Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
Hawa wana mkono Barrick, almasi Mwadui, machimbo ya dhahabu Ashanti Ghana, South Africa kwa kifupi wako kila mahali.
Share majority
Kuvumbua mfumo wa Bank ndio kuwa Tajiri?Kama ulikuwa hujui now ushajua....
Hii familia ndiyo iliyovumbua mfumo wa "bank".
Mabenk yote mkubwa originated from them, railway kubwa ni initiative zao makampuni kama coca cola n Pepsi wali anzisha na wanae joy loyarities mpka kesho kutwa so far wana miliki 1/3 ya uchumi wa Dunia.Wamewekeza kwenye madini na nishati dunia nzima
Zebra hafugiki mkuu. Ni ngumu kumfuga kwa sababu hana urafiki na mwanadamu na hatabiriki, tofauti na 'ndugu yake' farasi. Na hii ndio sababu kwa nini Afrika licha ya kuwa na mnyama huyu maelfu ya miaka iliyopita, hawakuweza kumtumia kwa faida kama Farasi wakivyomtumia watu wa Middle East na ulaya.
Wamewekeza kwenye madini na nishati dunia nzima
Hii familia inamiliki 95% ya utajiri wa dunia.
Hapana Sky kwa sasahiv no... hiyo 95% labda zamani ila kwa sasa utajiri wao upo diluted sana hata kama wanafanya siri ila kwa sasa nakataa.For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
Hawa wana mkono Barrick, almasi Mwadui, machimbo ya dhahabu Ashanti Ghana, South Africa kwa kifupi wako kila mahali.
Uko sawa Kuna wakati walikuwa na nguvu sana duniani, hasa 19 century kabla ya mataifa mengi ya Afrika kupata Uhuru. Cold War ilichangia kuwarudisha nyuma pia kutokana na mifumo ya utawala imebidi wagawe sana share zao.Hapana Sky kwa sasahiv no... hiyo 95% labda zamani ila kwa sasa utajiri wao upo diluted sana hata kama wanafanya siri ila kwa sasa nakataa.
Hapo umeanza kurudi kwenye line,sasa umefafanua vema.Uko sawa Kuna wakati walikuwa na nguvu sana duniani, hasa 19 century kabla ya mataifa mengi ya Afrika kupata Uhuru. Cold War ilichangia kuwarudisha nyuma pia kutokana na mifumo ya utawala imebidi wagawe sana share zao.
Yes central bank ya USA na UK almost mabenki yote makubwa na system ya pesa iko chini yao , kuna familia 13 kubwa duniani ila hawa ndo mafioso wenyewe ILLUMINATI kwelikweliBest 95%? 😳😳😳
Yes central bank ya USA na UK almost mabenki yote makubwa na system ya pesa iko chini yao , kuna familia 13 kubwa duniani ila hawa ndo mafioso wenyewe ILLUMINATI kwelikweli
Rothschild,Rocafella,Chase,Bush + Sam’s. Hao wote wanamiliki 80% ya utajiri wa dunia. Sio Rothschild peke yake.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
Noooooo BIG NO! $350 billion net worth is not 95% of the World net worth.
mkuu kuna kiinaitwa black money hata CIA operation zao nyingi ziko funded na hela za aina hii ,naomba asubuhi au mchana nikiamka tuendeleze huu mjadala kuna issue nafanya naamini nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu hawa jamaa inaweza isiwe 95 percent ila hizi familia 13 zimeishika dunia kiganjani hata haya mambo ya vaccine ni issue za hawa watu, kamwe hutawaona kwenye covers za Forbes magazine watakaa puppets kina Bill gates kwanza wakae ya nini? wakatgi medika na entertainment ya dunia ikiwepo Hollywood wameishika wao , they are pushing SATANS agenda ,money siyo kitu kwao wanaicontrol wao