1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

Status
Not open for further replies.
chief akifariki alikuwa hazikwi peke yake; sasa mnataka kuturudisha huko jameni?mwee!
Haya matukio mbona yapo hadi sasa!

Soma Hili tukio la 2019


1642999687927.png



Nukuu toka kwa Matope
Maiti wetu anazikwa akiwa ameketi na anasindikizwa na watu wake wawili wakaribu wao wanafukiwa wakiwa hai wamemshikilia mkulu.
 
Nikipokuwa mtoto nilikuwa nasikia chief akifariki alikuwa hazikwi peke yake; sasa mnataka kuturudisha huko jameni?mwee!
Kiukweli sikuwahi kusikia chief wa kinyakyusa akizikwa na msindikizaji, bali hadi leo chief huzikwa usiku!

Hii ni kama hajaingia Ukristo.

Ila msiba wa chief huwaachia nduguze umasikini mkubwa maana ng'ombe wengi huchinjwa.

Lakini hili lilipigwa marufuku.
 
Wanyakyusa uwezo wa fedha walikuwa nao kwani wanalima kahawa, chai, ndizi na walikuwa wanakwenda WENELA Afrka Kusini kuchimba dhahabu, wao suti hawakuzianza wakati wa Magufuli.
WENELA siyo mji au mahali bali kilikuwa chama cha kuajiri cachimbaji dhahabu. "
The Witwatersrand Native Labour Association (WNLA), more popularly Wenela, was set up by the gold mines in South Africa as a recruiting agency for migrant workers.

Eventually, it comprised a large organisation with its own depots, buses and aeroplanes spread over the whole of Southern Africa: South Africa, Basutoland, Swaziland, South West Africa, Bechuanaland, Northern Rhodesia, Southern Rhodesia, Nyasaland, Angola, Mozambique, extending into the Belgian Congo and Tanganyika."
 
Hii nchi tunadanganywa sana kwenye historia. Tunaambiwa ni Nyerere na Marealle ndiyo walioenda Ulaya kudai Uhuru kumbe hata ndugu zetu hawa wa Nyanda za Juu Kusini walipambana kudai Uhuru hadi huko Ulaya...kwa nn hatufundishwi darasani haya mambo?
Mohamed Said akiwapa historia mnalia mdini mdini... akiwaambia historia imechezewa hamtaki kueleewa... haya pambaneni, na kwa taarifa tu watoto wengi wa machifu na familia zao wapo nchi za nje... walio baki sijui tuwaitaje... tafuta ndg wa chifu yoyote utapata majibu hata huyo maleale sijui...
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Hii picha umeichukua kwenye taarifa ya historia za black american. So acha uongo chief.
 
Hii picha umeichukua kwenye taarifa ya historia za black american. So acha uongo chief.
Umeishtukia Mkuu!
Humu ukiwa goigoi unawezabebeshwa ujinga wa kiwango cha lami!
Hakuna mnyaki katika hiyo picha!
 
Wanyakyusa uwezo wa fedha walikuwa nao kwani wanalima kahawa, chai, ndizi na walikuwa wanakwenda WENELA Afrka Kusini kuchimba dhahabu, wao suti hawakuzianza wakati wa Magufuli.
Babu yangu alikuwa anaagiza designer suits toka South Africa.
Suti moja ndio tulimzika nayo.
 
Napenda kijua waliwezaje kusafiri hadi kwa mabeberu huko kudai uhuru?

Kuna waliowafadhili au walikuwa wana wenye kujiweza kifedha sana?
1950 watu walikuwa na fedha za kutosha,makabila ya wachaga,wanyakyusa na wahaya tayari walikuwa na fedha za kutosha na connections za kutosha huko ulaya kutokana na aina ya mazao ya kibepari yaliyokuwa yanalimwa maeneo yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom