Mkuu yaani mimi Niko radhi niishie motoni lakini sio kua mbele ya allah wenu, muhammad wenu, majini yenu na issa wenu, yaaani hilo naomba ni kili mbele yako na hata mwisho wa dunia uwe shahidiNi wazi kuwa Mumerogwa, na mchawi ni nyinyi wenyewe. Kwa kweli hamuna tiba. Naona nikuwache kama ulivyo manake umeshaharibikiwa hapa dunia na akhera. Sasa labda muijiza ikujie kuinusuru nafsi yako. Mimi siwezi Kutukana mtu kwa jinsi unavyotukana wewe. Kama kwa mdomo mchafu umeshinda wewe. Naomba niishie hapo.
Wanaujua ukweli.. It doesn't take a rocket scientist to figure it out..Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.
Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Hiyo Bible waturuki wamekataa kuiweka hadharani ili wachunguzi huru waifanyie utafiti. Infact hiyo Bible ni uongo wa Waturuki ili kubust dhana iliyoko kwenye Quran kua Yesu hakusulubiwa. Na mimi hainishangazi kwakua Uongo kwao wasio katika Kristo umeruhusiwa iwapo unalengola kubeba imani yao. Wanacho kifanya Uturuki ni Al taqiya.Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.
Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Malizia kabisa kwa kusema kua Muhamady ndie mtume pekee aliye tumia upanga kulazimisha wtu wamuamini na ndie mtume pekee aliyekana na kusema vitabu vyoote vilivyo mtangulia vime chakachuliwa. Kabla ya hapo hakuna Nabii yeyote aliye tumia hiyo mbinu ya kijinga. Na pia ndie Nabii pekee aliye halalisha uongo iwapo utasaidia kueneza dini yake (Al taqiya) Na ndio Mtume pekee aliye oa katoto ka miaka 6 na kukibaka kikiwa na miaka 9. Bila kusahau kua ndio mtume pekee aliyekua akifanya miujiza akiwa pekeyake, he was so private. Alienda Mbinguni kwa punda wa upepo shahidi ni yeye na Punda, aligawanya Mwezi shahidi ni yeye na Mwezi. Qwi Qwi Qwi you need to be a total fool to trust a Terrorist and take him as a prophet.Yesu alikuja kabla ya Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie). Kwa hiyo Injili haiwezi ikazungumzia maisha ya Muhammed(rehma na amani zimfikie) kwani alikuwa bado hajaletwa duniani. Isipokuwa Yesu alisema kuwa Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie) atakuja badala ya yeye kuondoka. Soma John 16:7
"Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu."
Huyo Msaidizi ni Muhammed(rehmana amami zimfikie). Katika Bible ya Hebrew wanemtaja kwa jina lake kabisa. Lakini katika hii tafsiri ya kiswahili wameandika Msaidizi. Fuatilia.
Sababu ya Quran kumzungumzia Yesu kwa wingi ni kwa Sababu ni mtume wetu aliyepita kama walivyo zungumziwa mitume yote iliyopita, Moses, Abraham,Adam,Noah na wengine wengi. Sababu ingine kuwa Yesu anazungumziwa kwa Quran ni kwamba Yesu mwenyewe alisema kwenye Biblia kuwa huyo Msaidizi atamzungumzia. Soma John 16:26
"Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia".
Kwa hiyo yathibitisha kuwa Quran ni kitabu cha kweli na Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie) ni mtume wa kweli hata Yesu alimbashiria ujaji wake. Kama Quran ni kitabu cha Uongo kwanini Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie) asijizungumzie yeye mwenyewe tu?? Tafakari. Haya ni maneno ya Mungu na Mungu anawapenda watumwa wake.
Na mimi pia nipo tayari Kwenda Motoni kuliko kumuamini jamaa ambae ni Mbakaji na addict wa Ngono aliye ahidi Mbingu iliyojaa Ngono na Pombe. Can you imagine kwamba mbingu itakua na mito ya Pombe kwa hiyo kuna mito ya bia, mito ya whisky, Vodka, grapes wine, mbege, Chimpum, Gongo nk.Mkuu yaani mimi Niko radhi niishie motoni lakini sio kua mbele ya allah wenu, muhammad wenu, majini yenu na issa wenu, yaaani hilo naomba ni kili mbele yako na hata mwisho wa dunia uwe shahidi
Maliza kuandika aya nzima mkuu then tuje tuangalie muktadha wake. huwezi toa hukumu kwa mistari mitatu kwenye aya moja yenye mistari zaidi ya 100.Kwanini uamini Yesu amesulubiwa wakati Biblia inakuambia kuwa hakusulubiwa??
Ushahidi:
Wagalatia 3
1 Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa?
2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani?
3 Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili?
hasara itaibeba nani mkuu, usiwaonee huruma wasio jihurumia.Ni wazi kuwa wanaogopa kuuliza maswali IMANI yao. Hawatakiwi kuogopa, kwani ni bora wajue ukweli wakati bado wapo hai kushinda kufa na itikadi potofu kwani hasara ni kubwa mno.
Kaka kwa kweli umenichekesha. Sasa kabla hatujaenda kwa huyo shetani unayemsema wewe. Hivi kwa maelezo uliyoyatoa, nyinyi Wakristo wote hata kama mukifanya madhambi munaenda peponi na hamuna madhambi??? Au Sivyo ulivyosema??
Kwa uposema hivyo unamaanisha kuna Mtume aliyeletewa ujumbe wa Mungu kwa kupitia Jini au shetani??Enzi za miaka ya 1990s kulikuwa kuna mtoto anaitwa Sharifu hapa Tz nadhani alikuwa 5yrs or below alikuwa amehifadhi Msahafu wote. Na akipelekwa kwenye mihadhara. Naomba uchukue tahadhari unapozungumzia suala la devine power.
