1500 years Old Bible found in Turkey

1500 years Old Bible found in Turkey

Ni wazi kuwa Mumerogwa, na mchawi ni nyinyi wenyewe. Kwa kweli hamuna tiba. Naona nikuwache kama ulivyo manake umeshaharibikiwa hapa dunia na akhera. Sasa labda muijiza ikujie kuinusuru nafsi yako. Mimi siwezi Kutukana mtu kwa jinsi unavyotukana wewe. Kama kwa mdomo mchafu umeshinda wewe. Naomba niishie hapo.
Mkuu yaani mimi Niko radhi niishie motoni lakini sio kua mbele ya allah wenu, muhammad wenu, majini yenu na issa wenu, yaaani hilo naomba ni kili mbele yako na hata mwisho wa dunia uwe shahidi
 
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Wanaujua ukweli.. It doesn't take a rocket scientist to figure it out..
 
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Hiyo Bible waturuki wamekataa kuiweka hadharani ili wachunguzi huru waifanyie utafiti. Infact hiyo Bible ni uongo wa Waturuki ili kubust dhana iliyoko kwenye Quran kua Yesu hakusulubiwa. Na mimi hainishangazi kwakua Uongo kwao wasio katika Kristo umeruhusiwa iwapo unalengola kubeba imani yao. Wanacho kifanya Uturuki ni Al taqiya.
 
Yesu alikuja kabla ya Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie). Kwa hiyo Injili haiwezi ikazungumzia maisha ya Muhammed(rehma na amani zimfikie) kwani alikuwa bado hajaletwa duniani. Isipokuwa Yesu alisema kuwa Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie) atakuja badala ya yeye kuondoka. Soma John 16:7

"Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu."

Huyo Msaidizi ni Muhammed(rehmana amami zimfikie). Katika Bible ya Hebrew wanemtaja kwa jina lake kabisa. Lakini katika hii tafsiri ya kiswahili wameandika Msaidizi. Fuatilia.

Sababu ya Quran kumzungumzia Yesu kwa wingi ni kwa Sababu ni mtume wetu aliyepita kama walivyo zungumziwa mitume yote iliyopita, Moses, Abraham,Adam,Noah na wengine wengi. Sababu ingine kuwa Yesu anazungumziwa kwa Quran ni kwamba Yesu mwenyewe alisema kwenye Biblia kuwa huyo Msaidizi atamzungumzia. Soma John 16:26

"Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia".

Kwa hiyo yathibitisha kuwa Quran ni kitabu cha kweli na Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie) ni mtume wa kweli hata Yesu alimbashiria ujaji wake. Kama Quran ni kitabu cha Uongo kwanini Mtume Muhammad(rehma na amani zimfikie) asijizungumzie yeye mwenyewe tu?? Tafakari. Haya ni maneno ya Mungu na Mungu anawapenda watumwa wake.
Malizia kabisa kwa kusema kua Muhamady ndie mtume pekee aliye tumia upanga kulazimisha wtu wamuamini na ndie mtume pekee aliyekana na kusema vitabu vyoote vilivyo mtangulia vime chakachuliwa. Kabla ya hapo hakuna Nabii yeyote aliye tumia hiyo mbinu ya kijinga. Na pia ndie Nabii pekee aliye halalisha uongo iwapo utasaidia kueneza dini yake (Al taqiya) Na ndio Mtume pekee aliye oa katoto ka miaka 6 na kukibaka kikiwa na miaka 9. Bila kusahau kua ndio mtume pekee aliyekua akifanya miujiza akiwa pekeyake, he was so private. Alienda Mbinguni kwa punda wa upepo shahidi ni yeye na Punda, aligawanya Mwezi shahidi ni yeye na Mwezi. Qwi Qwi Qwi you need to be a total fool to trust a Terrorist and take him as a prophet.
 
Mkuu yaani mimi Niko radhi niishie motoni lakini sio kua mbele ya allah wenu, muhammad wenu, majini yenu na issa wenu, yaaani hilo naomba ni kili mbele yako na hata mwisho wa dunia uwe shahidi
Na mimi pia nipo tayari Kwenda Motoni kuliko kumuamini jamaa ambae ni Mbakaji na addict wa Ngono aliye ahidi Mbingu iliyojaa Ngono na Pombe. Can you imagine kwamba mbingu itakua na mito ya Pombe kwa hiyo kuna mito ya bia, mito ya whisky, Vodka, grapes wine, mbege, Chimpum, Gongo nk.
 
Kwanini uamini Yesu amesulubiwa wakati Biblia inakuambia kuwa hakusulubiwa??

Ushahidi:

Wagalatia 3

1 Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa?

2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani?

