1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

Status
Not open for further replies.
Chifu mkuu Hangaya alisema pelekeni majina yenu ili msimikwe uchifu, kazi kwenu ajira ndiyo hizo mlizokuwa mkizilalamikia kuzikosa.
😕😕😕wakasimikwe tu waanze kudaiwa kodi uyu karl peter wa kike ana mbinu balaa
 
WENELA siyo mji au mahali bali kilikuwa chama cha kuajiri cachimbaji dhahabu. "
The Witwatersrand Native Labour Association (WNLA), more popularly Wenela, was set up by the gold mines in South Africa as a recruiting agency for migrant workers.

Eventually, it comprised a large organisation with its own depots, buses and aeroplanes spread over the whole of Southern Africa: South Africa, Basutoland, Swaziland, South West Africa, Bechuanaland, Northern Rhodesia, Southern Rhodesia, Nyasaland, Angola, Mozambique, extending into the Belgian Congo and Tanganyika."
Sikusema WENELA ni mji, ndege ya kampuni hiyo ilikuwa ikienda Mbeya kuwachukua na kuwarudisha wachimba migodi.
 
Mohamed Said akiwapa historia mnalia mdini mdini... akiwaambia historia imechezewa hamtaki kueleewa... haya pambaneni, na kwa taarifa tu watoto wengi wa machifu na familia zao wapo nchi za nje... walio baki sijui tuwaitaje... tafuta ndg wa chifu yoyote utapata majibu hata huyo maleale sijui...
Ni kweli , babu yangu alikuwa chief, na mpaka anafariki alipewa heshima zote na wananchi.
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Mwaka 1948 watemi wa Kisukuma walienda Uingereza kudai uhuru wao wa nchi yao iliyokuwa nchi ya NYANZA wakiongozwa na mtemi Masanja,Kidaha na Ihangilo, ni vizuri nam nikakumbusha make Chui dume asije akasahau nasi tulikuwa wapambaji sio mapoyoyo
 
Wagogo watan zangu walikuwa na uongoz imara sana Chini ya MAZENGO, na uongozi wao ulikuwa sio wa mapigano lakin walikuwa imara Sana hata Chief Mkwawa alikuwa anawaheshimu na kuwaogopa Sana hadi wakapeana Wanawake wa kuoa.
 

Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile

Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.

Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Kumbe na Wanyakyusa walienda hadi UK?? Kweli kuna makabila yenye asiliya aggressiveness nasikia pia Cheif Marialle toka Kilimanjaro naye alienda UN. Swali langu tu la kijinga

1. Ni nani aliwagharamia safari hizi ukizingatia zilikuwa ni safari za kupingana na watawala wao
2. Education level yao ilikuwa ya kiwango gani kuwawezesha kuwasilisha mada yao in an understandable manner
3. Kwa nini hii safari ya hawa machifu wa Kinyakyusa haijazungumzwa sana kwenye vitabu vya historia ya nchi hii
 
Wagogo watan zangu walikuwa na uongoz imara sana Chini ya MAZENGO, na uongozi wao ulikuwa sio wa mapigano lakin walikuwa imara Sana hata Chief Mkwawa alikuwa anawaheshimu na kuwaogopa Sana hadi wakapeana Wanawake wa kuoa.
Hawa hawa kina matonya?
 
Kumbe na Wanyakyusa walienda hadi UK?? Kweli kuna makabila yenye asiliya aggressiveness nasikia pia Cheif Marialle toka Kilimanjaro naye alienda UN. Swali langu tu la kijinga

1. Ni nani aliwagharamia safari hizi ukizingatia zilikuwa ni safari za kupingana na watawala wao
2. Education level yao ilikuwa ya kiwango gani kuwawezesha kuwasilisha mada yao in an understandable manner
3. Kwa nini hii safari ya hawa machifu wa Kinyakyusa haijazungumzwa sana kwenye vitabu vya historia ya nchi hii
Mkuu historia wanasiasa huwa wanaifanya kuwa ni siasa ya kujitukuza wenyewe.
Hivi karibuni tu lilitoka agizo kwa Wizara ya Elimu, angizo ambalo limesitishwa, la ku rewrite history ili kuwa favour current politicians.
Unyakyusa watu walikuwa aggressive sana kudai haki yao.
Ni watu wachache wamesoma kuwa wanyakyusa walipigana na wajerumani in 1897.
Tena wanyakyusa waliungana na ndugu zao wakinga kupambana na wajerumani.
Kwa miaka mingi wanyakyusa na waking wamekuwa wakiishi karibu, ingawaje wakinga wanaoa unyakyusanai lakini wanyakyusa mara nyingi hawaoi wakinga(wanasema siyo wasafi sana, kutokana na kutokuwa na maji ya mito kwa wingi kule juu milimani.)