Au hujasikia manabii wa x-pel, na miujiza yao ya nguvu kweli kweli. Uzuri wa Biblia Yesu katufundisha njia rahisi ya kuwa ngamua. Njia hii ni matendo yao. Wewe ukiona Nabii/Mtume jua matendo yake na kuyatafakari.
Mfano Ibrahim ni maarufu kuwa Baba wa Iman sasa soma mambo yake kwenye hivi vitabu vitakatifu. Biblia inatufundisha jinsi alivyo kutana na Mungu, wakati mwingine na malaika. Sijawahi sikia au kusoma kuwa aliletewa ujumbe kutoka kwa Mungu kupitia jini/majini.
Ni hilo tu basi.
Na washawasha!
Kwa uposema hivyo unamaanisha kuna Mtume aliyeletewa ujumbe wa Mungu kwa kupitia Jini au shetani??
Mzazi wetu ni Adam.Ukishasema mlezi ina maana kuna mzazi wenu ambae alifariki kisha mkaachiwa huyo mola ambae ni mlezi wenu ryt....from a simple logic, sasa huyo mzazi wenu ni yupi?? Alafu mola akishakua mlezi ina maana pia na yeye anafamilia yake ryt, so it means ana mke pia ryt from very simple logic....
Kaka, huna jibu. Its as simple as that.Anatufundisha vitu vingi sana kwa mtu mwenye Imani thabiti, tunapewa maono, anatuongoza kuitafsiri biblia maana kuna mistari mingine Yesu aliongea bila ya kuitafsiri, yaani in short ni vitu vingi sana mkuu tunaongozwa kwenye ulimwengu wa kiroho
Kaka Biblia sio kitabu cha Mungu. Nakufahamisha Muda wote huelewi.Hahahaha alafu cha ajabu Imani karibia zote zina ia attack biblia slkuanzia Freemason, Uislamu, Mormon nk.......Ila Yesu kishasema mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe na nyinyi kwa kuishambulia biblia napata Amani sana maana naona mmeshaufahamu ukweli Ila mnapindisha maneno ili watu wawaamini........nilishaachaga kuisoma maana nilishakataaga kua Imani moja na Majini
Hakuna kitu kama INJIL ya Biblia. INJIL ni INJIL tu. Ni kitabu kinachojitegemea.Hahahahahahaha we jamaa una matatizo sana, unakurupuka kabla ya kuhoji Hapo ninaongelea Injili ya biblia....hiyo injili yenu ya kuitungia mapangoni na issa wenu mimi siitambui
Sawa tu. 'We are are just warners', maamuzi ni ya kwako. Ujumbe umekufikia lakini umeukana.Mkuu yaani mimi Niko radhi niishie motoni lakini sio kua mbele ya allah wenu, muhammad wenu, majini yenu na issa wenu, yaaani hilo naomba ni kili mbele yako na hata mwisho wa dunia uwe shahidi
Summun Bukmum U'myun fahum laa yarjiun. Hawa ni vipofu na viziwi.Wanaujua ukweli.. It doesn't take a rocket scientist to figure it out..
huyo msaidizi wa kweli atawambia yote ambayo yesu hakupata kuwambia,Anhaaa kumbe shida ni hapo tu, ROHO MTAKATIFU ni moja na ni kweli alishuka kipindi YESU yupo ili kuudhihirishia ulimwengu kua ni yule alotumwa duniani kuokoa ulimwengu.....sasa kipindi YESU anapaa ROHO MTAKATIFU akashuka ili atuongoze tulio wafuasi wa YESU katika ulimwengu wa kiroho.
Muhimu kuwa habari hiyo imekufikia. Sasa kufuatilia au kuidharau ni uamuzi wa kwako. Kwani faida au hasara pia ni ya kwako. Sisi tunawazindua tu, na huo ndio wajib wetu. Lakini zaidi ya hapo ni wewe mwenyewe.Hiyo Bible waturuki wamekataa kuiweka hadharani ili wachunguzi huru waifanyie utafiti. Infact hiyo Bible ni uongo wa Waturuki ili kubust dhana iliyoko kwenye Quran kua Yesu hakusulubiwa. Na mimi hainishangazi kwakua Uongo kwao wasio katika Kristo umeruhusiwa iwapo unalengola kubeba imani yao. Wanacho kifanya Uturuki ni Al taqiya.
kwahiyo mkuu unataka kutuambia huyo roho mtakatifu alishahama mbinguni na kaweka makao duniani baada ya pentecoste?,Anhaaa kumbe shida ni hapo tu, ROHO MTAKATIFU ni moja na ni kweli alishuka kipindi YESU yupo ili kuudhihirishia ulimwengu kua ni yule alotumwa duniani kuokoa ulimwengu.....sasa kipindi YESU anapaa ROHO MTAKATIFU akashuka ili atuongoze tulio wafuasi wa YESU katika ulimwengu wa kiroho.
mkuu unakubali kuwa yesu na barabba ni mtu yuliyule mmoja kwa mjibu wa maandiko ya bibilia?Na mimi pia nipo tayari Kwenda Motoni kuliko kumuamini jamaa ambae ni Mbakaji na addict wa Ngono aliye ahidi Mbingu iliyojaa Ngono na Pombe. Can you imagine kwamba mbingu itakua na mito ya Pombe kwa hiyo kuna mito ya bia, mito ya whisky, Vodka, grapes wine, mbege, Chimpum, Gongo nk.