1500 years Old Bible found in Turkey

1500 years Old Bible found in Turkey

ENDELEA HIVYO HIVYO, MOTO UNAKUSUBIRI USIPOBADILIKA. MUNGU MFUGA MAJINI MUNGU GANI HUYO?????????/ /MUNGU MFUNDISHA UCHAWI MUNGU GANI HUYO??????? MUNGU WA KUOKOA MPAKA UVAE HIRIZI NA KUFANYA MATAMBIKO NDIYO AKULINDE............UKITAKA MAMBO YANYOOKE HADI UENDE KWA WAGANGA NA WACHAWI WA DINI YAKE, KUPATA WATEJA HADI UFUKIZE UDI,
AKAFIE MBALI KAMA ALIVYOKUFA MTU WAKE HUYO UNAYEMTETEA.
NA YESU NDIYE MUNGU NA TENA NI MWANA WA MUNGU TENA NDIYE ATAMHUKUMU SIKU YA MWISHO HUYO UNAYEMTETEA
Niambie wapi YESU kasema mimi Mungu niabuduni??? Usizushe uongo. Haupo kanisani hapa. Leta Ushahidi

Nakupa ushahidi ndani ya Biblia Yesu akisema Mungu ni mmoja Tu na sio yeye.

John 8:40
40 Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo.

Hapo Yesu kakujibu yeye Sio Mungu. Sasa wewe unayesema Yesu Mungu umetoa wapi bwana mkubwa????
 
Kama una pendekeza tuamini kuwa mohamed alitumwa na Yesu pia unamuumbua mohamedi mfuasi wa kristo (mkristo) alikiuka utume wake na kutangaza mambo aliyoyapenda yeye kwa maslahi yake yaani Ngono na utapeli.
Wewe kweli huna akili.
 
It seems you have a problem of decontectualization. Umerudia kosa lile lile la kotozingatia mktadha. Zab 91 ni ulinzi wa Mungu kwa waja wake sio specific kwa Yesu. Do not try to insert your own idea which is not there. You should interpret the Bible literary and figuratively according to its context
Why are you speaking as if you do not bilieve Bible is not God's words?? The Concept is if God proclaim to protect his loved ones then he never fails. Thats the point which stressed here. In that case how come He let Jesus safers even though Jesus asked for his protection several times???

Inatakiwa uwe mchambuzi. Jibu hilo swali tafadhali.
 
Bora muamini Mungu tu, Mkiamini hivyo vitabu mtachemka, vimekwisha badilishwa hivyo.
 
Hakuna shida..... Hata wangegundua iliyoandikwa miaka 100 AD halafu ikaonekana haielezi kile kilichopo katika imani ya ukristo HAITAWEZA KUBADILISHA UKWELI.

'Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote,kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo'(MDO 4:12)

Tena Yesu anazungumza mwenyewe akisema:

'Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima,bali ghadhabu ya Mungu inamkalia'(Yoh. 3:18)

Yesu alimwaga damu kama ishara ya ukombozi. Hakuna msamaha bila damu. Mungu ametuhurumia kwa kutuletea Yesu ili awe mpatanishi kati yetu na Mungu.

Huhitaji kutumia nguvu, ni kuamini tu......!
Ndugu! Hii dunia kuanayo macho, muombe Mungu akusamehe kwa usiyoyajua.
 
Nini swali lako kaka? Manake naulizwa maswali mengi humu ndani. Hata sikumbuki nani kauliza nini. Nikumbushie swali.


Wewe mpiga zumari wa waturuki katika kuipotosha kweli subiri stahiki yako. Waturuki wenyewe tayari wamesha pata stahiki yao sasa wanakamatana uchawi kwa kwenda mbele hakuna kuaminiana tenda taifa lao lina sambaratika slowly but sure.

Na washawasha!
 
Nini swali lako kaka? Manake naulizwa maswali mengi humu ndani. Hata sikumbuki nani kauliza nini. Nikumbushie swali.

Angalia kwenye posts zangu humu maswali na wala si swali yako na uyajibu.