Wajerumani walishangaa kuwa style wanyakyusa/wakinga waliyopigana nyo ni kama ile ya wahehe, 1894, ingawaje walishindwa kutokana na kutokuwa na bunduki.

1. Nani aligharamia safari: wanyakyusa miaka hiyo , toka 1920-30 bado walikuwa na mali ningi sana, kuuza ng'ombe haikuwa shida
2. Education: kinachohitajika hapo ilikuwa tu communication, kujieleza na kueleweka, hata walipofika wakloni communication ilikuwepo
3. Kwa nini hii safari haijazungumzwa: nimetangulia kueleza hapo juu, na kuna mdau Huihui2 said: ameeleza vizuri mtandao wa safari za watu wa Nyanda za Juu kusini kusafiri Kusini mwa Arika.
Wenyewe wakiita Kujohni(Johannesburg).
Mjomba wangu amekaa sana Zimbabwe miaka hiyo na aliongelea sana miji ya Broken Hill na Wankie.
 
Una uhakika walienda kudai uhuru au walienda kupiga dili na wazungu

Swali zuri toka kwa mwanaJF, hao ni weusi wa nchini Marekani : simulizi zao zilizorekodiwa kuhusu wakati wa utumwa : NCpedia | NCpedia

Fountain Hughes (1860–1957) a former slave born in Charlottesville, VA (Virginia) USA https://www.monticello.org/getting-word/people/fountain-hughes


IMG-20220123-WA0046.jpg

View attachment 2094136

Search : amazon.com : Voices Days Slavery by Fountain Hughes
1643035566258.gif


1643035566425.gif


1643035566590.gif


1643035566756.gif


1643035566929.gif


1643035567097.gif


1643035567263.gif


1643035567428.gif


1643035567597.gif


1643035567764.gif


1643035567929.gif


1643035568101.gif


1643035568266.gif


1643035568432.gif


1643035568603.gif


1643035568770.gif


1643035566089.gif
 
Mwaka 1948 watemi wa Kisukuma walienda Uingereza kudai uhuru wao wa nchi yao iliyokuwa nchi ya NYANZA wakiongozwa na mtemi Masanja,Kidaha na Ihangilo, ni vizuri nam nikakumbusha make Chui dume asije akasahau nasi tulikuwa wapambaji sio mapoyoyo
Mwaka uliofuata watemi wa Kigogo nao wakaenda kudai wakiongozwa na chief Le Mutuz...
 
WENELA siyo mji au mahali bali kilikuwa chama cha kuajiri cachimbaji dhahabu. "
The Witwatersrand Native Labour Association (WNLA), more popularly Wenela, was set up by the gold mines in South Africa as a recruiting agency for migrant workers.

Eventually, it comprised a large organisation with its own depots, buses and aeroplanes spread over the whole of Southern Africa: South Africa, Basutoland, Swaziland, South West Africa, Bechuanaland, Northern Rhodesia, Southern Rhodesia, Nyasaland, Angola, Mozambique, extending into the Belgian Congo and Tanganyika."

Kumbe zamani miaka ya mwanzo kabisa ya karne ya ishirini (1900) watu walianza kwenda South Africa kitambo kabla ya zama za mabaharia wa enzi hizi miaka ya 1994 miaka ya South Africa chini ya Nelson Mandela ya wazamiaji na waruka senyenge.
source : big light worldwide


Shukrani Jamiiforums na wanaJF kwa kutuelimisha kupitia uzi huu wa utani aliotupia mwana JF mwenzetu masopakyindi
 
Kumbe zamani miaka ya mwanzo kabisa ya karne ya ishirini (1900) watu walianza kwenda South Africa kitambo kabla ya zama za mabaharia wa enzi hizi miaka ya 1994 miaka ya South Africa chini ya Nelson Mandela ya wazamiaji na waruka senyenge.

Shukrani Jamiiforums na wanaJF kwa kutuelimisha kupitia uzi huu wa utani aliotupia mwana JF mwenzeti masopakyindi
Lakini jamaa ni mkali amechukua picha mtandaoni akawabatiza na majina kabisa akawapa majina ya Kinyakyusa...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom