carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
count me in broda!kuna uwezikano mkubwa wengi wenu mkawa bize na shughuli za kila siku,lakini GUYS I NEED TO SEE YOU KWENYE SEND-OFF!please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
count me in broda!kuna uwezikano mkubwa wengi wenu mkawa bize na shughuli za kila siku,lakini GUYS I NEED TO SEE YOU KWENYE SEND-OFF!please
Hivi mweka hazina ni nani? Nina michango ya watu kadhaa hapa sijui nipeleke kwa nani?
wapwazzz,
hii ni sredi maalum kwa yale matukio yote yatakayojiri kabla na baada ya project ya 13 february 2010, u know wat m saying???.
-je mpwazz, unampokea ........... kua mkeo kwa shida na raha hadi kifo kiwatenganishe??
-je mpwazz uko tayari kuacha kudumisha mila na desturi za mababu??
YOU HAVE EXACTLY ONE MONTH TO GO.
kuna uwezikano mkubwa wengi wenu mkawa bize na shughuli za kila siku,lakini GUYS I NEED TO SEE YOU KWENYE SEND-OFF!please
he he hehe, am actually blushing😀she is one of my favourite ICONS herein jf
MY PPLEASURE pal!karibumimi nitakuwepo spiritually....
Mpwa huyo tayari sijui nipeleke kwa J.S?
thanks!count me in broda!
na wewe mbona hujanipa minutes za kikao kilichopita?Mkulu peleka fasta fasta iyo haina neno! Senks to Sinkala! Nipo kikazi zaidi! LOL
count me in broda!
Aisee hapo kwenye red mshkaji inabidi utumie nafasi hiyo VYEMA na matunda tuyaone. .............????
THANKS!Mkulu peleka fasta fasta iyo haina neno! Senks to Sinkala! Nipo kikazi zaidi! LOL
Ni dhambi kabisa mnuso kunipita lol!Ningeshangaa mnuso ukupite! Nami Nimo jamani! Hata mkitaka nije wawili!
We experience ya kutunza fedha uliipatia wapi? Kama si ufisadi wa Kaizer, mi ndo ningekuwa mtunza fedha. Mchango wangu njoo uchukue. Nipo hapa Waungwana gesti hausi ruum namba saba.Mimi hapa
Kwa mara ya kwanza tangu 2010 ianze umetoa point. Nidai Value siku ya get togetherHey! Kiongozi! Can You Stop This? Wengine bila msaada wa valuu huwa hatuna uvumilivu, tunaweza kutoa michozi maofisini watu wakatushangaa! Unaonaje ukimwacha mzee apumzike kwa amani wakati unaendelea kutafakari harusi yako? Hii thread inazungumzia tukio la 13/02. Hebu tuweke fikra zetu hapo wakati tukiendelea kumwomba Mungu amweke mahali pema mzee wutu!
I WILL BE THERE! (Naamini bia zitakuwepo, kama hazitakuwepo, naamini kuna baa jirani na ukumbi, so no worry)
?????Nimekugongea SENKSI kule. Unatumia kinywaji gani? Mi ndo naandaa bajeti hapa, nataka binadamu siku hiyo wateseke na vinywaji!
karibu sana mamii!Nyie mmefika huku?!!!
Kwa mara ya kwanza tangu 2010 ianze umetoa point. Nidai Value siku ya get together