15 Julai, 2021; Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kasi sana na watu wa kada zote

15 Julai, 2021; Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kasi sana na watu wa kada zote

Atakumbikwa kwa kuongeza tiba ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu
 
Mwaka huu niliona watu wanashangilia kodi kutoka 9 to 8 wakati jamaa alipunguza toka 11 to 9%, last year, ukweli jamaa alibalance mambo, sasa kwa hali hii ndg unaona kawaida tu?

Gharama kuongezeka kiasi hiki ni jambo la kawaida?

Petroleum wameongeza kodi wakati ndio source ya kila kitu tutegemee nini hapo.

Wamekuja na eneo la miamala ya simu, najiuliza sana, hii burden itabebekaje kwenye jamii???

Ukweli walipaswa kufikiri vinginevyo, Magufuli kwa mambo yaliyokuwa yanagusa jamii namna hii hakuwa akiyaridhia kbs....

Tunamkumbuka mpaka kesho
Nani anafahamu mama anakotupeleka?
 
Sawa vyeti feki ulitegemea utadumu kwa nguvu za ndumba ofisini😂???
Bila shaka unaongeleaa elimu feki ya UPhD ya dhalimu mwendakuzimu shenzi type...kijana Ben Saanane alipohoji elimu yake akapotezwwa hadi leo hajulikani yuko wapi.
 
Mkuu hujasoma shule nini? Hilo neno ni common sana sikuhizi! K ni kiwakilishi cha kiwango cha elfu 1 ama 1000! Utakapoona namba yeyote ikifuatiwa na neno k basi zidisha hio namba mara 1000 ndipo utapata jibu halisi!
Kwa minajili hio 50k ni sawa na 50x1000=50,000
1k ni sawa na 1x1000=1,000

Kama shule nimesoma Sana tena inawezekana nimekuzidi .
Katika shule zangu zote nilizopita sijawahi kukutana na numerical za namna hii.
Any way asante kwa kunielimisha kwani hiyo k nilidhani inamaainisha kilo kwa maana ya laki
 
Kwa kweli nisiwe mnafiki. Niliacha kupenda siasa toka baadhi ya wapinzani kuanza kuunga mkono juhudi za JPM. Marufuku ya siasa ikachangia pia. Utendaji wa hayati nao nikaupenda.

Kilichonifanya nisimpende Magufuli baadae ni hali ya mgawanyiko uliokuwa unaendelea nchini.

Haya ni Rais wetu JPM katangulia wapo waliofurahi na wapo waliosikitika pia.

Baada ya serikali ya awamu ya sita kuchukua hatamu na kuanza kufungulia mambo mengi yalifungwa na kurekebisha uhusiano na majirani, wapinzani, wafanyabishara na wafanyakazi kuongezewa mishahara,nchi ilikuwa kama umepata uhuru toka kwa mkoloni mweusi. Mama akapendwa na watu wote bila kuangalia itikadi yao.

Mara baada ya siku 100 kufika kauli yake kuhusu wapinzani na katiba mpya ikawatisha baadhi ya wananchi. Lakini bado hakupoteza mvuto.

BAJETI MPYA YA 2021-2022 YAMWARIBIA
Hapa ni lazima Hayati Magufuli akumbukwe na wote sababu alidaiwa kuwajali wanyonge zaidi kuliko matajiri. Bajeti iliyopitishwa na waziri wa fedha Mwigulu Lameck Nchemba ndio mtihani wa pili kwa Rais SSH baada ya dai la katiba mpya.

Huenda akaponzwa na waziri wa fedha lakini atabeba lawama yeye sababu yeye ndie alimteua na anaweza pia kumuwajibisha.

Je, kwa mabadiliko haya 2025 atatoboa?

USHAURI WANGU KWAKE
Pamoja na miradi mikubwa aliyokuwa amefanya mtangulizi wake haya maisha hayakuepo? Je kweli serikali imekosa chanzo kingine cha kuongeza mapata badala ya huduma zinazotumiwa zaidi na wananchi wa kawaida? Kwanini wasingebana kwenye vitu vya anasa kama alivyofanya Magufuli?

Je, ni Serikali kukamua wananchi kama njia ya kujiongezea mapato? Hakuna rasilimali zinazoweza kutumiwa kuiongezea serikali mapato?
Watu wengi wanashindwa kujua kwa nini kodi zimepanda. Fuatana nami katika hili;
Kipindi cha magufuli alijidhatiti katika ukusanyaji wa kodi, wafanyabiashara wakubwa waliokuwa wanalipa kodi isiyo sahihi walilazimishwa kulipa kodi sahihi na hii ikapelekea malalamiko haswaa kwa hao wakubwa kwamba wanaonewa na kudhulumiwa lakin jpm hakuwasikiliza walilipa kodi kwa lazima na wengine waliokuwa jeur walilazimishwaa kufungiwa biashara zao. Jambo la pili, magu kwa kiasi kikubwa sana alidhibiti wizi serikalini japo kwa wateule wachache waliendelea kuzipiga kwa akil ila kwa kiwango kikubwa sana alidhibiti mana zaman wakat wa jk hata mkuu wa idara tu alikuwa anaweza kukwapua billions of money. Sasa bas kwa kuwa hela zilikuwa nyingi kipind cha jpm ilipelekea kuanzishwa kwa miradi mikubwa ya serikal kwa kutumia pesa za ndani kwa asilimia kubwa na kias kwa mikopo japo hilo hakulisemea sana. Baada ya jpm kuondoka huku miradi mikubwa ikiwa ndo kwanza inachipua pesa nazo zilihitajika kuiendeleza. Sasa mama alipoingia akaanza na mkwara kwa wakusanya kodi kuhusu kubambikia watu au kuwalazimisha watu walipe kodi stahik huku akiwataka wasiwatishie wafanya biashara wakubwa. Hapo ndo akaharibu mana makusanyo yalishuka kama mwewee, miradi inamwangalia mikopo ni michungu sasa anafanyaje. Option alizonazo mkononi zikawa mbili, either abuni vyanzo vya mapato vingine kufidia gap la kodi kushuka au afuate ushauri wa zungu anaekaa posta ilala kuhusu kugandamiza walala hoi..kubuni vyanzo vingine it will take time and the mega projects will fade away, thus the only option she had was to abide with Zung's deadly and disgusted recommendation.
Hivyo ndo ilivyo tusimlaumu mama hakuwa na jinsi tukomae tu ili miradi mikubwa ikamilike..
Asanteni vijana.
 
