Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
WalewaleKwanini umkimbie mtu anayeishi maisha anayopenda wewe nae ishi maisha unayopenda..
Yeye muache ajipost wewe fanya zaidi unachopenda au kinachokupa furaha.
muhimu ni intimacy iwepo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WalewaleKwanini umkimbie mtu anayeishi maisha anayopenda wewe nae ishi maisha unayopenda..
Yeye muache ajipost wewe fanya zaidi unachopenda au kinachokupa furaha.
muhimu ni intimacy iwepo!
🤣🤣🤣🤣Walewale
😂😂Watausoma hivyohivyo hata kama macho yatawauma😂😂😂
Huu ujumbe ukipita nao jukwaa flani utapopolewa dada
Sio kawaida,Si kweli
Kupost kwa platform yeyote naona ni hulka au hobby ya mtu na si kiwango cha uerevu wake
Kama Kule mbagala wanakodi gari daladala Costa wanaanza kusebenuka na vigomaa kuzunguka Jiji na madela Yao SARE...TANZANIA TUNAELEKEA KUWA NA WANAWAKE WA HOVYO DUNIA NZIMA.
Yani wanashinda kukatika, KUJIONYESHA MAUNGIO YAO, KUJIBENUA MAKALIO.
TUNAELEKEA KUWA na KIZAZi Cha hatari sana Mungu IOKOE TANZANIA.
NakaziaKweli mkuu Kadri unavyomsifia anakuona wa kawaida na kujiona high level Sana hata kama unajua si mzuri. Kama yupo mtaani anaweza akawa na dharau Kwa wanaume.Cha kufanya ni kumshusha ngazi akili zimrudi kwenye reality.
Asante kwa msaada wako, na usipo like, comment au kutizama post zake anaanza kutengeneza uhasama kiaina,,Most of them wanaojipost kila dakika wana Tatizo linaitwa ASD(Attention seeking disorder)
Yani hapo umelamba zero kama ya bashite, tena ukute anapost pic za kuonyesha makalio mara anarembua mara kabinua kimguu😂😂 umeishaaSifuri kabisa 🤣
😂😂😂Huu msimamo upo kwa wanaume wachache sana, sema wengi watajifanya kumpamba ili wamshushe bendera(chupi) then wampotezee hapo hasara kwa muhusika,Kweli mkuu Kadri unavyomsifia anakuona wa kawaida na kujiona high level Sana hata kama unajua si mzuri. Kama yupo mtaani anaweza akawa na dharau Kwa wanaume.Cha kufanya ni kumshusha ngazi akili zimrudi kwenye reality.
Yes uhasama kama ule wa vyama vya upinzani na chama tawala😊😊😊Asante kwa msaada wako, na usipo like, comment au kutizama post zake anaanza kutengeneza uhasama kiaina,,
😂😂Yani balaaYes uhasama kama ule wa vyama vya upinzani na chama tawala😊😊😊
Ni rahisi sana kuwala watu kama hao[emoji28][emoji28]Asante kwa msaada wako, na usipo like, comment au kutizama post zake anaanza kutengeneza uhasama kiaina,,
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee tupunguze malalamiko, hapa tumezidisha. Chaa[emoji1787][emoji1787]! Tutaanza kuwaogopa kwakila kitu sasa. Tujiamini sasa, duh100 views kwenye Jukwaa Lolote la Mitandao ya Kijamii Humfanya Msichana Awe kama Kichaa
Ndio, kuna kitu kwa miaka mingi nimegundua
Mara baada ya mwanamke kufikisha 100 views kwenye jukwaa lolote la mitandao ya kijamii (whatsapp, Facebook, Instagram n.k) she starts feeling like a superstar acting weird and bossy.
Ujumbe kwa wanaume mara tu unapowasiliana na wanawake wa aina hiyo, kanyaga.........
Wewe mwanaume ni mfalme
Ikiwa atakutenda jambo la ajabu au la kuchukiza
Ondoka jivunie uanaume wako........
:Copy
🔥🔥🔥🔥🔥[emoji23][emoji23][emoji23] aisee tupunguze malalamiko, hapa tumezidisha. Chaa[emoji1787][emoji1787]! Tutaanza kuwaogopa kwakila kitu sasa. Tujiamini sasa, duh
Ni kweli I had experience with this kind of a chick and hadi leo ndio wako hivyo, inabaki sisi wewe tu wapo wengi tu wananitaka kila siku.100 views kwenye Jukwaa Lolote la Mitandao ya Kijamii Humfanya Msichana Awe kama Kichaa
Ndio, kuna kitu kwa miaka mingi nimegundua
Mara baada ya mwanamke kufikisha 100 views kwenye jukwaa lolote la mitandao ya kijamii (whatsapp, Facebook, Instagram n.k) she starts feeling like a superstar acting weird and bossy.
Ujumbe kwa wanaume mara tu unapowasiliana na wanawake wa aina hiyo, kanyaga.........
Wewe mwanaume ni mfalme
Ikiwa atakutenda jambo la ajabu au la kuchukiza
Ondoka jivunie uanaume wako........
:Copy
Kamanda usiseme kuna mimama na midada imepagawa usipime, ni hatari sanaHiyo tabia Mara nyingi huwa inaendekezwa na wasichana wadogo wa kuanzia miaka 15 Hadi 25.