Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods watarekebisha ila Bado hali ya majeruhi ni mbaya Kwa Baadhi Yao 👇👇Kwenye kichwa cha habari ni 14 ukisoma ndani ni 11...anyway pole nyingi sana kwa wote waliofikwa na msiba na tunawaombea majeruhi wapone haraka.
Wimbi la ajali lomeendelea kutisa Mkoa wa Mbeya ambapo mapema Leo Alfajiri kumetokea ajali eneo la Lwanjilo Wilayani Chunya Mkoani Mbeya ambapo watu 14 wamepoteza maisha na wengine 44 kujeruhiwa kufuatia ajali ya bus la AN Classic kutoka Mbeya kwenda Tabora.
View: https://www.instagram.com/p/C_kgPlwNdxo/?igsh=MWl3MTNtaHA3MjYwZg==
My Take
Je Serikali na Polis Wameshindwa kuja na Sheria ya kuwafilosi na kuwanyonga madereva Wazembe?
R.I.P ndugu wote,majeruhi mpone haraka.
Pia soma Mbeya: Basi la Kampuni ya Shari lapata ajali Mbarali, Watu 9 wapoteza maisha, Polisi wamshikilia Dereva
Ajali ilikotokea hakuna kona na Wala hakuna ajali imewahi tojea eneo hilo.Hizo Kona kwenye hiyo barabara ya Chunya - Mbeya sio za mchezo
Mungu apokee roho za hao Maiti na awape uponyaji majeruhi wote wa ajali hiyo
Acha jazba. Utamfilisi dereva kitu gani, na lori sio lake? Kitanda chake cha m-pine?My Take
Je Serikali na Polis Wameshindwa kuja na Sheria ya kuwafilosi na kuwanyonga madereva Wazembe?
R.I.P ndugu wote,majeruhi mpone haraka.
Pia soma Mbeya: Basi la Kampuni ya Shari lapata ajali Mbarali, Watu 9 wapoteza maisha, Polisi wamshikilia Dereva
Aaah, sasa ukipinga chama tawala na wapendwa wake humu tumeshakujua!Enzi za kujitafuta niliwahi kuendesha, mbeya to tabora, wachache watanikumbuka dreva S , ile njia kama haujapita utasema lolote lakini ajali ni ajali,
Nilidhani ni lile eneo lenye Kona nyingi, nimewahi kupita nikiendesha hicho kipande chenye Kona nyingi....yaani naendesha na mwendo wangu wa Kobe wa 50km/hrAjali ilikotokea hakuna kona na Wala hakuna ajali imewahi tojea eneo hilo.
Wimbi la ajali lomeendelea kutisa Mkoa wa Mbeya ambapo mapema Leo Alfajiri kumetokea ajali eneo la Lwanjilo Wilayani Chunya Mkoani Mbeya ambapo watu 14 wamepoteza maisha na wengine 44 kujeruhiwa kufuatia ajali ya bus la AN Classic kutoka Mbeya kwenda Tabora.
View: https://www.instagram.com/p/C_kgPlwNdxo/?igsh=MWl3MTNtaHA3MjYwZg==
My Take
Je Serikali na Polis Wameshindwa kuja na Sheria ya kuwafilosi na kuwanyonga madereva Wazembe?
R.I.P ndugu wote,majeruhi mpone haraka.
View: https://x.com/tanroas/status/1831987363943198805?t=hDdgDeof1XaKBqLZsmszog&s=19
Pia soma Mbeya: Basi la Kampuni ya Shari lapata ajali Mbarali, Watu 9 wapoteza maisha, Polisi wamshikilia Dereva
Mbona hua nawapinga kila sikuAaah, sasa ukipinga chama tawala na wapendwa wake humu tumeshakujua!