kusulubiwa maana yake ni kufa msalaban,come to think of it,wanasema yesu alikufa ijumaa na alifufuka siku ya 3, yesu mwenyw alisema ishara yake itakuwa ni sawa na ishara ya nabii yona, alimezwa na samak kwa usiku3 na mchana3.lkn yona siku hizo zote alikuwa hai, pia ukija ktk time factor, wanachotwambia makondoo wa bwana kuwa yesu alifufuka siku ya 3 si kweli, coz alikufa ijumaa(siku ya kwanza) jumamos(siku ya pili) hizo siku tunahesab kwa mchana na usik, lkn jpili asubuh saa 3 yesu hakuwemo kaburini, so siku tatu hazkufika na ht zingefike bas alkuwa hai km alivyokuwa yona.. yesu hakufa msalabani.