Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Wakati huo timu zilikua 8 tu sasa 16.Mumeo na muundo wa Mwaka 1998 sio huu wa Sasa ukindika jipe nafasi ya kutafakarisha watu sio kuleta ushabiki maandazi.
Ok. Baada ya 1998 ni miaka mingap imepita hko kitimu kinaingia tena HATUA HIO NGUMU KWAKE.Wakati mnafurahia Tanzania kuingiza timu mbili group stage klabu bingwa Kwa mara ya kwanza mwaka huu basi msisahau Tanzania ilipoingiza timu Kwenye group stage ya klabu bingwa ilikuwa 1998 young Africans ilipowatoa watanzania tongotongo Kwa kutinga group stage
Unazungumzia mara ya kwanza wakati kuna mtu nchini amecheza mara sita?Wakati mnafurahia Tanzania kuingiza timu mbili group stage klabu bingwa Kwa mara ya kwanza mwaka huu
Hesabu miaka ambayo Yanga alikuwa bingwa toka 1998 akashindwa.mingine mweke kwenye kushindwa ubingwa wa tanzania.kuna klabu ilishinda ubingwa ndio ilshindwa kwa kuwa ni klabu moja tu aliwakirishal.hizo hesabu za std 4 ya kina Jemedari na Oruma msituambukizeOk. Baada ya 1998 ni miaka mingap imepita hko kitimu kinaingia tena HATUA HIO NGUMU KWAKE.
Sasa mbona hawa mbumbumbu wanatamba sana utadhani wao ndio wakwanza?Wakati mnafurahia Tanzania kuingiza timu mbili group stage klabu bingwa Kwa mara ya kwanza mwaka huu basi msisahau Tanzania ilipoingiza timu Kwenye group stage ya klabu bingwa ilikuwa 1998 young Africans ilipowatoa watanzania tongotongo Kwa kutinga group stage
😂😂 mkuu wewe ni great thinkerWakati huo timu zilikua 8 tu sasa 16.
Wakati huo timu inalazimika kucheza mechi 6 ili ifuzu hivi sasa mechi 2 bila kushinda hata mechi moja unaingia group stage.
[emoji57][emoji57][emoji57] nyooooooh!Sio group stage tu
Watu wameshatinga nusu fainali..... Fuatilia historia rudi nyuma ya hiyo miaka 25 utawapata Lunyasi kucheza nusu fainali..
Karibuni Kiumeni, Jambo Lolote msilolijua tuulizeni sisi....Huku Simba ni Wazoefu group stage CL.
Tabu ni umezaliwa mwaka 2000.Hivi Tanganyika ilipata uhuru mwaka gani?[emoji57][emoji57][emoji57] nyooooooh!
Mushaanza ujinga wenu mapema,
sio?
Mbona CAF hawalitambui hilo?
Kwani huo muundo wa zamani walikuwa wanacheza Mdako?Mumeo na muundo wa Mwaka 1998 sio huu wa Sasa ukindika jipe nafasi ya kutafakarisha watu sio kuleta ushabiki maandazi.
Hii mipumbavu ya Uto inakera sana. Ila siwezi kuwalaumu;msemaji wao alishasema kule wenye akili ni wawili tu, na hajasema tena kama hiyo idadi ilishaongezeka.Nimeamini yanga ina mashabiki wapumbavu sana mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali na Ghazl El Mahalla ya misri wakati huo ikiitwa African champions of cubs now ndo caf champions league
Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.Sio group stage tu
Watu wameshatinga nusu fainali..... Fuatilia historia rudi nyuma ya hiyo miaka 25 utawapata Lunyasi kucheza nusu fainali..
Karibuni Kiumeni, Jambo Lolote msilolijua tuulizeni sisi....Huku Simba ni Wazoefu group stage CL.