100 views on any social media platform Humfanya Msichana (a girl) go crazy

TANZANIA TUNAELEKEA KUWA NA WANAWAKE WA HOVYO DUNIA NZIMA.

Yani wanashinda kukatika, KUJIONYESHA MAUNGIO YAO, KUJIBENUA MAKALIO.

TUNAELEKEA KUWA na KIZAZi Cha hatari sana Mungu IOKOE TANZANIA.
Kama Kule mbagala wanakodi gari daladala Costa wanaanza kusebenuka na vigomaa kuzunguka Jiji na madela Yao SARE...
 
Kweli mkuu Kadri unavyomsifia anakuona wa kawaida na kujiona high level Sana hata kama unajua si mzuri. Kama yupo mtaani anaweza akawa na dharau Kwa wanaume.Cha kufanya ni kumshusha ngazi akili zimrudi kwenye reality.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huu msimamo upo kwa wanaume wachache sana, sema wengi watajifanya kumpamba ili wamshushe bendera(chupi) then wampotezee hapo hasara kwa muhusika,
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee tupunguze malalamiko, hapa tumezidisha. Chaa[emoji1787][emoji1787]! Tutaanza kuwaogopa kwakila kitu sasa. Tujiamini sasa, duh
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee tupunguze malalamiko, hapa tumezidisha. Chaa[emoji1787][emoji1787]! Tutaanza kuwaogopa kwakila kitu sasa. Tujiamini sasa, duh
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Ni kweli I had experience with this kind of a chick and hadi leo ndio wako hivyo, inabaki sisi wewe tu wapo wengi tu wananitaka kila siku.
 
Jf ujawagusa kaka wanajiona keki hasa Depal na [mention]Bantu Lady [/mention]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…