Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa ndio wanasuka mipango yote ya kijanja hapa duniani
Mnyama ambaye mwanadamu amejaribu sana kumfuga lakini bado amepata tabu.
Zebra hafugiki mkuu. Ni ngumu kumfuga kwa sababu hana urafiki na mwanadamu na hatabiriki, tofauti na 'ndugu yake' farasi. Na hii ndio sababu kwa nini Afrika licha ya kuwa na mnyama huyu maelfu ya miaka iliyopita, hawakuweza kumtumia kwa faida kama Farasi walivyomtumia watu wa Middle East na ulaya.Si kweli.
Hii familia inamiliki 95% ya utajiri wa dunia.
Hii familia inamiliki 95% ya utajiri wa dunia.
Nilisoma mahala kuwa hawa jamaa hawana nguvu kama waliyokuwa nayo 19th to 20th C.Hawa jamaa ndio wanasuka mipango yote ya kijanja hapa duniani
Kama ulikuwa hujui now ushajua....95% ya utajiri wa dunia???----- are you serious or kidding!!?[emoji33]---- kwa maana hiyo 5% iliyobaki ndio inamilikiwa na almost 7bn people??!!
For real best
Kama ulikuwa hujui now ushajua....
Hii familia ndiyo iliyovumbua mfumo wa "bank".
Wamewekeza kwenye madini na nishati dunia nzimaKugundua mfumo wa bank ndio kumiliki 95% ya utajiri wa dunia??-- huoni Kwamba hivyo ni vitu viwili tofauti??? ,, utajiri wa dunia ni kiasi gani interms of $ dollar??--- ili tujue 95% yake.
Hiyo 95 wanayomiliki inatoa ajira na wanapata faida.