3 Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili?
Maliza kuandika aya nzima mkuu then tuje tuangalie muktadha wake. huwezi toa hukumu kwa mistari mitatu kwenye aya moja yenye mistari zaidi ya 100.
 
Ni wazi kuwa wanaogopa kuuliza maswali IMANI yao. Hawatakiwi kuogopa, kwani ni bora wajue ukweli wakati bado wapo hai kushinda kufa na itikadi potofu kwani hasara ni kubwa mno.
hasara itaibeba nani mkuu, usiwaonee huruma wasio jihurumia.
 
Condition ni kutubu dhambi zako na kusamehewa, kama wewe tayari ni mkristo.
Ila kaka unanishangaza wewe mwenye ilimu kubwa na nyinyi ya nini kuhangaika na mimi mwenye elimu chache na ya hapa na pale?
kwa nini upotenze muda wako bure kwa mtu wa aina yangu? Hii ni ajabu unajibu posts za mtu wa elimu chache!!!

Na washawasha!



Kaka kwa kweli umenichekesha. Sasa kabla hatujaenda kwa huyo shetani unayemsema wewe. Hivi kwa maelezo uliyoyatoa, nyinyi Wakristo wote hata kama mukifanya madhambi munaenda peponi na hamuna madhambi??? Au Sivyo ulivyosema??
 
Enzi za miaka ya 1990s kulikuwa kuna mtoto anaitwa Sharifu hapa Tz nadhani alikuwa 5yrs or below alikuwa amehifadhi Msahafu wote. Na akipelekwa kwenye mihadhara. Naomba uchukue tahadhari unapozungumzia suala la devine power.

Au hujasikia manabii wa x-pel, na miujiza yao ya nguvu kweli kweli. Uzuri wa Biblia Yesu katufundisha njia rahisi ya kuwa ngamua. Njia hii ni matendo yao. Wewe ukiona Nabii/Mtume jua matendo yake na kuyatafakari.

Mfano Ibrahim ni maarufu kuwa Baba wa Iman sasa soma mambo yake kwenye hivi vitabu vitakatifu. Biblia inatufundisha jinsi alivyo kutana na Mungu, wakati mwingine na malaika. Sijawahi sikia au kusoma kuwa aliletewa ujumbe kutoka kwa Mungu kupitia jini/majini.

Ni hilo tu basi.


Na washawasha!
Kwa uposema hivyo unamaanisha kuna Mtume aliyeletewa ujumbe wa Mungu kwa kupitia Jini au shetani??
 
Kwa uposema hivyo unamaanisha kuna Mtume aliyeletewa ujumbe wa Mungu kwa kupitia Jini au shetani??

Wewe wa sema. Mimi nilitaka kukutahadharisha tu kuwa kuna hata wakati watumia majini wana huo uwezo. Ndipo nikatoa mfano wa sharifu niolopata kuusikia. Tafadhali usiniwekee maneno sijataja mtume yeyote hapa! Narudia tafadhali sana. Wala sipo hapa kwa ajili ya kukashifu imani ya mtu yeyote maana na jua Mungu katupa akili sisi si hayawani tuna akili na hiyari ya kuchagua tuna chotaka/penda kukiamini? Na usinge leta hii topic hapa yenye huu upotoshaji wa Biblia usinge ni sikia nikiandika haya uliyo nilazimisha niya andike.

Ni wewe kujipia hasara na faida ulizo zipata wewe binafsi na kwa dini yako kwa kuleta hii topic.


Na washawasha!
 
Ukishasema mlezi ina maana kuna mzazi wenu ambae alifariki kisha mkaachiwa huyo mola ambae ni mlezi wenu ryt....from a simple logic, sasa huyo mzazi wenu ni yupi?? Alafu mola akishakua mlezi ina maana pia na yeye anafamilia yake ryt, so it means ana mke pia ryt from very simple logic....
Mzazi wetu ni Adam.
 
Anatufundisha vitu vingi sana kwa mtu mwenye Imani thabiti, tunapewa maono, anatuongoza kuitafsiri biblia maana kuna mistari mingine Yesu aliongea bila ya kuitafsiri, yaani in short ni vitu vingi sana mkuu tunaongozwa kwenye ulimwengu wa kiroho
Kaka, huna jibu. Its as simple as that.
 
Hahahaha alafu cha ajabu Imani karibia zote zina ia attack biblia slkuanzia Freemason, Uislamu, Mormon nk.......Ila Yesu kishasema mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe na nyinyi kwa kuishambulia biblia napata Amani sana maana naona mmeshaufahamu ukweli Ila mnapindisha maneno ili watu wawaamini........nilishaachaga kuisoma maana nilishakataaga kua Imani moja na Majini
Kaka Biblia sio kitabu cha Mungu. Nakufahamisha Muda wote huelewi.

