$1.6B biggest resort in East and Central Africa in Zanzibar

Angalia masuala yenu na Al Shabaab haya yetu hayakuhusu na huu utajiri haukuhusu "Pambana na hali yako".
 
Waswahili na golf wapi na wapi
Hiyo sio ya waswahili pekee

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Daah ebwana nimeisoma fresh, ila Dah hii kitu si mchezo ile ya baresa ni Mtoto
Mkuu japo hii nikubwa kuliko ya bakhresa. Bakhresa kasema akiimaliza fumba anaanza kujenga mji wakibiashara wenye skyscrapers kama Dubai na amedai atashilikiana na real estate companies nyingine kuta Dubai. Natiyali wamesha kuja Zanzibari..Lengo amesema nikuifanya Zanzibar kama Dubai Africa. Pia akimalizia hotel anafanya ujenzi wakisiwa nakushusha skyscraper hapo Zanzibar. Ni noma sana. Hii fumba kasema anaongezea contractors wengine wa tatu ilimradi umalizike baraka. Unaambiwa watu wamesha anza kujitokeza wakitaka kuzinunua nyumba.
 
Daah ebwana nimeisoma fresh, ila Dah hii kitu si mchezo ile ya baresa ni Mtoto
Hii Hotel kaifanyia land reclamation baharini. It is first in East Africa and second in Africa as a reclaimed land in the sea. Hapo anajenga the biggest water park in Africa pamoja na michezo ya majini ya boti na anatengeneza parking yakupaki Yatch 30 kwa mbele. Vifaa vya land reclamation nivyake. Wakimaliza hapo anafanya land reclamation nyingine for a skyscraper. Expert wa hiyo kazi 98% ni Tanzanians. Tanzania tunajenga nchi. Pia hiyo hotel itakuwa na flyover yakuja direct na gari hadi reception. AZAM ni noma sana
 


Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
 
Maisha halisi ya Mzanzibar huya jui. That's a stone town. Huo mji hupo chini ya UNESCO majengo ya zamani hairusiwi yabomolewe. Thus why they are many tourists because of its old age architecture.
 
$1.6 B mbona kidogo sana hapo lazima kimbunga kiondoke na mtu.
hiyo ni pesa nyingi sana,
linganisha na mfano kuwa kuujenga upya mji wa mosul kule iraq itagharimu dola bilioni 1.3 tu,na mosul umebaki magofu na ni mji mkubwa kweli kweli,

sasa linganisha na hiyo resort inatumia dola bilion 1.6
 
$1.6 B mbona kidogo sana hapo lazima kimbunga kiondoke na mtu.
hiyo ni pesa nyingi sana,
linganisha na mfano kuwa kuujenga upya mji wa mosul kule iraq itagharimu dola bilioni 1.3 tu,na mosul umebaki magofu na ni mji mkubwa kweli kweli,

sasa linganisha na hiyo resort inatumia dola bilion 1.6
 
Tunapokwambia kazi imesha anza huelewi?? For your own information two hotels with brand names have also joined the amber resort project. That is Marriott and Antanna hotels. Marriott will also build villas inside the ocean with private swimming pools. The project has started my friend.
 
Sasa huu ndiyo uwekezaji, sio wa yule tapeli wa treni toka U S of A!
Na mpaka sasa twaona na kusikia kimya!
 
Dahhh everything is perfect ...at least tutapata sehemu nzuri zaidi yaani Zanzibar itakuwa nzuri maradufu ... Sijui dar itaifanyia nini pwani YAKE maana ni chafu kwa kweli
I wish Tanga iwe the hivyo maana ina mbuga na pwani kwa wakati mmoja plus Amboni caves na bado ipo karibu na Dar , arusha na Kilimanjaro .naona potential kubwa sana kiutalii lakini sijui mamlaka zimelala....
Tanga ina projects zisizokwisha sasa sijui ni kwa sababu ya kuwa industrial zone ...

Ila zanzbar ni hands down

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwekea source zinasema $1.6 B hayo niwawekezaji. Hotel inamambo ya starehe. Hapo kuna land reclamation kuna villas nyingine zitajengwa ndani ya bahari kila moja ikiwa na private swimming pools. Kumbuka sisi tunapanua Dar port kwa 900 billion. Sio nyingi??Unaweza kuilinganisha na mji??
hiyo ni pesa nyingi sana,
linganisha na mfano kuwa kuujenga upya mji wa mosul kule iraq itagharimu dola bilioni 1.3 tu,na mosul umebaki magofu na ni mji mkubwa kweli kweli,

sasa linganisha na hiyo resort inatumia dola bilion 1.6
 
Dar es salaam ni mji mzuri sana nautakuja kufanya maajabu mdasimrefu project kubwa za ujenzi zitapo kamilika. Nachoona unaleta siasa kwenye hii thread. Wewe nimtu wa jukwaa la siasa. Nahisi huko panakufaa zaidi. You can never compare Dar to Zanzibar or any other city in TZ unless wewe chizi mawazo.
 
Samahani siku nyinginezo ujifunze kuheshimu mawazo ya mtu na ujifunze kupinga hoja na SI kuanza personal attacks tena kwa mtu ambaye usiyemjua ...

Sijailinganisha dar NA zanzbar ila nilichokisema ukiangalia hizo project za fumba estates ni dhahiri utaona fukwe ya zanzbar inavutia lakini za dar ni chafu na huu ni ukweli ambao huwezi kuupinga kwa sababu upo jukwaa la Kenya ..usinilizamishe kuwa mnafki

Kuna project gani dar ya kusafisha fukwe zake !!!!!.....
, kama zipo naomba unijuze MAANA kuna project ya kuboresha water front lakini sijui ilipoishia na miaka mingi imepita

Brother or sis...nipo skyscrapecity forum ambapo project nyingi za nchi huoneshwa..kama kuna project ya kuziboresha fukwe za dar naomba uniarifu maana sikuwahi kuiona
 
Tanga na Dar inahusiana nn na hii project? Kwahiyo kwavile Tanga na Dar hamna project ya namna hiyo waiache hii? Wacha uchoko wewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…