezea nyingine
Screenshot_2017-07-17-05-50-14.png
Screenshot_2017-07-17-05-50-24.png
Tatizo nyie ni wale wale, hata mrushe rushe mapicha kwenye mitandao mnabaki pale pale maana hata yale mliyo nayo bado hamjatumia.
Inawezekana mkaingizwa kwenye kumbukumbu za UNESCO kama nchi yenye utajiri mwingi lakini maskini wa kutupwa

Mna mlima mrefu Africa, mti mrefu Africa, nimeona sehemu kuwa mna jiwe kubwa Africa, mbuga za wanyama zaidi ya nchi zote Africa, madini ya kila aina, simba anayenyonyesha chui, gesi lakini bado ni maskini wakutupwa
 
I think these people havent heard about lapsset yet .....anyway until its on the ground hii ni bagamoyo nyingine

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kinachonifadhaisha ni pale mimi huona makaazi ya watu wa Zanzibar. huwa nashindwa kwanini wako na white sandy beaches na hoteli nzuri nzuri kabisa duniani ilhali ni wageni tu wanaojinufaisha pekee. lakini ukiangalia maisha ya mZanzibari, utaishia kusikitika
Photo0147.jpg
 
Tatizo nyie ni wale wale, hata mrushe rushe mapicha kwenye mitandao mnabaki pale pale maana hata yale mliyo nayo bado hamjatumia.
Inawezekana mkaingizwa kwenye kumbukumbu za UNESCO kama nchi yenye utajiri mwingi lakini maskini wa kutupwa

Mna mlima mrefu Africa, mti mrefu Africa, nimeona sehemu kuwa mna jiwe kubwa Africa, mbuga za wanyama zaidi ya nchi zote Africa, madini ya kila aina, simba anayenyonyesha chui, gesi lakini bado ni maskini wakutupwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Tatizo nyie ni wale wale, hata mrushe rushe mapicha kwenye mitandao mnabaki pale pale maana hata yale mliyo nayo bado hamjatumia.
Inawezekana mkaingizwa kwenye kumbukumbu za UNESCO kama nchi yenye utajiri mwingi lakini maskini wa kutupwa

Mna mlima mrefu Africa, mti mrefu Africa, nimeona sehemu kuwa mna jiwe kubwa Africa, mbuga za wanyama zaidi ya nchi zote Africa, madini ya kila aina, simba anayenyonyesha chui, gesi lakini bado ni maskini wakutupwa
Siku hizi naona umebakiza ngonjera! Nahisi hii comment yako huwa unaicopy&paste

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Back
Top Bottom