Babu yangu alikuwa Chief, safari yake ya kwanza UK ilikuwaa 1948. Safari ilianza na boti mpaka Egypt, halafu wakapanda ndege mpaka Italy, halafu akapanda gari mpaka English Channel, then akamaliza na ndege tena mpaka London....
Alichukia kwenda Ulaya kweli kweli.... Anyways, machifu walikuwa na hela sana miaka hiyo. Kwenda Ulaya kwao haikuwa issue.
Huyo ni muhuni mapigaji wa zaka majuda iskaliotiHapo yuko wapi babu yake Anthony Lusekelo?
Umeongea ukweli kabisaSema hawa wenzetu walikuwa wajanja tangu zamani. Tangu miaka ya 1914 walikuwa na maingiliano makubwa sana na Afrika Kusini "kujoni". Walikuwa wakichimba madini huko na kurudi kwao wakiwa na baiskeli. wengine walipotelea mpaka ulaya na marekani. zambia, malawi, zimbabwe, namibia, botswana n.k, wako wa kutosha tu. Wenyewe walikuwa wanaielewa vizuri lusaka na Jo'berg kuliko dar au dodoma. hata nyerere aliwasitukia, baada ya kuona wana exposure tofauti ukilinganisha na watanganyika wengine.
Etebolo-meza iwindo-dirisha bujonde-beyond...
NI UWONGO MTUPU.Hao ni black americans.
Naomba muupuzie huu uzi ni wa kichochezi.
African American Ex-slaves Sitting by Everett
African American Ex-slaves Sitting Photograph by Everettfineartamerica.com
Hapo Umechanganya madesa.Hao African Americans 7Sasa kwani wale afrikan amerikan wametokea wapi?? si ni wa kutoka afrika??
Ni hivi waafrika walianza kuchukuliwa utumwa kupelekwa Marekani mwaka 1600.Hao ndoo black americans.Sasa kwani wale afrikan amerikan wametokea wapi?? si ni wa kutoka afrika??
Chifu ni jina la kikoloni. Cheo chao kwa lugha yao waliitwa nani?
Nawakumbusha 1950's Machifu wa Kinyakyusa Walienda Uingereza Kudai Uhuru wa Nchi yao ya REPUBLIC OF SOUTHERN Highlands walikaa Mbele ni Kutoka Kushoto Chief Mwangobola, Chifu Mwansansu, Chief Mwanempazi, Walio kaa Nyuma Kutoa Kulia ni Chief Mwakalindile, Chief Mwakasonda na Chief Aniagile
Chief Hangaya ameanza mwaka na machifu. Si mbaya lakini tukumbusgane.
Mwaka 1950, Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru wao na kujitawala.
Malafyale!Chifu ni jina la kikoloni. Cheo chao kwa lugha yao waliitwa nani?
Nsikali-askariSukulu - shule
koroti - mahakama
kyarik - kanisa
pamande - juma3
ikoti - koti
talabhus - suluari
supun - kijiko
kyamen - mwenyekiti
Chief mwakatumbula from masoko