1963: Rais wa Jamhuri ya Tanganyika, Julius Nyerere akiweka pini katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. U Thant

1963: Rais wa Jamhuri ya Tanganyika, Julius Nyerere akiweka pini katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. U Thant

Kaondoka madarakani nchi imefilisika , Kauwa maelfu ya wazanzibari katika uvamizi wake na wengi wa viongozi wa Zanzibar alishiriki katika mauwaji .

Mzimu wake unaendelea kuitesa Tanganyika mpaka leo. Kila uchaguzi wanauliwa watu Zanzibar na majeshi yake yaliyopiga kambi kila mtaa pamoja na usalama wake
Acheni unafik. Nyerere alivamia lini Zanzibar? Mtu pekee ambae baada ya Mapinduzi alikubali kuipa hifadhi meli ya Jamshed? Mtu ambae wakati giza lilitanda Zanzibar wakati wa utawala wa Karume aliwapokea wapemba, wahindi, wangazija ambao walikuwa wananyanyaswa Zanzibar. Wazanzibari mlichinjana kutokana na chuki kati wale ambao walionekana wana asili ya utwana na wale waliojihesabu kuwa ni waungwana. Dhambi ya biashara na tamaduni ya utumwa inawatafuna mpaka leo.

Amandla...
 
Acheni unafik. Nyerere alivamia lini Zanzibar? Mtu pekee ambae baada ya Mapinduzi alikubali kuipa hifadhi meli ya Jamshed? Mtu ambae wakati giza lilitanda Zanzibar wakati wa utawala wa Karume aliwapokea wapemba, wahindi, wangazija ambao walikuwa wananyanyaswa Zanzibar. Wazanzibari mlichinjana kutokana na chuki kati wale ambao walionekana wana asili ya utwana na wale waliojihesabu kuwa ni waungwana. Dhambi ya biashara na tamaduni ya utumwa inawatafuna mpaka leo.

Amandla...

Msikilize mwenyewe anasema, wamakonde walitoka wapi , wacha kutuletea propaganda Za kanisa hapa
 

Attachments

  • VID-20211216-WA0019.mp4
    16.2 MB
Aliwavuta kwny Serikali ili apate nguvu ya kufuta Uchifu

Nyerere katika vitu alivyotunukiwa na Mola ni akili kubwa na utulivu wa maamuzi japo hapa na pale alichemka
Kwenye kupigania Uhuru hutosikia majina ya machifu...hawa walikuwa beneti na wakoloni
Ajabu Nyerere alivyopewa nchi Tu..
Akaleta hawa machifu kwenye serikali..


Mang'enya
Fundikira na wengineo
 
Acheni unafik. Nyerere alivamia lini Zanzibar? Mtu pekee ambae baada ya Mapinduzi alikubali kuipa hifadhi meli ya Jamshed? Mtu ambae wakati giza lilitanda Zanzibar wakati wa utawala wa Karume aliwapokea wapemba, wahindi, wangazija ambao walikuwa wananyanyaswa Zanzibar. Wazanzibari mlichinjana kutokana na chuki kati wale ambao walionekana wana asili ya utwana na wale waliojihesabu kuwa ni waungwana. Dhambi ya biashara na tamaduni ya utumwa inawatafuna mpaka leo.

Amandla...

 
Msikilize mwenyewe anasema, wamakonde walitoka wapi , wacha kutuletea propaganda Za kanisa hapa
We kweli huna akili. Wamakonde, wanyasa n.k. walikuwepo Zanzibar hata kabla ya Mapinduzi. Wao kama wazanzibari weusi wengine walishiriki katika Mapinduzi. Karume mwenyewe alizaliwa Nyasaland. Karume alikuwa anawazungumzia wamakonde waliohamia baada ya Mapinduzi. Bila shaka hofu hii ndio iliyofanya watu wa wa bara kuzuiwa kuingia Zanzibar bila Pasi. Ila ungemsikiliza mwanzo ndio ungejua jinsi Mwalimu alivyowapendelea wazanzibari.

Acha kuongozwa na hisia potofu za kidini. Nina shaka kama wewe ni muislamu kweli. Waislamu ninao wajua mimi sio wajinga jinga kama wewe.

Amandla...
 
