1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

Status
Not open for further replies.
Babu yangu alikuwa Chief, safari yake ya kwanza UK ilikuwaa 1948. Safari ilianza na boti mpaka Egypt, halafu wakapanda ndege mpaka Italy, halafu akapanda gari mpaka English Channel, then akamaliza na ndege tena mpaka London....

Alichukia kwenda Ulaya kweli kweli.... Anyways, machifu walikuwa na hela sana miaka hiyo. Kwenda Ulaya kwao haikuwa issue.

Mkuu nimependa namna ulivyobainisha namna alivyofika ughaibuni kwa kutaja njia za usafiri...nilikuwa nikihitaji mtu wa kunielezea kama ulivyofanya...kongole!
 
Sema hawa wenzetu walikuwa wajanja tangu zamani. Tangu miaka ya 1914 walikuwa na maingiliano makubwa sana na Afrika Kusini "kujoni". Walikuwa wakichimba madini huko na kurudi kwao wakiwa na baiskeli. wengine walipotelea mpaka ulaya na marekani. zambia, malawi, zimbabwe, namibia, botswana n.k, wako wa kutosha tu. Wenyewe walikuwa wanaielewa vizuri lusaka na Jo'berg kuliko dar au dodoma. hata nyerere aliwasitukia, baada ya kuona wana exposure tofauti ukilinganisha na watanganyika wengine.
 
Sema hawa wenzetu walikuwa wajanja tangu zamani. Tangu miaka ya 1914 walikuwa na maingiliano makubwa sana na Afrika Kusini "kujoni". Walikuwa wakichimba madini huko na kurudi kwao wakiwa na baiskeli. wengine walipotelea mpaka ulaya na marekani. zambia, malawi, zimbabwe, namibia, botswana n.k, wako wa kutosha tu. Wenyewe walikuwa wanaielewa vizuri lusaka na Jo'berg kuliko dar au dodoma. hata nyerere aliwasitukia, baada ya kuona wana exposure tofauti ukilinganisha na watanganyika wengine.
Umeongea ukweli kabisa
 
Sasa kwani wale afrikan amerikan wametokea wapi?? si ni wa kutoka afrika??
Hapo Umechanganya madesa.Hao African Americans 7
Sasa kwani wale afrikan amerikan wametokea wapi?? si ni wa kutoka afrika??
Ni hivi waafrika walianza kuchukuliwa utumwa kupelekwa Marekani mwaka 1600.Hao ndoo black americans.
Hapa wanazungumzia wanyakyusa ambao hawakuwahi kuwa watumwa watoke Kyela kwenda kudai uhuru mwa 1950 kitu ambacho ni urongo
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Chifu ni jina la kikoloni. Cheo chao kwa lugha yao waliitwa nani?
 
Sukulu - shule
koroti - mahakama
kyarik - kanisa
pamande - juma3
ikoti - koti
talabhus - suluari
supun - kijiko
kyamen - mwenyekiti
Nsikali-askari
Ifilato- viatu
Isyati- shati
Fulupi- envelope
Ibhangili- bible
Petro- Peteli
Daudi-Ndabhiti
Martha-Malita
Mwizi-unhiji
Mwizi wa kishirikina- Mwamikubha
 
Wahenga walipokutana na waganga walisema
Mchelea mwana kulia,,, hulia mwenyewe...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom