1500 years Old Bible found in Turkey

Kumbe wewe mgeni dar au bado kijana mdogo
 
Dini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na dini
 
Wapagani shida kweli
 
It is equally true that some Moslems do not believe that Mohammed abrogated the Qur'an.

Meaning of Abrogate is to abolish by formal or official means; annul by an authoritative act; repeal:

What do mean by saying Prophet Muhammad(May peace be upon him) Abrogated the Quran?
 
Dini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na dini
Wakoloni wamekuletea Wakristo, Uislamu haujaja na Ukoloni. Soma historia vizuri ujue Uislamu uliingia lini East Africa. Uislamu ulikuja tokea karne ya 7 na hawaja wakolonise Africa. Walikuja kuleta dini na kutoa watu ujinga. Wakoloni walifuata miaka mingi baada ya hapo. Kwa hiyo Islam haikuletwa na wakoloni. Ukristo uliletwa na Wakoloni na walileta dini hiyo ili kuwatawala Waafrica. Usichanganye kati ya Ukristo na Islam.
 
Dini sio zakusemana , wote apa tumezikuta dini wametuletea wakoroni, so kila m2 aheshimu dini ya mwenzie , akuna aliezaliwa na dini
Usichanganye kati ya kuheshimu dini na kutoa dosari ya dini. Kuheshimu dini ni zote no jambo la lazima lakini kutoa dosari dini sio kosa. Kutukana dini ni kosa.
 
kusulubiwa maana yake ni kufa msalaban,come to think of it,wanasema yesu alikufa ijumaa na alifufuka siku ya 3, yesu mwenyw alisema ishara yake itakuwa ni sawa na ishara ya nabii yona, alimezwa na samak kwa usiku3 na mchana3.lkn yona siku hizo zote alikuwa hai, pia ukija ktk time factor, wanachotwambia makondoo wa bwana kuwa yesu alifufuka siku ya 3 si kweli, coz alikufa ijumaa(siku ya kwanza) jumamos(siku ya pili) hizo siku tunahesab kwa mchana na usik, lkn jpili asubuh saa 3 yesu hakuwemo kaburini, so siku tatu hazkufika na ht zingefike bas alkuwa hai km alivyokuwa yona.. yesu hakufa msalabani.
 
Uliosema ni ukweli kabisa na ni simple understanding. Lakini hapo Wakristo wanalikoroga koroga na kuvumbua vitu vya ziada visivyokuwepo.
 
nikuulize swali hebu jaribu ku-relate versions tofauti za bible yaaani za miaka tofauti tofauti halafu ulete feedback hapa
 
-Kwa kweli mkuu utatumia nguvu nyingi sana kuwafunua bongo lakini bila mafanikio bado watakataaaaaa ukweli
 
katika mifano yako sijaona mpagani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…