Swali la nyongeza hii biblia original ina liongelea je suala la kuabudu sanamu? Vipi nyoka wa shaba kapewa nafasi kwenye original bible?

Na washawasha
 
Kuna mahali Mkristo yeyote alikuambia ana mashaka na ukweli wa anacho kiamini ili wewe upate sababu ya kuvalentia kumsaidia kujua huo ukweli? Kwa nini usihubiri kweli ya unacho kiamini wewe ili watu waione hiyo kweli na waifuate? Nini kina kufanya uhangaikie kweli ya imani ya Wakristo? Je wa weza kututajia jina hata moja la dhehebu la Kikristo linalo fuata hiyo itawayo original bible maana tangu waturuki waigundue ni muda sasa?

Au kuna historia ina onesha kuwa kuna dhehebu la kikristo lililowahi kuitumia hiyo original bible. Maana kama ilikuwapo basi kuna waliyo iandika na kuitumia kama kitabu chao. Sasa kwa huko kujitolea kwako tusaidie kuwa fahamu walio wahi kuitumia hiyo original bible, maana huwezi kuichakachua yenyewe na wale walio wahi kuitumia, karibu tafadhali.

Na washawasha!



Sijui inavitabu vingapi. Mimi nimekuanzishia. Wewe ni wajibu wako ufuatikie dini yako ujue ukweli. Usiniulize mimi kana kwamba mimi ndiye nilichokiandika. Nyinyi munataka mutafuniwe, mukitafuniwa munashindwa kumeza. Sasa ni bora mufuatilie imani yenu mupate kujua ukweli.
 
Shida ni kuwa munakana maneno yakiandikwa ndani ya Biblia kisha munajita Wakristo. Sasa mbona kitabu chenu chenyewe munakikana?

Nimekuuliza unaikubali Deuteronomy 24:16?
Hukunijibu hadi sasa. Au Unakimbia suali?
Nimekimbiaje wewe....ntakanaje mistari ya biblia akati ndo kitabu changu....
 
Wewe kweli Sifuri. Siku ya mwisho unamaanisha nini?? Hapi katika maelezo yako umechanganya.

Yesu atakuja siku za mwisho wa ulimwengu. Mtume Muhammed ameshatangulia mbele ya haki, yeye hamsubiri Yesu. Wataomuona Yesu ni watu wataokuwa hai wakati huo. Unajua Yesu anakuja kufanini??
Kama kweli unasoma biblia jibu utakua nalo la kuhusu kwanini YESU anakuja siku ya mwisho.........
 
Kama ingekuwa hivyo ingekuwa raha sana. Lakini sivyo ilivyo.

Ni kweli Adam na Hawa walitenda kosa na kwa sababu hiyo tumeletwa Duniani. Ila pepo yetu ipo pale pale, na Mungu anataka watu wanaomtii yeye tu ndiyo awaingize peponi kwa Rehma zake.

Mtume Muhammed(Rehma na Amani zimfikie) aliwaambia Maswahaba wake kuwa kila mtu ataingia Peponi isiyokuwa yule asiyetaka. Maswahabu wakamuuliza ewe mjumbe wa Mungu ni nani atakeyekataa kuingia peponi? Mtume(Rehma na Amani zimfikie) akasema asiyetaka ni yule anayesikia wito wa Mungu na akaukana. Kwahiyo ingawaje Babu yetu Adam alikosea lakini alitubia na Mungu akamsamehe. Sasa pepo yetu ipo pale pale, jambo la msingi ni maamuzi yetu tu.

