1894 Loniel Walter Rothschild akivinjari London na punda milia

1894 Loniel Walter Rothschild akivinjari London na punda milia

EDITOR'S NOTE: An earlier version of this article cited an estimate of the combined net worth of the Rothschilds at $350 billion.Dec. 9, 2020 From Google

For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
 
Hawa wana mkono Barrick, almasi Mwadui, machimbo ya dhahabu Ashanti Ghana, South Africa kwa kifupi wako kila mahali.


Labda useme wanamiliki 95% ya mining industry duniani, hapo kidogo tunaweza ku compromise.,
lakini sio (100-5)% ya utajiri wa dunia 🤣, ingalikuwa ni hivyo hao wangekuwa ni demigods.

Utajiri upo Mashariki ya kati from the "black gold"
 
Zebra hafugiki mkuu. Ni ngumu kumfuga kwa sababu hana urafiki na mwanadamu na hatabiriki, tofauti na 'ndugu yake' farasi. Na hii ndio sababu kwa nini Afrika licha ya kuwa na mnyama huyu maelfu ya miaka iliyopita, hawakuweza kumtumia kwa faida kama Farasi wakivyomtumia watu wa Middle East na ulaya.


Huyo mzungu kawafanya nini hao Pundamilia??, mbona yupo nao wakifanya kazi ya Farasi na punda???.

Mkuu ni mazoea tu, kufuga pundamilia ni sawa na kufuga Kanga au Tausi kwani hawa wote ni ndege waliozoea kuishi porini, kimsingi wanyama wote asili yao ni porini mfano kuna nchi Mbuzi, ng'ombe, kuku na ngamia wanaishi porini na wame behave kama viumbe pori, ni hivi; huwezi kumfuga Pundamilia awe sawa na Farasi au Punda jinsi Punda hayupo sawa na Farasi au kuku asivyokuwa sawa na kanga au kondoo asivyokuwa sawa na mbuzi lakini wote hao wanafugika licha ya tabia na sifa zao kutofautiana na ni hivyo hivyo pundamilia au nyati (the cape Buffalo) anaweza kufugika akiwa na sifa zake peculiar.
 
Wamewekeza kwenye madini na nishati dunia nzima


Je,Wamewekeza hata kwenye bwawa la nyerere??, kihanse au mtera nk, au hayo mabwawa hayatoi nishati duniani??, je, wamewekeza kwenye visima vya gas huko Russia nk??,---- na hata iwe ni kweli hicho usemacho inawezekana wakamiliki chini ya 5% tu na wala sio 95%.
 
Rothschild,Rocafella,Chase,Bush + Sam’s. Hao wote wanamiliki 80% ya utajiri wa dunia. Sio Rothschild peke yake.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hapana Sky kwa sasahiv no... hiyo 95% labda zamani ila kwa sasa utajiri wao upo diluted sana hata kama wanafanya siri ila kwa sasa nakataa.
Uko sawa Kuna wakati walikuwa na nguvu sana duniani, hasa 19 century kabla ya mataifa mengi ya Afrika kupata Uhuru. Cold War ilichangia kuwarudisha nyuma pia kutokana na mifumo ya utawala imebidi wagawe sana share zao.
 
Uko sawa Kuna wakati walikuwa na nguvu sana duniani, hasa 19 century kabla ya mataifa mengi ya Afrika kupata Uhuru. Cold War ilichangia kuwarudisha nyuma pia kutokana na mifumo ya utawala imebidi wagawe sana share zao.
Hapo umeanza kurudi kwenye line,sasa umefafanua vema.
 
Not TRUE!!!

Rothschild,Rocafella,Chase,Bush + Sam’s. Hao wote wanamiliki 80% ya utajiri wa dunia. Sio Rothschild peke yake.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
The Rothschild Group's annual revenue was approximately $500 million in 2017 – less than what many corporations make. (Walmart, for example, boasted an annual revenue of about $500 billion in 2018.) In April 2017, the Rothschild’s net worth was estimated by Celebrity Net Worth to be around $400 billion.

Aggregate global wealth, for comparison, reached $317 trillion in 2018, according to Credit Suisse Research Institute.
That figure comes from an analysis of wealth held by 5 billion adults across the globe, from the least affluent to the wealthiest individuals to arrive at a figure that represents the world’s total household wealth.

In 2012, Skeptoid, an award-winning weekly science podcast hosted by writer and producer Brian Andrew Dunning, explored the famous family’s history and noted that while the Rothschild’s are still a looming figure in the banking world, they are still dwarfed by larger, wealthier institutions.

"Make no mistake, it's a large and successful company; but with billions in assets, it's a relatively small fish in the sea of world financial institutions with trillions in assets," Dunning said then, "including Deutsche Bank, Mitsubishi UFJ Financial Group, HSBC Holdings, BNP Paribas, Japan Post Bank, Crédit Agricole Group, Barclays PLC, Industrial & Commercial Bank of China, Royal Bank of Scotland Group, JP Morgan Chase & Co., and many others. Anyone trying to point the finger at the scattered Rothschilds as ‘controlling’ world banks has an awfully tall order. That little factoid is about 100 years out of date."

For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
 
mkuu kuna kiinaitwa black money hata CIA operation zao nyingi ziko funded na hela za aina hii ,naomba asubuhi au mchana nikiamka tuendeleze huu mjadala kuna issue nafanya naamini nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu hawa jamaa inaweza isiwe 95 percent ila hizi familia 13 zimeishika dunia kiganjani hata haya mambo ya vaccine ni issue za hawa watu, kamwe hutawaona kwenye covers za Forbes magazine watakaa puppets kina Bill gates kwanza wakae ya nini? wakatgi medika na entertainment ya dunia ikiwepo Hollywood wameishika wao , they are pushing SATANS agenda ,money siyo kitu kwao wanaicontrol wao
Noooooo BIG NO! $350 billion net worth is not 95% of the World net worth.
 
Hahahahaha lol!!!! Don’t be creative we are not talking about black money here. I posted (post # 40) a portion of the article discussing about the net worth of this family and it is not even close to 50% of the World net wealthy.
mkuu kuna kiinaitwa black money hata CIA operation zao nyingi ziko funded na hela za aina hii ,naomba asubuhi au mchana nikiamka tuendeleze huu mjadala kuna issue nafanya naamini nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu hawa jamaa inaweza isiwe 95 percent ila hizi familia 13 zimeishika dunia kiganjani hata haya mambo ya vaccine ni issue za hawa watu, kamwe hutawaona kwenye covers za Forbes magazine watakaa puppets kina Bill gates kwanza wakae ya nini? wakatgi medika na entertainment ya dunia ikiwepo Hollywood wameishika wao , they are pushing SATANS agenda ,money siyo kitu kwao wanaicontrol wao
 
Back
Top Bottom