MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Naunga mkono hojaHao wote uliowataja hapo ukiwaangalia tu unaona kabisa hawana akili timamu!
Ngoja nicheke jamani,,Hao wote uliowataja hapo ukiwaangalia tu unaona kabisa hawana akili timamu!
Mdogo wangu Pascal Mayalla siyo CCM, huyu ni mwandishi huru[free mas....] asiyefungamana na upande wowote.Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF kwenye upinzani mkali...
Nafasi ni 10 tu. Nitaongeza majina mengine yafike 20Kama umenisahau mimi basi FUTA huu Uzi wako
Mayala amefanikisha kuingiza junalist wengi kwa MzenaMdogo wangu Pascal Mayalla siyo CCM, huyu ni mwandishi huru[free mas....] asiyefungamana na upande wowote.
Magufuli alimutita "njaa" na kama angekuwa "afisa kipenyo" angeshateuliwa ukuu wa mkoa ama Geita au Simiyu .
Hata kuandika mama yangu unahangaika. Alafu ndio think tank wa ccm!Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF kwenye upinzani mkali.
1. Lizaboni
2. Bia yetu
4. Lucas mwashambwa
3. MamaSamia2025
4. USSR
5. Etwege
6. Erythrocyte
7. Magonjwa Mtambuka
8. The Boss
9. Pascal Mayalla
10. Faiza Foxy
Ushahidi kwamba huyo namba Sita anaisaidia CCM uko wapi ? BAADA YA KUSHINDWA KUNIUA KWA RISASI , SUMU NA UCHAWI mmeamua kuunda makundi ya kunichafua , Tangu lini mimi nikashirikiana na Shetani ?Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF kwenye upinzani mkali.
1. Lizaboni
2. Bia yetu
4. Lucas mwashambwa
3. MamaSamia2025
4. USSR
5. Etwege
6. Erythrocyte
7. Magonjwa Mtambuka
8. The Boss
9. Pascal Mayalla
10. Faiza Foxy
Namba 6 na namba 4 ni mtu mmoja mwenye kutumia ID mbili tofauti kwa faida ya pande zote mbili pinzani.Numero 6 unamzushia.
Sioni anapata faida gani labda awe Mtumishi wa Max Mello zaidi ya hapo haiingii Akilini.Namba 6 na namba 4 ni mtu mmoja mwenye kutumia ID mbili tofauti kwa faida ya pande zote mbili pinzani.
Hebu jiongeze na utumie jicho la 3 kuliona hilo. Kumbuka hizo ID mbili kila mmoja inajitanabaisha kuwa ni ya mwanambeya. Alafu eti moja inasimama upande wa Sugu na nyingine inasimama upande wa Dr Tulia.
Mkuu upo sahihiUshahidi kwamba huyo namba Sita anaisaidia CCM uko wapi ? BAADA YA KUSHINDWA KUNIUA KWA RISASI , SUMU NA UCHAWI mmeamua kuunda makundi ya kunichafua , Tangu lini mimi nikashirikiana na Shetani ?
Moderator mkiruhusu watu kuchafuliwa kibwege namna hii mtavuruga amani hapa JF , baada ya mimi kuwekwa kwenye hiyo list of Shame ilikuwa tayari uzi huu ni batili na mlipaswa kuufutilia mbali , maana mnajua kabisa kuwa ni mwongo
Ukianza na bwege moja hapo linaitwa mwashambwa.Hao wote uliowataja hapo ukiwaangalia tu unaona kabisa hawana akili timamu!