Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wanyakyusa uwezo wa fedha walikuwa nao kwani wanalima kahawa, chai, ndizi na walikuwa wanakwenda WENELA Afrka Kusini kuchimba dhahabu, wao suti hawakuzianza wakati wa Magufuli.Napenda kijua waliwezaje kusafiri hadi kwa mabeberu huko kudai uhuru?
Kuna waliowafadhili au walikuwa wana wenye kujiweza kifedha sana?