wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hii chai Imekua na tangawizi nyingi.For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chai Imekua na tangawizi nyingi.For real best hawa ndiyo huamua nani awe Rais hasa wa Marekani.
Na hivyo vitabu ulivyovisoma vilikua sponsored na Nani?mkuu kuna kiinaitwa black money hata CIA operation zao nyingi ziko funded na hela za aina hii ,naomba asubuhi au mchana nikiamka tuendeleze huu mjadala kuna issue nafanya naamini nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu hawa jamaa inaweza isiwe 95 percent ila hizi familia 13 zimeishika dunia kiganjani hata haya mambo ya vaccine ni issue za hawa watu, kamwe hutawaona kwenye covers za Forbes magazine watakaa puppets kina Bill gates kwanza wakae ya nini? wakatgi medika na entertainment ya dunia ikiwepo Hollywood wameishika wao , they are pushing SATANS agenda ,money siyo kitu kwao wanaicontrol wao
Daud bashiteNa hivyo vitabu ulivyovisoma vilikua sponsored na Nani?
Na kuna commission zinaingia kwao hadi kesho.Kama ulikuwa hujui now ushajua....
Hii familia ndiyo iliyovumbua mfumo wa "bank".
Atakulisha chai huyoNa hivyo vitabu ulivyovisoma vilikua sponsored na Nani?
Akishirikiana ma kingwendu.Daud bashite
Nyerere the greatest.Aisee kumbe aliwahi kuja Tanzania,hao kina Sykes ndio ilibidi wawe Rothschild wa Tanzania
Hawa wana wataalamu wao wa madini, wanafanya tafiti na kufadhili ucimbaji wa madini, mafuta na gesi dunia nzima.
HAINA MAANA YOYOTE KWAKO HATA UKIMILIKI 100% YA UTAJIRI WA DUNIA BADO UBINADAMU WETU UTAKULIMIT KUFURAHIA HUO UTAJIRI, KIUFUPI UTAKUA MTUMWA WA HUO UTAJIRI.Hii familia inamiliki 95% ya utajiri wa dunia.
Mimi pia history ya kale napenda piaNinapenda historia Kuna group la wana historia ndiyo wanatoa hizi picha.
Si kweli.Hii familia inamiliki 95% ya utajiri wa dunia.
Kuna watu huwa wanaropoka hata hawaelewi wanachoandika95% ya utajiri wa dunia???----- are you serious or kidding!!?😱---- kwa maana hiyo 5% iliyobaki ndio inamilikiwa na almost 7bn people??!!
Sio kumiliki, wana-control, thru bankingHii familia inamiliki 95% ya utajiri wa dunia.
UongoHao ndio 666 Freemason,wao na rockefeller
View attachment 1963145
Question
By now we know only too well, the World Bank, IMF, affiliates, staff while performing duties on their behalf, are protected by immunity granted to Inter-governmental Organisations. No suing, prosecuting, accountability, admitted.
However, say for the sake of Negotiation, they have committed mischief, backed by facts and evidence, leading to serious consequences and ramifications they rather cover up for various reasons.
How would one go about handling such negotiations?
****** from Tanzania
Hehehehe haya ndiyo maneno ya kujifariji baada ya...HAINA MAANA YOYOTE KWAKO HATA UKIMILIKI 100% YA UTAJIRI WA DUNIA BADO UBINADAMU WETU UTAKULIMIT KUFURAHIA HUO UTAJIRI, KIUFUPI UTAKUA MTUMWA WA HUO UTAJIRI.
Ina maana eana hisa hadi BOT yetu?kabisa ni majority share holders wa benki kuu za mataifa yote duniani isipokuwa Cuba na Korea ya Kaskazini....wanamiliki SWIFT, hata rais wa ifaransa ni kijana wao, alikuwa mfnayakazi wa rothschild bank paris, akaingia ktk siasa wakamnyenyua mpaka ikulu
Bro achana nae..nmeona kuna shida mahala....huyo ni dada mkubwa wa jf..usimuumbue....kuna mambo makubwa hajayajua...especialy kuhusu masuala makubwa ya dunia hii....Majority share in the world mining industries, is it??!