TORAH kimeletwa na Moses
ZABUR imeketwa na David
INJIL imeletwa na Jesus
QURAN imeletwa na Muhammed.

BIBLE imeletwa na NANI??????

Sasa huyo aliyeleta BIBLE ndiyo Mungu wenu.
 
Hahahahahahaha we jamaa una matatizo sana, unakurupuka kabla ya kuhoji Hapo ninaongelea Injili ya biblia....hiyo injili yenu ya kuitungia mapangoni na issa wenu mimi siitambui
Hakuna kitu kama INJIL ya Biblia. INJIL ni INJIL tu. Ni kitabu kinachojitegemea.

Ulichokisema ni upuuzi kabisa. Chukua Engine ya 1Hz inafungwa kwenye Toyota Landcruiser, Prado, Hardtop etc. Sasa unapoenda kununua spare dukani za Engine hawakuulizi gari gani, wanakuuliza Engine gani. Ukisema 1Hz basi unapewa spare haijalishi ni gari gani. Kwahiyo Engine ya 1Hz ni moja tu. Ukizungumza unaeleweka. Hivyo nayo INJIL ni moja tu. Hakuna cha INJIL ya Biblia.
 
Mkuu yaani mimi Niko radhi niishie motoni lakini sio kua mbele ya allah wenu, muhammad wenu, majini yenu na issa wenu, yaaani hilo naomba ni kili mbele yako na hata mwisho wa dunia uwe shahidi
Sawa tu. 'We are are just warners', maamuzi ni ya kwako. Ujumbe umekufikia lakini umeukana.
 
Anhaaa kumbe shida ni hapo tu, ROHO MTAKATIFU ni moja na ni kweli alishuka kipindi YESU yupo ili kuudhihirishia ulimwengu kua ni yule alotumwa duniani kuokoa ulimwengu.....sasa kipindi YESU anapaa ROHO MTAKATIFU akashuka ili atuongoze tulio wafuasi wa YESU katika ulimwengu wa kiroho.
huyo msaidizi wa kweli atawambia yote ambayo yesu hakupata kuwambia,

hebu tudokezee mawili matatu ambayo roho mtakatifu aliwambia baada ya yesu kuondoka
 
Hiyo Bible waturuki wamekataa kuiweka hadharani ili wachunguzi huru waifanyie utafiti. Infact hiyo Bible ni uongo wa Waturuki ili kubust dhana iliyoko kwenye Quran kua Yesu hakusulubiwa. Na mimi hainishangazi kwakua Uongo kwao wasio katika Kristo umeruhusiwa iwapo unalengola kubeba imani yao. Wanacho kifanya Uturuki ni Al taqiya.
Muhimu kuwa habari hiyo imekufikia. Sasa kufuatilia au kuidharau ni uamuzi wa kwako. Kwani faida au hasara pia ni ya kwako. Sisi tunawazindua tu, na huo ndio wajib wetu. Lakini zaidi ya hapo ni wewe mwenyewe.
 
Anhaaa kumbe shida ni hapo tu, ROHO MTAKATIFU ni moja na ni kweli alishuka kipindi YESU yupo ili kuudhihirishia ulimwengu kua ni yule alotumwa duniani kuokoa ulimwengu.....sasa kipindi YESU anapaa ROHO MTAKATIFU akashuka ili atuongoze tulio wafuasi wa YESU katika ulimwengu wa kiroho.
kwahiyo mkuu unataka kutuambia huyo roho mtakatifu alishahama mbinguni na kaweka makao duniani baada ya pentecoste?,

mimi nijuavyo roho mtakatifu alikuwa akishuka mda wowote kwa mjibu wa bible na hakupaswa kuitwa MSAIDIZI AMA ROHO WA KWELI,

Kkila logic hapa inaonyesha msaidizi na roho wa kweli hawezi kuwa roho mtakatifu yule wa kwenye utatu.unless labda muwe mmefikisha miungu 4.
Roho wa kweli anaesemwa sio roho mtakatifu.
 
Na mimi pia nipo tayari Kwenda Motoni kuliko kumuamini jamaa ambae ni Mbakaji na addict wa Ngono aliye ahidi Mbingu iliyojaa Ngono na Pombe. Can you imagine kwamba mbingu itakua na mito ya Pombe kwa hiyo kuna mito ya bia, mito ya whisky, Vodka, grapes wine, mbege, Chimpum, Gongo nk.
mkuu unakubali kuwa yesu na barabba ni mtu yuliyule mmoja kwa mjibu wa maandiko ya bibilia?
 
Back
Top Bottom