Dahhh everything is perfect ...at least tutapata sehemu nzuri zaidi yaani Zanzibar itakuwa nzuri maradufu ... Sijui dar itaifanyia nini pwani YAKE maana ni chafu kwa kweli
I wish Tanga iwe the hivyo maana ina mbuga na pwani kwa wakati mmoja plus Amboni caves na bado ipo karibu na Dar , arusha na Kilimanjaro .naona potential kubwa sana kiutalii lakini sijui mamlaka zimelala....
Tanga ina projects zisizokwisha sasa sijui ni kwa sababu ya kuwa industrial zone ...
Ila zanzbar ni hands down
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using
JamiiForums mobile app