- Thread starter
- #101
Upo vizuri kwenye kutoa mapovuMisukule itaniwakia balaa acha nibaki upande wa changamoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo vizuri kwenye kutoa mapovuMisukule itaniwakia balaa acha nibaki upande wa changamoto
Upo vizuri kwenye kutoa mapovu
Hapana,kwa Kigoma Nyomi ya Lowassa kipindi kile cha kutafuta Wadhamini alitisha sana.Barabara zilijazwa na jamaa anapita kama red carpet siyo mchezo kabisaMafuriko ya Mondi yamezidi mpaka ya Lowassa ya 2015 asee
Kuku kapanda baiskeli,bata kavaa raizoni......mambo ya takeu style, ukiwa na walkman pamoja na biki ya kuzungushia kanda, back in time.........nature ckuwahi kuelewa umaarufu ulitokana na nini hasa.Diamond akiwa huu ukanda wa afrika hana utofauti na Justin bierber ama Chris brown wakiwa marekani, Super star pekee aliewashinda umaarufu juma nature na MR nice
Kuku kapanda baiskeli,bata kavaa raizoni......mambo ya takeu style, ukiwa na walkman pamoja na biki ya kuzungushia kanda, back in time.........nature ckuwahi kuelewa umaarufu ulitokana na nini hasa.
Nguvu kubwa ya redio kum-promote msanii kimuziki ilikuwa zmani, sku hizi wimbo kama ni mkali unasogea wenyewe tu mtaani hata kama redio DJ atakuwa haupigi hewani. Zile zama za redio DJ kukupangia playlist zimepitwa na wakati. Siku hizi playlist watu wanazo kwenye smartphone zao.
alafu jamaa anajituma sanaSasa hivi amekuwa kama Rais, kila akishuka sehemu lazima mafuriko ya watu yatokee mondi kiukweli anapendwa sana, sijui kama kutatokea celebrity mwingine akawa maarufu kama Mondi hapa Tz.