Kama shule nimesoma Sana tena inawezekana nimekuzidi .
Katika shule zangu zote nilizopita sijawahi kukutana na numerical za namna hii.
Ndio umepata shule ya mtaa sasa acha kujitia umesoma sana wakati una zero ya Form 4 ww!
Aliyesoma hawezi acha kujua hili jambo dogo sana la darasa la 3! Hujaelimika
 
Ndio umepata shule ya mtaa sasa acha kujitia umesoma sana wakati una zero ya Form 4 ww!
Aliyesoma hawezi acha kujua hili jambo dogo sana la darasa la 3! Hujaelimika
Kwa taarifa yako o level nimesoma maua seminary ambapo mtu wa mwisho alipata division 2.
Acheni kuharibu lugha .
Katika shule zangu zote nilizosoma sijakutana na nambari za namna hiyo nadhani wewe ni mmoja wapo wa wale wanaotumia x badala ya s
 
Kwa kweli nisiwe mnafiki. Niliacha kupenda siasa toka baadhi ya wapinzani kuanza kuunga mkono juhudi za JPM. Marufuku ya siasa ikachangia pia. Utendaji wa hayati nao nikaupenda.

Kilichonifanya nisimpende Magufuli baadae ni hali ya mgawanyiko uliokuwa unaendelea nchini.

Haya ni Rais wetu JPM katangulia wapo waliofurahi na wapo waliosikitika pia.

Baada ya serikali ya awamu ya sita kuchukua hatamu na kuanza kufungulia mambo mengi yalifungwa na kurekebisha uhusiano na majirani, wapinzani, wafanyabishara na wafanyakazi kuongezewa mishahara,nchi ilikuwa kama umepata uhuru toka kwa mkoloni mweusi. Mama akapendwa na watu wote bila kuangalia itikadi yao.

Mara baada ya siku 100 kufika kauli yake kuhusu wapinzani na katiba mpya ikawatisha baadhi ya wananchi. Lakini bado hakupoteza mvuto.

BAJETI MPYA YA 2021-2022 YAMWARIBIA
Hapa ni lazima Hayati Magufuli akumbukwe na wote sababu alidaiwa kuwajali wanyonge zaidi kuliko matajiri. Bajeti iliyopitishwa na waziri wa fedha Mwigulu Lameck Nchemba ndio mtihani wa pili kwa Rais SSH baada ya dai la katiba mpya.

Huenda akaponzwa na waziri wa fedha lakini atabeba lawama yeye sababu yeye ndie alimteua na anaweza pia kumuwajibisha.

Je, kwa mabadiliko haya 2025 atatoboa?

USHAURI WANGU KWAKE
Pamoja na miradi mikubwa aliyokuwa amefanya mtangulizi wake haya maisha hayakuepo? Je kweli serikali imekosa chanzo kingine cha kuongeza mapata badala ya huduma zinazotumiwa zaidi na wananchi wa kawaida? Kwanini wasingebana kwenye vitu vya anasa kama alivyofanya Magufuli?

Je, ni Serikali kukamua wananchi kama njia ya kujiongezea mapato? Hakuna rasilimali zinazoweza kutumiwa kuiongezea serikali mapato?
Mazee mbona mnalalamika sana kwani nchi inaongozwa na CUF?? Hiyo bajeti imepitishwa na kuungwa mkono na wabunge waliopita bila kupingwa. Lipeni kodi acheni malalamiko.
 
Kwa taarifa yako o level nimesoma maua seminary ambapo mtu wa mwisho alipata division 2.
Acheni kuharibu lugha .
Katika shule zangu zote nilizosoma sijakutana na nambari za namna hiyo nadhani wewe ni mmoja wapo wa wale wanaotumia x badala ya s
Utaaibika we fala! Nyamaza ufiche ujinga wako fungua topic ya units of measurement ujifunze kitu mzee mnasoma shule za kupewa majibu ya Necta ili shule ipate wateja mtaelewaje vitu! Kupata div 1 ya majibu ya mezani sio kuelimika, siwezi kuulaumu mfumo uliowalea! BRN fella
 
Kufufuka ni ngumu ila misimamo yake itaendelea kuishi! Walioingia kwenye 18 zake ndio mnalia lia
Hakuna aliyeingia kwenye 18 zake ila alikuwa na roho mbaya, wivu, chuki, kinyongo, katili n.k

Jiwe alikuwa jitu katili la hovyo hadi leo siamini kama kweli tayari ni mfu.
 
Back
Top Bottom