Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina rafiki yangu mwalimu huko chunya na alisema shule zikifungwa tu anasepa...mpk naogopa kumtafuta kwenye simu nime freezeNdege John anaandika
Aisee! Wapumzike mahali wanapostahili
Ooh Aisee! Mtafute tuI
Nina rafiki yangu mwalimu huko chunya na alisema shule zikifungwa tu anasepa...mpk naogopa kumtafuta kwenye simu nime freeze
Ni miuondo mbinu mibovu sana, ndugu yangu hata hivyo ni Mungu tu anasaidia kwa hizi route za Mbeya-TaboraSijui kwa nini hio kanda ina wingi wa ajali kiasi hicho!
Pole nyingi kwa walio athirika, taarifa hizi zinakuwa ni nyepesi kwa wengine ila wanahusika ni nzito mno.
Walishaweka wazi humu kuwa wao ni wapenda mbio na basi zao ni chapa Scania tu ndiyo wanapenda.Sijui kwa nini hio kanda ina wingi wa ajali kiasi hicho!
Pole nyingi kwa walio athirika, taarifa hizi zinakuwa ni nyepesi kwa wengine ila wanahusika ni nzito mno.
Tutalaumiana lakini mzizi wa tatizo ni miundombinu mibovu, barabara zina ramani ya mkoloni enzi magari machache, leo hii watu wengi, vyombo vingi barabara zinatakiwa kua na upana wa kueleweka sio kupishana Kwa kuchunguliana,Miundo mbinu finyu
Eneo Hilo lote halina serikali.Poleni sana wafiwa
Ila mabasi ya Mbeya-Tabora ni Mungu tu saidia mkifika salama
IpoEneo Hilo lote halina serikali.