We kweli huna akili. Wamakonde, wanyasa n.k. walikuwepo Zanzibar hata kabla ya Mapinduzi. Wao kama wazanzibari weusi wengine walishiriki katika Mapinduzi. Karume mwenyewe alizaliwa Nyasaland. Karume alikuwa anawazungumzia wamakonde waliohamia baada ya Mapinduzi. Bila shaka hofu hii ndio iliyofanya watu wa wa bara kuzuiwa kuingia Zanzibar bila Pasi. Ila ungemsikiliza mwanzo ndio ungejua jinsi Mwalimu alivyowapendelea wazanzibari.

Acha kuongozwa na hisia potofu za kidini. Nina shaka kama wewe ni muislamu kweli. Waislamu ninao wajua mimi sio wajinga jinga kama wewe.

Amandla...

Mimi sina akili Na huyo Baba yako Nyerere ni mwongo au vipi ? Yaani hukumsikia akisema walikuja Zanzibar kufanya nini?
 

Lissu amesema wapi kuwa wamakonde walivamia Zanzibar? Nilichokisikia mimi ni watanganyika kupoteza utaifa wao kwa kuingizwa kwenye utanzania kwa amri ya Mwalimu Nyerere. Pamoja na hiyo decree, Zanzibar iliendelea kuwa na Rais na serikali yake. Walioonewq hapa ni watanganyika, sio wazanzibari.

Amandla...
 
Mimi sina akili Na huyo Baba yako Nyerere ni mwongo au vipi ? Yaani hukumsikia akisema walikuja Zanzibar kufanya nini?
Kamsikilize vizuri. Mwalimu alisema kuwa alipata taarifa kuwa Karume anawafukuza wamakonde Zanzibar. Karume ndie aliyekiri kuwa wamakonde wa Zanzibar walisaidia sana katika Mapinduzi na ndio maana walipewa zawadi. Hali ya wamakonde wa Zanzibar ilikuwa duni kama ilivyokuwa weusi wengi waliokuwa wanaishi Zanzibar kabla ya Mapinduzi. Karume alikuwa anawalalamikia wamakonde waliokuwa wanatoka bara kuwafuata ndugu zao waliokuwa Zanzibar.
Nyerere alikuwa anasimulia maelezo ya Karume, lakini kwa upofu wa chuki zako unataka kumbebesha yeye mzigo huo.

Amandla...
 
Kwenye kupigania Uhuru hutosikia majina ya machifu...hawa walikuwa beneti na wakoloni
Ajabu Nyerere alivyopewa nchi Tu..
Akaleta hawa machifu kwenye serikali..


Mang'enya
Fundikira na wengineo
Huwezi kuwakwepa machief kwenye tawala kipindi hicho, kwasababu walikuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kiutawala.

Kuwaingiza kwenye utawala ilikuwa ni njia nzuri ya kujenga umoja na kuua uchief.

Leo huko Afrika Kusini Chief wa Wazulu akivuruga anaweza kusababisha mauaji ya watu wengi sana.
 
..nadhani kwa kiasi fulani Machifu walipewa jina baya ili kuhalalisha maamuzi ya serikali ya Tanu kufuta uchifu.

..mfano mzuri ni propaganda dhidi ya Mangi Marealle kwamba alikwenda UN na kupinga petition ya Tanganyika kupata uhuru.

..USHAHIDI wa maelezo na maoni ya Mangi Marealle UN upo na alieleza mambo tofauti kabisa na ambavyo Watanganyika tumedanganywa kwa muda mrefu.

..Mangi Marealle alitetea Watanganyika kupewa uhuru na alisisitiza suala la Watanganyika kupatiwa nafasi nyingi zaidi za masomo kama maandalizi ya kujitawala.

..Mangi Marealle pia aliulizwa kuhusu nafasi ya Machifu ktk Tanganyika huru na jibu lake lilikuwa anapendekeza tuige mfumo wa Machifu wa Ghana.

..Hata Nyerere alipokuwa UN ali acknowledge mchango wa Mangi Marealle kabla yake kuwa unashabihiana na msimamo wake na wa Tanu.

..Hili suala anayetaka kujiridhisha aende kwenye ARCHIVE za UN atakuta mahojiano ya Mangi Marealle, na ya Mwalimu Nyerere, mbele ya kamati ya udhamini ya UN.