Na kusema Fabrication ni maake Uzushi. Tukisoma Old Tastement inasema kama Quran inavyosema kuwa kila mtu na dhambi zake. Haitawezekana mtu mmoja abebe dhambi za mwingine. Siku ya mwisho ifikapo Kila mmoja atahukumiwa kwa yale aliyoyatenda. Hiyo siku Wakristo watamkimbilia Yesu na Yesu atawakana. Hatakuwa mtetezi wa yeyote yule kwani yeye mwenyewe yupo katika mkumbo mmoja ingawaje Mitume hawana madhambi ila hawawezi kumtetea mtu siku hiyo ya mwisho. Hiyo ni siku ya hasara kwa aliyekana ukweli ulipomfikia na siku hiyo ni furaha kubwa kwa aliyeukubali ukweli na akatenda yale aliyoamrishwa. Siku hiyo watu watakimbiana, mama atamkibia mwanae na mwana atamkimbia *****, baba atamkimbia mkewe na wanawe na wao hivyo hivyo watakimbiana. Hakutakuwa na mtetezi siku hiyo na milango ya toba itakuwa imefungwa. Ndugu zanguni muda mliokuwa nao dunia muutumie kuutafuta ukweli kwani hiyo hali itakapofika mutakuwa kwenye hasara kubwa. Kumbuka utaishi maisha ya milele bila kufa, sasa uamuzi ni wa kwako either uende peponi au motoni.
Unajua bible unasoma kama hadithi, roho mtakatifu anakiwa akuongeze ukisoma neno la mungu.Yesu alikuja kutuokoa kwa kupitia yeye,kabla ya hapo walikuwa wanatoa sadaka ya kuteketeza ili wasamehewe dhambi.Sio kwamba ukiwa na jina la Patrick au joyce ndo uone ufalme wa mbingu ila ukimfuata na kwa kukabidhi maisha yako kwa mungu.Ila ukifanya dhambi hukumu itakuwa juu yako.
 
Baada ya kukubaliana kuwa Zab 91 sio specific kwa Yesu sasa njibu swali lako.

God is Omnpotent, omnscient and omnpresent. You do agree right! He has his purpose and his way of doing things right!

Therefore he is able to choose suffering, death or any kind of methods to accomplish his purpose.

Alifanya ivo kwa mja wake Ayubu. Ayubu 2:8-9 [8]Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.
[9]Ndipo mkewe akamwambia, Je! Wewe hata sasa washikamana na utimilifu wako? Umkufuru Mungu, ukafe.

alifanya ivo kwa mja wake Yusufu kwa kufungwa gerezani Mwanzo 39:20
[20]Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali walipofungwa wafungwa wa mfalme, naye akawamo humo gerezani.

Alifanya ivo kwa waja wake Israel.
Kutoka 1:11
[11]Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.

Na akafanya ivo kwa Yesu.

Shida ni nini kama Mungu mwenyew ameamua? Unataka kumshinikiza afanye kama utakavyo?
 
Deuteronomy 24:

16. "Parents are not not to be put to death for crimes committed by their children, and children are not to be put to death for crimes committed by their parents; people are to be put to death for crimes they themselves have committed.

Hapa ndipo kunako udhibitisha Uungu wa Bwana Yesu. Kuwa Mungu akiwa kauvaa uwanadamu alisulubiwa akafa akazikwa na kufufuka ili kuichukua dhambi ya ulimwengu wote.

Haya maneno katika hii nukuu ya Biblia ni ya kweli tupu kuwa hamna mwanadamu anayeweza kufanya hayo ila Mungu Mwana ambaye ndiye Bwana Yesu. Na masharti ya kupata msamaha wa dhambi ambayo Yesu kaichukua kwa niaba yetu ndio haya.

Utubu dhambi zako na kuziacha halafu umpokee kwa kubatizwa kwa maji na kwa roho, hivyo tu basi.

Lakini kwa vile neema ya hekima ya hili neno wamenyimwa wazee na kupewa watoto ndio hivyo watu wanaendelea kuifanya mioyo yao migumu na kujitoa ufahamu.

Na washawasha!





Shida ni kuwa munakana maneno yakiandikwa ndani ya Biblia kisha munajita Wakristo. Sasa mbona kitabu chenu chenyewe munakikana?

Nimekuuliza unaikubali Deuteronomy 24:16?
Hukunijibu hadi sasa. Au Unakimbia suali?
 
Biblia inajadiliwa sana maana lugha inaeleweka...ingeandikwaga kiibrania tu watu wakariri bila kuelewa kama hawa wenzetu.
 
Back
Top Bottom