Watu wapo mezani wewe unasema tumeangukia pua? Tulikataa mikataba ya chief Mangungo wa Msovelo tu.Bwagamoyo mliangukia pua kwa uzembe wenu, hamtuwezi kwenye hii michezo, kwa sasa kunjeni mkia mkae pembeni kutizama show.
Mahesabu ndio yaliwashinda sio suala la masharti, kawaida mlivyo wazembe kwenye mahesabu na kusoma mkaamua kupiga chini, ila wanaume kamili huwa hawaukimbii uwanja, mnakeshea mahesabu na kupumiliana shingoni hadi kitu kikae sawa. Lazima Mchina alipaswa awatafune na nyie mumtafune, ndio lugha ya dunia, unitafune nikutafune, pitia kule nipitie huku, ila mwisho wa siku unaangalia nini end game.
wewe jamaa utakua ni jaluo la kisumu, yahani hujui hata mahana ya lugha nini? wewe unataka kujifanya mwalimu wa kiswahili, kama ujumbe umekufikia uo ndio msingi wa lugha, hizo sarufi unazozitaka ni mbwembwe. umesikia we mr OdingaUtakua Mhaya aliyekwama hajawahi kutoka nje ya Bukoba, "mahamuzi" ndio nini.....
Wewe ni mpumbavu mjinga kweli. Wengi wenu mko na fikra kama hizi, zuzu kishenzi, hauna facts, ni vile unatamani Kenya iwe. Akili punguani[emoji23][emoji23]Pole utapona tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],hiyo nchi nzima ni slums mpaka nzige wameamua kuhungana kwenda kuishi kenya, yahani nairobi full slums, nakuru full slums, mombasa full, slums , turkana full slums, imagine ndio unakomaa kutuaminisha kenya matajiri, wongopee majua wenzako ambao hawapajui kenya, mnawazuga na gdp fake
huwa atufanyi mahamuzi ya kijinga nishakwambia, sasa tupo tunachimba bahari kuiongezea kina bandari ya Tanga kwa ajili ya kuanza kupokea meli kubwa za mizigo na huu ndio utakua mwisho wa bandari ya mombasa
wewe jamaa utakua ni jaluo la kisumu, yahani hujui hata mahana ya lugha nini? wewe unataka kujifanya mwalimu wa kiswahili, kama ujumbe umekufikia uo ndio msingi wa lugha, hizo sarufi unazozitaka ni mbwembwe. umesikia we mr Odinga
Wivu itakuuwaHahah yani Mombasa port inaipita port ya Djibouti? Huu ni upupu mwingine kushuhudia.
GoT ingepata faida ya Bagamoyo port baada ya miaka 99. Na hapo hiyo miaka inaweza kuisha na mchina akakwambia hajarudisha pesa yake hivyo aka extend lease tena( Kwa sababu yeye ndio mdhibiti na muendelezaji wa eneo lote la bandari. Yani anakuwa na full mandatory ya eneo bila kuingiliwa na GoT). Na hapo kwa kipindi chote hicho ni marufuku kwa GoT kuendeleza na kuboresha bandari zake zote za baharini. Sasa wewe ungekuwa ndio mwenye maamuzi ya mwisho kwa GoT ungekubaliana na huo mkataba au ungeuweka kando?
Wivu itakuuwa
😂😂 ndio kusema wewe ni mtalaamu wa kiswahili hapo kunyaland?"yahani", "mahana".... una safari ndefu ila pambana tu, jaribu kujizoesha kuongea na wazaramo kidogo lafudhi itabadilika.....
Watu wapo mezani wewe unasema tumeangukia pua? Tulikataa mikataba ya chief Mangungo wa Msovelo tu.
Hizo ni taarab ulizolishwa ila ongeza na akili zako usipende kushikiliwa ubongo kwenye kila kitu.
Naona povu linakutoka kama umemeza kipande cha sabuni, lakini habari ndio hiyo, most of kunyaland ni full slums, huku raia kibao wana utapiamlo kwa kukosa chakula bora mixer balaa la chorela😂😂 poor kenyanWewe ni mpumbavu mjinga kweli. Wengi wenu mko na fikra kama hizi, zuzu kishenzi, hauna facts, ni vile unatamani Kenya iwe. Akili punguani[emoji23][emoji23]Pole utapona tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
dah sio mbaya kwa kazi hii ya wachina isiyokuwa na faida kwa watu wa kibera Mungu ibaliki Kenya Mungu bariki kibera😥😥😥😥😥Wacha tusikie venye watasema kuhusu hiyo.
Naona povu linakutoka kama umemeza kipande cha sabuni, lakini habari ndio hiyo, most of kunyaland ni full slums, huku raia kibao wana utapiamlo kwa kukosa chakula bora mixer balaa la chorela[emoji23][emoji23] poor kenyan
2/3 ya ardhi ya Kenya yenye rutuba wazungu toka UK WALICHUKUWA KWA MABAVU KWA KUUA WENYEJI WAKE , MPAKA LEO KENYA ARDHI YOTE ILIYOBAKI IMECHUKULIWA NA VIONGOZI AMBAYO NI 1/3 NYINGINE YOTE NI WAZUNGU. NDO MAANA KENYA WANAEXPORT SANA MATUNDA NA MBOGA MBOGA ZA WAZUNGU KWENDA KWA WAZUNGU WENZAO, CHOKOLAA ANAKULA SUKUMAWEEK TU.Bandari kwenu ni ya Dar, hayo mavitu mengine unataja taja humu hayana nafasi. Hiyo Dar ndio huwa mumewekeza nguvu zote na kutegemewa na mataifa tisa na licha ya yote hiyo haioni hata makalio ya Mombasa maana nyie wazembe. Bwagamoyo iliwashinda maana hapo kwa kweli ndio mlikua mpige bao lenyewe lakini desturi yenu ya uzembe bado mpo mpo tu.
Hela ndio shida kwetu Mkuu, tupo nyuma ya Kenya Tena Sana haswa kwa human capital na pia miundo mbinu. Hii bongo yetu labda tushindane na kina Malawi na Burundi.Watu wapo mezani wewe unasema tumeangukia pua? Tulikataa mikataba ya chief Mangungo wa Msovelo tu.
😂😂 naona haujui kitu chochote kuhusu bongoland, bora muendele kulima mirungi tuDefine multidimensional poverty. Ndio hali halisi ya mamilioni Tanzania. Hili liko wazi. In East Africa multidimensional poverty inawatesa raiya wengi wa Tanzania. Umasikini wa kiaina ambao ccm gov't inajaribu kuficha., lilianikwa wazi peupe. Nenda chapa kazi wewe mzembe. Umasikini unakutesa hadi kwenye ubongo, hauna nguvu ya kufikiria. Unahurumisha sana. Pole sana, utapona siku moja.
Upo sahihi kabisa mkenya mwenzangu...Hela ndio shida kwetu Mkuu, tupo nyuma ya Kenya Tena Sana haswa kwa human capital na pia miundo mbinu. Hii bongo yetu labda tushindane na kina Malawi na Burundi.
Safi sanaUpo sahihi kabisa mtanzania mwenzangu...