..Ukiacha hilo, kuna ushahidi wa Machifu wa Usukumani kuunga mkono Tanu. Kazi ya kuwashawishi Machifu wa Kisukuma ilifanywa na Paul Bomani.

..Nyerere alimheshimu Paul Bomani kutokana na ushawishi wake na kazi kubwa alivyofanya kuipenyeza Tanu kanda ya Ziwa.

..Jambo lingine ni mchango wa FEDHA toka Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kuendesha Tanu. Nimewahi kusoma kwamba kuna wakati kanda ya Ziwa ilikuwa inachangia 2/3 ya fedha za kuendesha chama. Kama sijakosea habari hii iko ktk kitabu cha John Illife kuhusu historia ya Tanganyika.

Cc Nguruvi3, Mamndenyi, Pascal Mayalla, Fundi Mchundo, MALCOM LUMUMBA
Nimeandika nimefuta, nimeandika tena nikafuta, nikaandika tena nikafuta, mwishowe nikaona niache tu!
Ningeandika nilichokusudia ningeonekana mzandiki na mtu mwenye chuki dhidi ya Baba wa taifa...
 
Kamsikilize vizuri. Mwalimu alisema kuwa alipata taarifa kuwa Karume anawafukuza wamakonde Zanzibar. Karume ndie aliyekiri kuwa wamakonde wa Zanzibar walisaidia sana katika Mapinduzi na ndio maana walipewa zawadi. Hali ya wamakonde wa Zanzibar ilikuwa duni kama ilivyokuwa weusi wengi waliokuwa wanaishi Zanzibar kabla ya Mapinduzi. Karume alikuwa anawalalamikia wamakonde waliokuwa wanatoka bara kuwafuata ndugu zao waliokuwa Zanzibar.
Nyerere alikuwa anasimulia maelezo ya Karume, lakini kwa upofu wa chuki zako unataka kumbebesha yeye mzigo huo.

Amandla...

Hujasikiliza kwa mihemko sababu ya kufukuzwa kwao ni ipi! Na walikuja Zanzibar kufanya nini

Sikiliza vizuri usitie maneno yako
 
Lissu amesema wapi kuwa wamakonde walivamia Zanzibar? Nilichokisikia mimi ni watanganyika kupoteza utaifa wao kwa kuingizwa kwenye utanzania kwa amri ya Mwalimu Nyerere. Pamoja na hiyo decree, Zanzibar iliendelea kuwa na Rais na serikali yake. Walioonewq hapa ni watanganyika, sio wazanzibari.

Amandla...

Wapi nilisema Lissu amesema wamakonde walivamia Zanzibar? Heeee umezidi unyerere
 
Lissu amesema wapi kuwa wamakonde walivamia Zanzibar? Nilichokisikia mimi ni watanganyika kupoteza utaifa wao kwa kuingizwa kwenye utanzania kwa amri ya Mwalimu Nyerere. Pamoja na hiyo decree, Zanzibar iliendelea kuwa na Rais na serikali yake. Walioonewq hapa ni watanganyika, sio wazanzibari.

Amandla...

Nakupa dosi hii ,

 
Hujasikiliza kwa mihemko sababu ya kufukuzwa kwao ni ipi! Na walikuja Zanzibar kufanya nini

Sikiliza vizuri usitie maneno yako
Hamna aliyefukuzwa kwao. Karume alikuwa anafukuza wamakonde wageni kwa kuhofia kuwa watakijaza kisiwa chenu. Kwa maneno yake " wakiwa wengi kisiwa kitazama". Sasa wewe niambie sababu ulizosikia.

Amandla...
 
Wapi nilisema Lissu amesema wamakonde walivamia Zanzibar? Heeee umezidi unyerere
Mjadala wote ulianza kwenye uongo wako kuwa watanganyika wamevamia Zanzibar. Ukasema uongo mwingine kuwa Nyerere amesema kuwa wamakonde wamevamia Zanzibar. Kwa mantik hiyo, posting yako ya Lissu ni kujenga hoja yako kuwa watanganyika/wamakonde wamevamia Zanzibar. Tatizo lako ni kuwa unajisemea tu.

Hivi unaona umenitukana kwa kuniambia kuwa nimejaa unyerere?!

Amandla....
 
Hamna aliyefukuzwa kwao. Karume alikuwa anafukuza wamakonde wageni kwa kuhofia kuwa watakijaza kisiwa chenu. Kwa maneno yake " wakiwa wengi kisiwa kitazama". Sasa wewe niambie sababu ulizosikia.

Amandla...

Wamakonde wageni walikuja kufanya kitu gani? Akina Natepe ?
 
Mjadala wote ulianza kwenye uongo wako kuwa watanganyika wamevamia Zanzibar. Ukasema uongo mwingine kuwa Nyerere amesema kuwa wamakonde wamevamia Zanzibar. Kwa mantik hiyo, posting yako ya Lissu ni kujenga hoja yako kuwa watanganyika/wamakonde wamevamia Zanzibar. Tatizo lako ni kuwa unajisemea tu.

Hivi unaona umenitukana kwa kuniambia kuwa nimejaa unyerere?!

Amandla....

Post ya Lissu niliandika kitu ? Mbona unaropokway Tu
 
Mjadala wote ulianza kwenye uongo wako kuwa watanganyika wamevamia Zanzibar. Ukasema uongo mwingine kuwa Nyerere amesema kuwa wamakonde wamevamia Zanzibar. Kwa mantik hiyo, posting yako ya Lissu ni kujenga hoja yako kuwa watanganyika/wamakonde wamevamia Zanzibar. Tatizo lako ni kuwa unajisemea tu.

Hivi unaona umenitukana kwa kuniambia kuwa nimejaa unyerere?!

Amandla....

Kijana sisi ndio tumeyaona hayo mavamizi

Mbona umekaa kimya hapa

 
Wamakonde wageni walikuja kufanya kitu gani? Akina Natepe ?
Kijana sisi ndio tumeyaona hayo mavamizi

Mbona umekaa kimya hapa



Nilijua kimbilio lako ni mdini mwenzako Mohammed Said. Utamuamini vipi mtu anayedai kuwa waarabu hawakuua waafrika wala kuwatesa!

Ili upate balance, nakushauri usome kitabu cha Ali Sultan Issa, kinachoitwa Walk on Two Legs, aliyezaliwa Wete, Pemba mwaka 1932, mwanachama wa ZNP ambae alihamia chama cha Umma. Anazungumzia waafrika waliojiita washirazi ili kujitofautisha na wale walioletwa kama watumwa au wafanyakazi. Anazungumzia watumwa walioletwa kutoka Congo. Anazungumzia mjomba wake aliyerithi mtumwa kutoka kwa babu yake. Aliwajua watu waliokuwa watumwa. Anazungumzia jinsi waarabu wa Pemba walivyozaa na waafrika. Yeye mwenyewe upande wa mama yake asili yao ilikuwa Yemen, upande wa baba Oman. Hata hivyo mama wa bibi yake mzaa mama, ( aliitwa Bibi Ruzuna Binti Tamim, aliyewahi kuwa mke wa Sultan Ali bin Hamoud) alikuwa mzaramo na bibi huyo huyo alikuwa na damu ya wanandi kutoka Kenya. Huyu bwana alikuwa rafiki mkubwa wa Babu na anaelezea kuhusu ushirikiano kati ya chama cha Umma na ASP kuandaa mapinduzi ya Zanzibar. Anaelezea jinsi wao wakommunisti waliwaachia shughuli nzima ASP Youth League kwa sababu wao hawakuwa wengi na serikali iliwahofia zaidi UMMA kuliko ASP. Anaelezea jinsi Yusuf Himidi, Said wa Shoto, Abdullah Said Natepe, Khamis Darweshi, Ramadhan Haji, Pili Khamis, Seif Bakari na Saidi Iddi walivyoongoza uvamizi wa armoury iliyokuwa Ziwani. Hawa walivamia pia Police Barracks zilizokuwa Mtoni. Ukitaka kujua zaidi kuhusu Mapinduzi soma dissertation ya Ph. D ya Ann Lee Grimstad aliyoitetea mwaka 2018 katika Chuo Kikuu cha Florida. Kama nilivyokuambia hapo awali, udini unakupa ujinga. Usiwasikilize wakina Mohammed Said peke yao. Fanya utafiti wako mwenyewe ndio utajua ukweli.

Kwangu mimi sina zaidi ya kuchangia kuliko haya. Una uhuru wa kuamini utakacho.

Amandla....
 
Back
Top Bottom