15 wauawa kwa risasi Iran

15 wauawa kwa risasi Iran

Ukiuliza utaambiwa wamefanya huo ugaidi ili waende mbinguni na kutunikiwa malaika?

How stupid can a man be?!
hapo wanagombea bikra wanadanganywa kuwa zinawasubiri mbinguni....pathetic indeed
 
Kwa hivyo hizi hazipo, watu wamejitungia hazipo kabisa

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Wewe ndio unajitungia watu akina Nani


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wanacho paswa kujua watu kwanza ni kuifahamu kweli na kuto changanya matatizo tofauti kwa wakati mmoja

Unaweza kuta jambo la kisiasa lakini ina nasibishwa Dini

Au jambo la kitaifa fulani mwisho DINI ndio ina nasibishwa hilo ndio tatizo

Lau kama waislamu wakamua kwa kauli moja tu kusema kua hili si Dini bali ni la maslahi fulani tu.


Wanashindwa kufahamu na kutofautisha kati ya Dini na watu wa Dini kua inawezekana wakawa wako tofauti na hata hiyo Dini yenyewe

Sio kua sheria likitokea sehemu fulani basi. Watu wote watakua wafuataji wa sheria hiyo

Na hata ukiitazama

Saudia Arabia. Ni katika miji miwili tu ndio inaendeshwa kwa misingi ya Dini Makkah na Madini

Ukifika riadh na kwengineko tawala za kifalme za pale ndizo zenye mamlaka.

Sasa kuchanganya huku ndio husababisha watu kuhamak pasi na kufahamu mambo halisi

Au kwa kua na Elimu ndogo ya mambo


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Waweza kuwa sawa au siyo. Ni kweli wanaofanya vitendo hivi vya kigaidi ,mara zote hujiita ni wafia dini . Na ndiyo maana hivifanya kwa kuapia huyo Mungu wao na dini yao.

Kilichotakiwa ni dini (uislamu) kuwakana
hadharani , lakini siyo hivyo inavyotokea . Na akithubutu sheikh fulani kuwakana. Uhai wake nao unakuwa hatarini. So ni vigumu kuitenganisha dini hiyo na vitendo hivyo.

Kikubwa WaAfrica tulitakiwa kuthaminiana kwanza kabla ya vyote. Lakini mu Africa amekuwa mtumwa wa history.
 
The mausoleum includes the tombs of two sons of the seventh Shia Imam Musa al-Kadhim, who are also the brothers of the eighth Imam Ali al-Rida.

Wafuasi wa madhehebu haya ya kiIslamu ya Shia na Sunni lini wataacha kupigana kwa ajili ya itikadi tofauti wakati wote wanamkubali Mungu mmoja na Mtume Muhammad
 
Wavaa rozari mfano was mtoa mada Ni katika ile mijitu mijinga ya humu jukwaani...unaanzisha mada halafu unakuwa upande uliopo kukashfu I'man..

@mods@ Huyu kilaza mnamtazama tu ili iweje
 
Wewe ndio unajitungia watu akina Nani


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Kwa hivyo hamna maneno kama haya kwenye kurani

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
He
Huo ukweli wenyewe huujui
Au kwasababu wingi wa uongo wenu ndio mnataka ukweli ufutike

Kwa taarifa yako kila mnapo endelea kuonyesha chuki dhidi ya uislamu ndio mnafanya Dini iongeze wafuasi kutoka kwenu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hehehehe...hakuna mwenye chuki na uislamu..shida ni baadhi yenu kuitumia kuumiza wengine....mungu gani wa kutetewa na kupiganiwa kwa style hiyo ?.....hehehehe
 
Dini ya mchongo hiyo ya jamaa wa majini.

Hatari sana....

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Hapo kuna pandikizi. Watu wa magharibi wanafanya kila wanaloweza kudisturb maisha ya raia wa hilo taifa kama walivyoharibu mataifa mengine.

Ni muda sasa kupunguza influence ya US na Europe Africa na middle east ili stability ipatikane tuanze kujijenga kiuchumi na kuachana na mikaruzano.
Wewe jamaa ukifanikiwa kuoa utapata utulivu wa nafsi.
 
Back
Top Bottom