Kumbe wewe mgeni dar au bado kijana mdogoUsizungumze kitu kama huna historia ya kutosha. Unajua Waislamu walikuwa wanalazimishwa kula nyama ya Nguruwe?? Hadi hapo mwinyi alivyoshika madaraka ndio akasuluhisha hilo jambo na kusema rukhsa kila mmoja ale atakacho. Sasa huo si ulikuwa uchochezi wa Imani? Je uliwahi wasikia Waislamu kufanya fujo kwa hilo??
Dini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na diniKumbe wewe mgeni dar au bado kijana mdogo
So you one of non believers
Do u know the meaning of Obragated??So you one of non believers
Huna cha kuzungumza, au?Kumbe wewe mgeni dar au bado kijana mdogo
Abrogate not obragate. OK?Do u know the meaning of Obragated??
SijakuelewaDini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na dini
Nini nini au ndio una social phobia diseaseSio biblia iyo
Wapagani shida kweliKweli ujinga na unafiki ni shida wakristo na waislam na wapagani wa sasa dini yetu ni moja tu jina lake ni UOVU kwa sababu tunafanana katika uovu ni muisilamu na mkristo lakini mwizi ni muisilamu na mkristo lakini tapeli ni muisilamu na mkristo lakini kahaba ni muisilamu na mkristo lakini fisadi ni muisilamu na mkristo lakini shoga for now muisilamu na mkristo ni sawa tu wote dugu moja OVU OVU tu akuna kitu hapo
It is equally true that some Moslems do not believe that Mohammed abrogated the Qur'an.
Wakoloni wamekuletea Wakristo, Uislamu haujaja na Ukoloni. Soma historia vizuri ujue Uislamu uliingia lini East Africa. Uislamu ulikuja tokea karne ya 7 na hawaja wakolonise Africa. Walikuja kuleta dini na kutoa watu ujinga. Wakoloni walifuata miaka mingi baada ya hapo. Kwa hiyo Islam haikuletwa na wakoloni. Ukristo uliletwa na Wakoloni na walileta dini hiyo ili kuwatawala Waafrica. Usichanganye kati ya Ukristo na Islam.Dini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na dini
Usichanganye kati ya kuheshimu dini na kutoa dosari ya dini. Kuheshimu dini ni zote no jambo la lazima lakini kutoa dosari dini sio kosa. Kutukana dini ni kosa.Dini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na dini
Uliosema ni ukweli kabisa na ni simple understanding. Lakini hapo Wakristo wanalikoroga koroga na kuvumbua vitu vya ziada visivyokuwepo.kusulubiwa maana yake ni kufa msalaban,come to think of it,wanasema yesu alikufa ijumaa na alifufuka siku ya 3, yesu mwenyw alisema ishara yake itakuwa ni sawa na ishara ya nabii yona, alimezwa na samak kwa usiku3 na mchana3.lkn yona siku hizo zote alikuwa hai, pia ukija ktk time factor, wanachotwambia makondoo wa bwana kuwa yesu alifufuka siku ya 3 si kweli, coz alikufa ijumaa(siku ya kwanza) jumamos(siku ya pili) hizo siku tunahesab kwa mchana na usik, lkn jpili asubuh saa 3 yesu hakuwemo kaburini, so siku tatu hazkufika na ht zingefike bas alkuwa hai km alivyokuwa yona.. yesu hakufa msalabani.
ss kama sio biblia ni nn?Sio biblia iyo
ss kama sio biblia ni nn? headline imeandikwaje kwani?Sio biblia iyo
nikuulize swali hebu jaribu ku-relate versions tofauti za bible yaaani za miaka tofauti tofauti halafu ulete feedback hapaMaana nib1500 years old ambayo ina maana miaka ya karne ya 5 yaani 500 AD.
Sasa jiulize yesu aliishi 500 years before that .na ilikiwa written katika biblia kuwa alisulubiwa sasa inakuaje mtu aje abadilishe.
Mfano mzur nyerere amefariki london na kuzikwa butiama baada ya miaka mia tano 500 wanaibuka watu wanasema alikufa butiama na kuzikwa london
-Kwa kweli mkuu utatumia nguvu nyingi sana kuwafunua bongo lakini bila mafanikio bado watakataaaaaa ukweliBiblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.
Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
katika mifano yako sijaona mpaganiKweli ujinga na unafiki ni shida wakristo na waislam na wapagani wa sasa dini yetu ni moja tu jina lake ni UOVU kwa sababu tunafanana katika uovu ni muisilamu na mkristo lakini mwizi ni muisilamu na mkristo lakini tapeli ni muisilamu na mkristo lakini kahaba ni muisilamu na mkristo lakini fisadi ni muisilamu na mkristo lakini shoga for now muisilamu na mkristo ni sawa tu wote dugu moja OVU OVU tu akuna kitu hapo