1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

Status
Not open for further replies.
Kumbe zamani miaka ya mwanzo kabisa ya karne ya ishirini (1900) watu walianza kwenda South Africa kitambo kabla ya zama za mabaharia wa enzi hizi miaka ya 1994 miaka ya South Africa chini ya Nelson Mandela ya wazamiaji na waruka senyenge.


Shukrani Jamiiforums na wanaJF kwa kutuelimisha kupitia uzi huu wa utani aliotupia mwana JF mwenzeti masopakyindi
Baba yangu mzazi mimi mtoa post hii alifanya kazi migodini South Africa kipindi cha Gold Rush kati ya 1950-60
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.


Utapeli mtupu picha ni za watumwa wa huko Marekani walio achiwa!!


 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Baada ya kudai ilikuwaje walifanikiwa?
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Ni kweli kuwa kuna habari/historia kuwa machifu wa kinyakyusa waliwahi kwenda Uingereza kwa ufadhili wa serikali ya kikoloni. Safari ile haikuwa kwa ajili ya kudai uhuru bali ilikuwa kama rushwa ya kuwaziba midomo wasiungane na watu wengine kudai uhuru. Kikubwa zaidi Machifu hao walikwenda kuonyeshwa jinsi wazungu walivyoendelea na kushawishiwa kuwa endapo wataendelea kubaki chini ya utawala wa kikoloni wataletewa maendeleo kama waliyoonyeshwa.

Aidha hakuna kitu kilichoitwa the Republic of Southern Highlands na wala hakikuwahi kujadiliwa! Huo ni uzushi mpya!
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
wewe ni mkongwe mwenzangu hapa jf, nakuheshimu sana. ila kwa hili hapana,umetoa boko.

nakushusha hadhi kwa dhamira yako ya kutaka kudanganya umma wa jf.

hii picha inapatikana kwenye website ya library of congress katika article inayozungumzia watu waliozaliwa katika biashara ya utumwa. haina uhusiano wowote na hao machifu wa kinyakyusa uliowataja kwenye bandiko lako.

link hii hapa:'Born in Slavery' (April 2001) - Library of Congress Information Bulletin

Moderator ondoa huu uzi jukwaa la siasa, peleka jukwaa la udaku.

View attachment 2094869
Screenshot_2022-01-25-11-13-57-148_com.android.chrome.jpg
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Hiyo southerhighlands ilikuwa inahusisha mikoa gani
 
wewe ni mkongwe mwenzangu hapa jf, nakuheshimu sana. ila kwa hili hapana.

nakushusha hadhi kwa dhamira yako ya kutaka kudanganya umma wa jf.

hii picha inapatikana kwenye website ya mtandao wa library of congress katika article inayozungumzia watu waliozaliwa katika biashara ya utumwa. haina uhusiano wowote na hao machifu wa kinyakyusa uliowataja kwenye bandiko lako.

link hii hapa:'Born in Slavery' (April 2001) - Library of Congress Information Bulletin

acha kujidhalilisha mkuu.

View attachment 2094869View attachment 2094870
Macho kwenyeu ugali huyu maso pa kyindi lazima atuomabe radhi kwa kutuwekea story ya uwongo
 
Nikipokuwa mtoto nilikuwa nasikia chief akifariki alikuwa hazikwi peke yake; sasa mnataka kuturudisha huko jameni?mwee!
Kwa hiyo yule mpambe wa chifu uchwara mpya ajiandae likitokea la kutokea?
 
Macho kwenyeu ugali huyu maso pa kyindi lazima atuomabe radhi kwa kutuwekea story ya uwongo
KUNRADHI WANA JF
Lazima niwe muungwana , nitaweka wazi habari nilikoipata mtandaoni , lakini vile vile bado natafiti undani wa habari yenyewe.
Siyo siri mababu zetu walikuwa mbali!
 
Napenda kijua waliwezaje kusafiri hadi kwa mabeberu huko kudai uhuru?

Kuna waliowafadhili au walikuwa wana wenye kujiweza kifedha sana?
Babu yangu alikuwa Chief, safari yake ya kwanza UK ilikuwaa 1948. Safari ilianza na boti mpaka Egypt, halafu wakapanda ndege mpaka Italy, halafu akapanda gari mpaka English Channel, then akamaliza na ndege tena mpaka London....

Alichukia kwenda Ulaya kweli kweli.... Anyways, machifu walikuwa na hela sana miaka hiyo. Kwenda Ulaya kwao haikuwa issue.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom