Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #21
Watu wazima🌝🌝Mambo ya Watoto hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wazima🌝🌝Mambo ya Watoto hayo.
Nakataa mbona Michele Obama ana akili n hupenda kupost postSifuri kabisa 🤣
Merely SometimesNakataa mbona mi nina akili n hupenda kupost post
Naona ni hulka tu ya mtu na sio kipimio cha uelewa wake
🤓🤓Kuna trends kwenye Reel ,wasichana wanavaa vipedal vimewabana na kuanza kutikisa makalio,si waweke bei kabisa watu wanunue?
Si kweliKatika ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii, ogopa sana mtu anaependa kujipost mara kwa mara ikiwezekana mkimbie akiwa ke ndo balaa akili hamna
Fanya research 🔥🔥🔥 WANAUME kaziniSi kweli
Kupost kwa platform yeyote naona ni hulka au hobby ya mtu na si kiwango cha uerevu wake
Yah naeza kubali kua akiwa na view mingi hujiona matawii mie sikataiFanya research 🔥🔥🔥 WANAUME kazini
Yah naeza kubali kua akiwa na view mingi hujiona matawii mie sikatai
| She will think she's a star 😊😊 |
Mkuu, majority ya hao wanaomtukuza huwa hawamaanishi ila wanataka mzigo tu, maana short cut ya kuwatafuna ni kuwaambia kuwa ni wazuri hata kama sivyo!Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru kuanzisha hii mada.Kuna wanaume Wana wajaza hao wanawake upepo na kiburi kuwasifia Ili wajione wao wazuri.
Jifikirie Kila siku huyu mwanamke anafuatwa inbox yake na wanaume 100 au 100+ kutuma ujumbe au viemoji vya kumtukuza yeye ni mzuri.Kisha anajazwa bichwa na kuwaona wanaume wote kama takataka .
Cha kufanya unapokutana na Mwanamke kama huyu mtaani na anakufahamu na umekuta wanamshobokea hata usimshobokee Tena mpuuzie na kumwona wa kawaida Ili akili zake zirudi SAWA SAWA
Ikibidi mwoneshe dharau na kumrudisha kwenye kiwango chake . Atakuheshimu ila ukiungana na hao wanaume wanaomtukuza usiku kucha mchana Kutwa utakuta anakuweka kwenye levo zao.
Embu fanya kama jana basi Palina 😁 pic moja matata nishushie hiki kiporo changu hapaNakataa mbona mi nina akili n hupenda kupost post
Naona ni hulka tu ya mtu na sio kipimio cha uelewa wake
Easy meatKatika ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii, ogopa sana mtu anaependa kujipost mara kwa mara ikiwezekana mkimbie akiwa ke ndo balaa akili hamna
Mkuu huu ujeuri ulio naoa ndo ujeuri wangu nikiona Dem anashobokewa sana mi nakaza naweka ngumu japo sipati faida yoyote Ila siwezi kukubali kuwa kondooNapenda kuchukua nafasi hii kukushukuru kuanzisha hii mada.Kuna wanaume Wana wajaza hao wanawake upepo na kiburi kuwasifia Ili wajione wao wazuri.
Jifikirie Kila siku huyu mwanamke anafuatwa inbox yake na wanaume 100 au 100+ kutuma ujumbe au viemoji vya kumtukuza yeye ni mzuri.Kisha anajazwa bichwa na kuwaona wanaume wote kama takataka .
Cha kufanya unapokutana na Mwanamke kama huyu mtaani na anakufahamu na umekuta wanamshobokea hata usimshobokee Tena mpuuzie na kumwona wa kawaida Ili akili zake zirudi SAWA SAWA
Ikibidi mwoneshe dharau na kumrudisha kwenye kiwango chake . Atakuheshimu ila ukiungana na hao wanaume wanaomtukuza usiku kucha mchana Kutwa utakuta anakuweka kwenye levo zao.
Most of them wanaojipost kila dakika wana Tatizo linaitwa ASD(Attention seeking disorder)Yah naeza kubali kua akiwa na view mingi hujiona matawii mie sikatai
Nilikuanasemea ile eti ndo huwaga hawana akili
Kweli mkuu Kadri unavyomsifia anakuona wa kawaida na kujiona high level Sana hata kama unajua si mzuri. Kama yupo mtaani anaweza akawa na dharau Kwa wanaume.Cha kufanya ni kumshusha ngazi akili zimrudi kwenye reality.Mkuu huu ujeuri ulio naoa ndo ujeuri wangu nikiona Dem anashobokewa sana mi nakaza naweka ngumu japo sipati faida yoyote Ila siwezi kukubali kuwa kondoo
😂😂😂Katika ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii, ogopa sana mtu anaependa kujipost mara kwa mara ikiwezekana mkimbie akiwa ke ndo balaa akili hamna