15 November ...snowhite alizaliwa!

15 November ...snowhite alizaliwa!

Von Mo ahsante sana mkuu!ubarikiwe

MayGodBlessYou.jpg
View attachment 71240happy_birthday_tweety_bird-2003.gifimages.jpeg
 
happy birthday my dear mke mwenza! we share 15th!! MAY OUR ALMIGHTY GOD PROTECT YOU AND GRANT U MUCH BLESSINGS IN THIS WORLD, AND FINALY WE MEET IN HEAVEN! much luv my friend!
 
Happy birthday my bestito shostito snowhite! I wish you to have the courage to live at least one more dream, fulfill one more wish and make one more person's life beautiful.
 
Last edited by a moderator:
Happy Day snowhite, may your days be filled with happyness n laughter!

I thank God for ur life!
 
Last edited by a moderator:
Preta you are good! i love your gifts, and kuna mtu alikuwa aniambia gifts huwa zinamcharacterize mtoaji na mpokeaji na kwa kufuata kanuni alonipa naomba niakutangazie kwamba nakupenda sana.

"Preta will you please be my friend???
"

ooh....mi love you sooooo much......kwani si tulikuwa marafiki tayari...? me can't refuse that oooh......
 
rafiki na wapendwa wangu!leo ni siku yangu ya kuzaliwa

Namshukuru sana MUUMBA kwa baraka na baraka tele alizonijalia na pumzi anazonijaalia toka nilipozaliwa mpaka sasa

HAKIKA SIFA NA UTUKUFU NI WAKE

Namshukuru sana mama yangu kwa kunizaa na kunilea toka nikiwa tumboni mpaka aliponiacha na kurudi kwa Muumba wake,natamani sana angepata heri ya kuniona nikiwa sasa mama, mke najua na naamini angejivunia sana mimi

HAKIKA NAKUPENDA NA KUKUMBUKA SANA MAMA YANGU

Namshukuru sana baba yangu kwa kunileta duniani na kunilea, yeye amekuwa nguzo yangu na amani yangu mpaka aliponiacha naye kumrudi kwa Muumba wake, naye natamani sana angenishuhudia leo nikiwa ni mwanamke jasiri na shupavu kama alivopenda niwe

HAKIKA I MISS YU daddy,(mwenyewe alikuwa ananiita mama yangu coz nilipewa jina la bibi yangu)

Namshukuru sana mume wangu, amekuwa ni rafiki mpenzi kwa maisha yangu miaka 17 pamoja naye haikuwahi kuwa majuto kwenye maisha yangu!

HAKIKA NAKUPENDA UPEO MAISHA YANGU!(mie humwita NAFSI YANGU MIMI)

Nawashukuru sana watoto wangu, wamekuwa furaha na faraja ya pekee sana kwa maisha yangu wamekuwa zaidi ya watoto wangu, infanct ni mashosti zangu, nawapenda sana na hawajanidissappoint as a mother! I'm very proud of them

HAKIKA NAMASHUKURU MUNGU KWA AJILI YAO

Nawashukuru sana dada zangu,kaka zangu
najua nilivyokuwa mtundu na wa kudeka enzi hizo

MUNGU AWABARIKI SANA KWA KUNIFUNDISHA YOTE!tatizo tu hesabu ndo zilikataa kupanda!

JF friends!
You guys sijui niseme nini kuonyesha kuwa nawapenda sana kila mmoja kwa nafasi na upekee wake FP we unajua ni dada mkubwa, thank you very much for being one gfsonwin weye mwali hata sina maneno ya kukwambia, thank yu very much The Boss we ni big brother si unajua? Ahsante sana kwa kuwa hivyo Ciello wewe ni mamduchu enh? Yap i love you dogo BAK hujawahi kunidisappoint kwenye upande wa miburudiko ahsante brother Boflo ah we mtu sijui nisemeje, jua tu unanipa cheko na bashasha kwa post zako, af nakumbushia ile offer yangu ya massage treat! cacico mke mwenza we wajua vile u remind of those days! SnowBall mtoto wa kiume wa mama yangu thank yu pacha watu8 ahahahahhahhaha ahsante sana kwa mambo yetu yaleeee! Hujawahi kuniangusha si unajua? Kaizer na Asprin mimi proud being ur mwalimu bana lara 1 kino gal, hujawahi kunibore kwa uandishi wako, I like ur style girl!
MJ'r partner shukrani sana kwa kushare nami interest kwenye ushairi Kongosho bi harusi wangu, mimi love you kwa kweli, na ahid ya glambox lazima niitimize Zinduna Madame B , mwaJ na King'asti ndani ya chama letu kubwa nawapenda sana mashosti Mtambuzi mume ya mama ngina wewe lol!ahahahhahhhha love yu sana bana Dark City,HORSE POWER na Mkusa hongera sana kwa mawazo yenu

Well idadi ni kubwa saaaan nashindwa kuimaliza. Wengine woote NAWAPENDA SANA SANA SANA SANA!
Dear snowhite,

Moja ya zawadi kubwa kabisa ambazo binadamu huweza kupata na akaikumbuka kwa siku nyingi ni "Recognition" Nimesoma post yako hii na napenda nikiri kwamba imenigusa sana. Si tu kwamba kwasababu nami nimetajwa humo bali kwa namna ulivyomtaja kila mmoja na kwa namna gani unamtambua na sehemu yake katika maisha yako.

Nashukuru sana partner and sister, na katika siku yako hii nakutaki kila la kheri, baraka na maisha marefu na Mungu aendelee kukuongoza katika kila lile utakaloligusa na kulifanya. Just remember you got friends, sisters and brothers who appreciate you and recognize you.

:smow:Happy Birthday Partner and sister snowhite:smow:
 
Last edited by a moderator:
happy birthday snowhite

Mungu akujalie yaliyo mema, uzidi kung;ara na kung'arisha maisha yako, yeo na yetu

Much loooove
 
Last edited by a moderator:
Wow happy bdy 2u mamito snowhite,love u 2,MUNGU akubariki,akuongoze na akujalie maisha marefu na yenye furaha hapa duniani!!
 
Last edited by a moderator:
happy birthday my dear mke mwenza! we share 15th!! MAY OUR ALMIGHTY GOD PROTECT YOU AND GRANT U MUCH BLESSINGS IN THIS WORLD, AND FINALY WE MEET IN HEAVEN! much luv my friend!

kumbe nawe ni beibe wa Novemba kama watu8 na snochet.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom