1963: Rais wa Jamhuri ya Tanganyika, Julius Nyerere akiweka pini katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. U Thant

1963: Rais wa Jamhuri ya Tanganyika, Julius Nyerere akiweka pini katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. U Thant

Ndio maana nimesema unaleta ubishi wa Jaws. Nilikueleza kwa nini wagombea wote wa uongozi kwa tiketi ya CCM iwe bara au visiwani wanachaguliwa katika vikao vya chama chao vinavyofanyika Dodoma. Katika vikao hivyo wajumbe kutoka pande zote mbili wanapitia na kuchagia majina ya wagombea Zanzibar na Tanzania Bara. Labda uniambie kuna wakati wajumbe kutoka Zanzibar wanatolewa katika vikao na uamuzi unafanywa na machogo peke yao.
Mfano wa Salim ni kuthibitisha kuwa wazanzibari mnatiliana wenyewe fitna. Kama hamkumtaka awe Rais wa JMT kwa sababu ni Hizbu mngemkubali awe Rais wa Zanzibar?
Wewe ni fanatic wa dini ambao umeuvisha joho la uzanzibari.
Mimi hapa ni mwisho wangu wa kujadiliana na wewe kwenye suala hili. Ni kunipotezea muda tu.

Amandla...

Ndiyo ushahidi Huo umeleta wa kuwa Nyerere alimtaka Salim ?
 
Nimesema wengi waliamini kuwa Nyerere alimtaka Salim awe Rais wa JMT. Na pale alipoomba ridhaa wazanzibari mlimuita Hizbu. Sasa kama hamkumtaka awe Rais wa JMT mngemkubali awe wa SMZ?
Usijipe sifa usizostahili. Hamna anayekukimbia. Ukiona tumeacha ni kwa sababu tumeona ni kupoteza wakati kujadiliana na fanatic.

Amandla...

Fanatics ni nyinyi angalia makardinali wenu wanavyowaambia eti Yesu kaleta muungano Na mnaambiwa muulinde


Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu

- May 02, 2016

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
Mfano wa Salim ni kuthibitisha kuwa wazanzibari mnatiliana wenyewe fitna. Kama hamkumtaka awe Rais wa JMT kwa sababu ni Hizbu mngemkubali awe Rais wa Zanzibar?
Hakuna ubishi kuhusu hili. Tangu akiwa PM Salim alikubalika sana Bara. Vikao vya uteuzi Wazanzibar wakampa 'label ya Hizbu'. Ni kuanzia wakati huo neno hilo likapata umaarufu ingawa lilikuwepo miaka mingi. Baada ya tuhuma za Hizbu Salim alitoweka katika siasa za nchi hadi Tume ya Warioba na wala katika tume hakusika tena. Hizi ni fitna zao wenyewe wakizificha katika zulia la Tanganyika na Nyerere
Wewe ni fanatic wa dini ambao umeuvisha joho la uzanzibari.
Hata uzanzibar haujui! hajui lolote wala chochote in fact kila tunachomwambia ni news kwake
Mimi hapa ni mwisho wangu wa kujadiliana na wewe kwenye suala hili. Ni kunipotezea muda tu.
Mimi nilishaacha, Fundi kuna mengi ya muhimu ya kujadili , ignore him
 
Unapo ila kwa vile hujijui, unajikuta haujaichangamkia fursa.
  1. Kitu cha kwanza chenye thamani kubwa katika utayarishaji wa kipindi cha TV, ni kuwa na interesting contents. Harakati za Uhuru ni interesting contents.
  2. Kitu cha pili ni kumpata msimulizi mwenye kipaji, hiki unacho.
  3. Kitu cha tatu ni cha gharama sana kwenye utengenezaji wa TV program ni Production Cost. Gharama za kuandaa kipindi zikihumuisha vifaa na location. Kwa vile kila mara nakuona ukialikwa TV mbalimbali, Azam, TBC, ITV, Imaan etc, next time ukialikwa, waeleze hao waalika wako utayari wako kufanya nao a weekly/Monthly program as a resource person, ili TV ndio igharimie production cost na kutoa airtime kurusha bure.
  4. Mimi nina vifaa vya production kupitia kampuni yangu ya PPR, ila kwa vile PPR ni an independent company, nikikufanyia production, TV watadhani nimelipwa mamilioni hivyo hawatakubali kurusha kipindi bure nao watataka kulipwa mamilioni na kugeuka ni biashara wakati lengo ni public information program.
  5. Vinginevyo wewe mwenyewe unaweza kabisa kuanzisha your own production, na ukawauzia contents hao TV, tena hadi BBC, DW na VOA wanaweza kulipia karibu mitaa huu Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TV
Kipaji hiki unacho.

P
Pascal,
Ahsante sana.
 
Hakuna ubishi kuhusu hili. Tangu akiwa PM Salim alikubalika sana Bara. Vikao vya uteuzi Wazanzibar wakampa 'label ya Hizbu'. Ni kuanzia wakati huo neno hilo likapata umaarufu ingawa lilikuwepo miaka mingi. Baada ya tuhuma za Hizbu Salim alitoweka katika siasa za nchi hadi Tume ya Warioba na wala katika tume hakusika tena. Hizi ni fitna zao wenyewe wakizificha katika zulia la Tanganyika na Nyerere

Hata uzanzibar haujui! hajui lolote wala chochote in fact kila tunachomwambia ni news kwake

Mimi nilishaacha, Fundi kuna mengi ya muhimu ya kujadili , ignore him
Umebaki kujiandikia mwenyewe na kujipa like 😝😝😝😝😝
 
Nimekuuliza halali Na haramu kwa mujibu wa dini gani hujajibu,

Nimekuuliza halali ni nini Na haramu ni nini

Umekimbia umekuja kujifichia huku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una ulizwa swali Mapinduzi ni Halali au Haramu hujibu swali una kuja kuuliza tena ilo swali kwa namna yako huu si ujuha huu
mm najifunza kupitia uzi huu lakini kushindwa kwako kujibu swali hilo nakuona kama ukilaza hivi mzee wangu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una ulizwa swali Mapinduzi ni Halali au Haramu hujibu swali una kuja kuuliza tena ilo swali kwa namna yako huu si ujuha huu
mm najifunza kupitia uzi huu lakini kushindwa kwako kujibu swali hilo nakuona kama ukilaza hivi mzee wangu
Halali au haramu kwa mujibu wa sheria ipi ? Au dini ipi ? Mbona mnapata kigugumizi?

Nakusaidia haya ya Zanzibar Si Mapinduzi ni mavamizi ya Laanatullahi Nyerere Na Okello wake Mkatoliki
 
Kaondoka madarakani nchi imefilisika , Kauwa maelfu ya wazanzibari katika uvamizi wake na wengi wa viongozi wa Zanzibar alishiriki katika mauwaji .

Mzimu wake unaendelea kuitesa Tanganyika mpaka leo. Kila uchaguzi wanauliwa watu Zanzibar na majeshi yake yaliyopiga kambi kila mtaa pamoja na usalama wake
Wapaka ma.vi kama huyu huwaga hawakosekanagi pale mtu anaposifiwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una ulizwa swali Mapinduzi ni Halali au Haramu hujibu swali una kuja kuuliza tena ilo swali kwa namna yako huu si ujuha huu
mm najifunza kupitia uzi huu lakini kushindwa kwako kujibu swali hilo nakuona kama ukilaza hivi mzee wangu
Zawadi yako ya mwaka mpya hii

 
Zawadi yako ya mwaka mpya hii

sina huo muda wa kufungua hiyo link
swali
Mapinduzi ni halali au haramu?

jibu kulingana na ulivo si una leta swali juu ya swali huo unakua uzwazwa /uduanzi
 
sina huo muda wa kufungua hiyo link
swali
Mapinduzi ni halali au haramu?

jibu kulingana na ulivo si una leta swali juu ya swali huo unakua uzwazwa /uduanzi
Mapinduzi yapi?
Jibu swali haramu au halali kwa dini ipi au sheria ipi ?
Pombe kwa Kiislamu ni haramu lakini kwa Ukristo tunaambiwa ni halali

Hata ndoa Za jinsia moja baadhi ya makanisa ni halali Na Mengine ni haramu
 
Watanganyika wanaingilia vipi masuala ya Zanzibar?
Nadhani wa kulalamika ni Watanganyika. Fikiria hivi, mbunge wa Zanzibar mwenye kura sawa na wa Tanganyika anachaguliwa na watu 2,500. Diwani wa Sharif Shamba anachaguliwa na watu zaidi ya 5000, siyo Mbunge ni Diwani

Katika Bunge la JMT Mbunge wa Zanzibar ana kura sawa na Mbunge wa Ilala au Temeke.

Tena kura hiyo inahusu mambo yasiyohusu Zbar yaani yasiyo ya muungano!

Mbunge wa Zbar anapewa kamati ya Bunge la JMT yasiyohusu mambo ya muungano.

Yaani mbunge aliyechaguliwa na watu 2,500 yupo katika kamati ya mambo yasiyomhusu.

Hili ni moja tu, lakini pia watu Milioni 1.5 ambao nusu yao wanaishi Bara wanatengewa nafasi 21% ya ajira za Tanganyika kuliko mkoa wa Dar es Slaam, Mwanza au Arusha
Mliopinduana ni nyie. Mliomuua Karume ni nyie. Mliomkataa Salim Ahmed Salim ni nyie. Mliowakamata mashehe wa uamsho ni nyie.
Masheikh walikamatwa na Dr Shein miaka zaidi ya 10 baada ya Nyerere kufariki
Yote hayo bado mnataka tuamini kuwa mnatupenda bali sisi ndio hatuwapendi?
Upendo kwa Wazanzibar ni one way! kwani husikii wakidai kugawana Misaada na Mikpo?
Lini umesikia wanachangia muungano, wanalipa madeni ya nchi!
Hayo mahusiano unayoyazungumzia yataendelea kuwepo kama tutatengana kwa kuheshimiana sio kwa kujashifiana kila kukicha. Huku mnakotaka kutupeleka sio kuzuri.

Amandla...
Tanganyika inahitajika, vinginevyo hawa watu milioni 1 wataendelea kutusumbua
Mchango wao katika Taifa hili sijui kama unaonekana au upo, sina uhakika

Tunataka Tanganyika nao wakae na Zbar yao halafu tuwe na mambo 7 ya Warioba wakitaka

Muungano umekuwa zigo kwa Mtanganyika, ni wakati waliokatika mbeleko wateremke
 
Una ulizwa swali Mapinduzi ni Halali au Haramu hujibu swali una kuja kuuliza tena ilo swali kwa namna yako huu si ujuha huu
mm najifunza kupitia uzi huu lakini kushindwa kwako kujibu swali hilo nakuona kama ukilaza hivi mzee wangu
Huyo bwana mdogo ni kumsamehe tu , hajui historia ya Zbar maswali ya mapinduzi ni kumuonea

Moyes , swali hilo nimewauliza akina Mohamed Said, Ghassani , Jusa , Ahmed Rajabu n.k. hakuna jibu. Ahmed Rajabu alizunguka zunguka kupitia gazeti la Raia Mwema lakini hakutoa jibu

Mtu aliyewahi kusimama na kusema bila kumung'unya maneno ni Mansour Himid. Huyu bwana namheshimu kwa misimamo yake. Alipokuwa CCM alikosana nao kwa misimamo yake thabiti.
Alipohamia CUF alibaki na misimamo yake lakini aliwaambia wazi ' Mapinduzi Daima'

Inaweza kuwa ni kutokana na historia ya mzazi wake hata hivyo misimamo yake ni thabiti kwa kile anachoona ni sahihi kwake na hili la mpainduzi yeye analisema bila kumeza maneno

Watu kama VP O. Masoud wana wakati mgumu sana wa kuamua iwapo mapinduzi ni Halali au ni Haramu.
 
Huyo bwana mdogo ni kumsamehe tu , hajui historia ya Zbar maswali ya mapinduzi ni kumuonea

Moyes , swali hilo nimewauliza akina Mohamed Said, Ghassani , Jusa , Ahmed Rajabu n.k. hakuna jibu. Ahmed Rajabu alizunguka zunguka kupitia gazeti la Raia Mwema lakini hakutoa jibu

Mtu aliyewahi kusimama na kusema bila kumung'unya maneno ni Mansour Himid. Huyu bwana namheshimu kwa misimamo yake. Alipokuwa CCM alikosana nao kwa misimamo yake thabiti.
Alipohamia CUF alibaki na misimamo yake lakini aliwaambia wazi ' Mapinduzi Daima'

Inaweza kuwa ni kutokana na historia ya mzazi wake hata hivyo misimamo yake ni thabiti kwa kile anachoona ni sahihi kwake na hili la mpainduzi vi yeye analisema bila kumeza maneno

Watu kama VP O. Masoud wana wakati mgumu sana wa kuamua iwapo mapinduzi ni Halali au ni Haramu.

Mapinduzi ni halali au haramu kwa sheria ipi ?
Unajijibu mwenyewe???? 😝😝😝
 
Nadhani wa kulalamika ni Watanganyika. Fikiria hivi, mbunge wa Zanzibar mwenye kura sawa na wa Tanganyika anachaguliwa na watu 2,500. Diwani wa Sharif Shamba anachaguliwa na watu zaidi ya 5000, siyo Mbunge ni Diwani

Katika Bunge la JMT Mbunge wa Zanzibar ana kura sawa na Mbunge wa Ilala au Temeke.

Tena kura hiyo inahusu mambo yasiyohusu Zbar yaani yasiyo ya muungano!

Mbunge wa Zbar anapewa kamati ya Bunge la JMT yasiyohusu mambo ya muungano.

Yaani mbunge aliyechaguliwa na watu 2,500 yupo katika kamati ya mambo yasiyomhusu.

Hili ni moja tu, lakini pia watu Milioni 1.5 ambao nusu yao wanaishi Bara wanatengewa nafasi 21% ya ajira za Tanganyika kuliko mkoa wa Dar es Slaam, Mwanza au Arusha

Masheikh walikamatwa na Dr Shein miaka zaidi ya 10 baada ya Nyerere kufariki

Upendo kwa Wazanzibar ni one way! kwani husikii wakidai kugawana Misaada na Mikpo?
Lini umesikia wanachangia muungano, wanalipa madeni ya nchi!

Tanganyika inahitajika, vinginevyo hawa watu milioni 1 wataendelea kutusumbua
Mchango wao katika Taifa hili sijui kama unaonekana au upo, sina uhakika

Tunataka Tanganyika nao wakae na Zbar yao halafu tuwe na mambo 7 ya Warioba wakitaka

Muungano umekuwa zigo kwa Mtanganyika, ni wakati waliokatika mbeleko wateremke

waTanganyika mngalidai kiti chenu UN kama sisi Wazanzibari Kama kweli tunawanyonya


 
Back
Top Bottom