1500 years Old Bible found in Turkey

Kumbe hii original bible mnayoipigia chapuo hapa Injili kama ilivyo andikwa na Mt Mark ina chapters zaidi ya 16. Achaweee!!! sikulijua hilo kweli hii ni original.

Na washawasha!



 
Kumbe hii original bible mnayoipigia chapuo hapa Injili kama ilivyo andikwa na Mt Mark ina chapters zaidi ya 16. Achaweee!!! sikulijua hilo kweli hii ni original.

Na washawasha!
hauko well informed ama unajitoa ufahamu ya nini nachomaanisha
 
hauko well informed ama unajitoa ufahamu ya nini nachomaanisha

Wewe unamshangaa Marko na kwa nini humshangai Paulo kuhusu kuwa au kutokuwa mwanafunzi wa Bwana Yesu? Kuna tofauti gani kati ya hidden gosple of Mark na hii original bible? yote haya si mahangaiko ya shetani na mawakala wake katika kuhakikisha wanapata wanadamu wengi watakao ungana naye katika lile ziwa la moto wa milele.

Na washawasha!
 
Mtume anapotoa ujumbe kwa watu wake haimaanishi kwa wanafunzi wake tu bali ni kwa wana israel wote kwani Yesu amekuja kwa ajili ya wana Israel.

Kama unaamini kweli kuwa MSAIDIZI kuwa ni ROHO mtakatifu ni sawa tu. Endelea kuamini. Lakini mimi nimeshakupatia hints sio lazima ukubaliane na mimi.
 
hata paul na luka nao ni walewale,walikoibukia haijulikani,lakini ndo waandishi wenyewe wa bible hao,
logic ya point yangu ni kuwa kitabu cha marco katika injili ndo cha zamani kupita vyote,maana yake ni kuwa kina matayo,yohana,luka walikopy kwa marco,
wakati injili ya marco inaonekana kusitishwa kabla baadae hawajaongeza baadhi ya paragraph,kina matayo wanaeleza moja kwa moja mpaka tukio na kufufuka yesu,
hapo unajiuliza,kama marco ndo injili ya mwanzo kwanini baadhi ya matukio yaliyoko kwenye vitabu vingine kama matayo,luka etc hayapo katika marco?
 
Unaposema Marko ndio kitabu cha kwanza unamaanisha nini? Cha kwanza wapi!

Na washawasha!

 
  • Wewe usichotaka kukisema ni muujiza siku ya kushuka kwa Roho Mtakatifu yaani Pentekosti. Soma hapo katika Biblia
  • ACTS 2:1-13 uone ukweli na hakuna uhusiano na Mtume Muhamad S.A.W.
  • Siku hiyo ya pentikosti walikuwepo watu kutoka pande zote za duniani . Kwa nini unataka kudanganya kuwa Yesu ni wa Wayahudi tu. Kumbuka siku hiyo ndio kipyenga cha kuihubiri Injili duniani kote kilipo pulizwa. Ndio twaweza kusema hivyo. Maana wale waumini walipo jazwa Roho Mtakatifu wali nena kwa lugha mbalimbali. Hata wewe BigBros ungali bahatika kuwapo pale ungesikia wale waumini walio kusanyika wakinena kwa kilugha cha BigBros.
  • Sasa labda utuambie Injili ya Qouran inavyo sema kuhusu Mtume S.A.W kuwa ndiye aliyetabiriwa na Bwana Yesu.
Biblia ina tuambia Roho Mtakatiku atakuwa msaidizi na mfariji wetu. Sasa ni kuulize kama Mtume Muhamad S.A.W. tunakubalina kuwa alikufa na kuzikwa na haja fufuka hadi hii leo. Iweje awe msaidizi na mfariji? Hata yeye si anahita huu msaada wa Mungu wa kufarijiwa na kufufuka?

Na washawasha!



 
Chakwanza kuandikwa katika vile vya injili.
 
Logic is for you as human being
God is not limited to logic he can do things that are illogical to us.

Kama unafikiri kitabu hicho kiko sambamba na Quran chukueni tumieni msikitini.

Biblia haikuandikwa kutafuta usambamba bali kueleza mapenzi ya Mungu kwa wanadamu
 
Sawa kaka. Hiyo ni mani yako na uhuru wa kuamini chochote utakacho. Kitu muhimu ni kuwa ujumbe nimekufikishia. Kama hujaridhika na ushahidi niliokupatia basi.
 
mkuu unakubali kuwa yesu na barabba ni mtu yuliyule mmoja kwa mjibu wa maandiko ya bibilia?
Labda kwa Mujibu wa hiyo Bible Feki ya Waturuki. Yesu na Baraba ni watu wawili tofauti kabisa.
 
Muhimu kuwa habari hiyo imekufikia. Sasa kufuatilia au kuidharau ni uamuzi wa kwako. Kwani faida au hasara pia ni ya kwako. Sisi tunawazindua tu, na huo ndio wajib wetu. Lakini zaidi ya hapo ni wewe mwenyewe.
Kazindue wenzio wanao amini Mungu anaweza kumteua a pedophile kuwa nabii. Eti Mtume aligawanya Mwezi!! really! Nadhani jamaa alikua anadhani Mwezi ni kama sahani inayo ng'aa angani. Tokea Dunia ianze hakuna sehemu Mungu amewalazimisha watu wamuabudu kwa kutuma a mercyless killer.
 
huyo msaidizi wa kweli atawambia yote ambayo yesu hakupata kuwambia,

hebu tudokezee mawili matatu ambayo roho mtakatifu aliwambia baada ya yesu kuondoka
Kwanza ili kuthibitisha kua huyo msaidizi waliye letewa sio huyo Mtume wenu, Yesu alifundisha Upendo, msamaha na kuto kulipiza kisasi wala kuhukumu. Ila Mtume wenu kaja na kufundisha Kisasi, Utengano na chuki, Bila kusahau kuhukumu tena kuhukumu kwa kifo.
 
Labda kwa Mujibu wa hiyo Bible Feki ya Waturuki. Yesu na Baraba ni watu wawili tofauti kabisa.
Labda kwa Mujibu wa hiyo Bible Feki ya Waturuki. Yesu na Baraba ni watu wawili tofauti kabisa.
au basi watakuwa ndugu maana baraba anaitwa ,"jesus Barabba".
Na maana ya Barabba ni-
Bar-son
Abba-father.
Barabba-Son of the father

jesus baraabba--Jesus son of the father,

halafu ndo kuna

Jesus of Nazaret,ambae pia alijiita mwana wa mungu baba=jesus son of the father.

Je no coincidence au ni by design?
 
huu mchezo hautakangi hasira mkuu......
 
Kwa kweli IGNORANCY ni adui mkubwa kushinda Shetani. Naomba niishie hapo.
 
haya na wewe nenda Nigeria ukachukue unabii na utume uje kujaza kanisa maana mungu wenu anaishi ABUJA
 
Sawa kaka. Hiyo ni mani yako na uhuru wa kuamini chochote utakacho. Kitu muhimu ni kuwa ujumbe nimekufikishia. Kama hujaridhika na ushahidi niliokupatia basi.

Huu ndio ungwa wa kujua Imani ya mwenzako ukaiheshimu. Sio wewe uko imani nyingine una mshauri mtu wa imani nyingine kuhusu imani yake.


Wewe wakati wowote ukitaka nielezee kuhusu imani yako nitakusikiliza sana na kukuelewa halafu nitafanya maamuzi kutokana na ulichonieleza nikilinganisha na ninacho amini.

Na washawasha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…