1998 Mara ya kwanza Kwa timu ya Tanzania kucheza group stage

1998 Mara ya kwanza Kwa timu ya Tanzania kucheza group stage

Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.
View attachment 2771480

Nusu fainali ya simba ya CACL hii hapa.



IMG_5407.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nataraji huu ujinga wa kuleta Total Energies CAF Chamipons League utakwisha sasa kwa ushahidi huu hapo juu.
Na wale wasioelewa kuna tuition za kiingereza nyingi.
 
Nusu fainali ya simba ya CACL hii hapa.



View attachment 2771565
Hii page ni official page ya CAF na kwenye fainal ya nusu fainali Yanga commentators nae alisema Yanga ndio timu ya kwanza kuingia nusu fainali.

Yaani ww unatumia Wikipedia kama references, hivi unajua Wikipedia hata mimi na ww tuna access ya kumake changes kwenye hilo html file. Wasomi huwaga hawa references from Wikipedia, go to the reliable sources CAF website na account zake za Social Network.

Ficha ujinga wako Wikipedia sio reliable sources.
 
Wewe ndio haujui kiingereza. Ndio maana hujaelewa First ever hapo ina maana gani.Tuition zipo.Wacha kukurupuka.
Daah fiche ujinga wako.Hii nimeitoa kwenye dictionary ya Oxford.
Screenshot_20231004_142753_Chrome.jpg


Kama hujui unaweza kukaa kimya.

Screenshot_20231004_142753_Chrome.jpg
 
Bado pamoja na reference ya Oxford Dictionary hujaelewa first ever hapo kwenye hiyo tweet ina maana gani.
Ina maana Simba haijawahi kufika semifainali ya Champions League ya CAF tokea mdhamini awe Total Energies. Total Energies walianza kudhamini CAF Champions League tokea mwaka 2016.Kabla ya hapo mashindano hayo yalikuwa yanaitwa nini?Au unafikiri CAF Champions League ilianza mwaka 2016?
Tuandikie wewe timu gani ziliingia CAF Chamipons Cup mwaka 1974?
 
Bado pamoja na reference ya Oxford Dictionary hujaelewa first ever hapo kwenye hiyo tweet ina maana gani.
Ina maana Simba haijawahi kufika semifainali ya Champions League ya CAF tokea mdhamini awe Total Energies. Total Energies walianza kudhamini CAF Champions League tokea mwaka 2016.Kabla ya hapo mashindano hayo yalikuwa yanaitwa nini?Au unafikiri CAF Champions League ilianza mwaka 2016?
Tuandikie wewe timu gani ziliingia CAF Chamipons Cup mwaka 1974?
Endelea kujipa Moyo.

Tena hapo mwenye lugha yake kasisitiza First-Ever - NEVER HAVING HAPPENED or BEEN EXPERIENCED BEFORE.

HAPPENED & EXPERIENCED.
 
Mwalimu wako alikuwa ana kazi kubwa sana kukufundisha.Na kweli inataka moyo.Hujaelewa na hutaelewa.Kiingereza kwako ni tatizo kubwa.Hujui hata neno linatumikaje kwenye context mbalimbali.Hujajibu swali nililokuuliza mwaka 1974 timu zipi ziliingia semifainali ya African Champions Cup?Ilikuwa sio ligi bali mtoano.
 
Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.
View attachment 2771480
Nimekueleza Fatilia michuano ya CAF uwe unaelekea miaka ya nyuma...Utawaona wana Lunyasi...!

Ukiwa mvivu utaishia kusoma page za juzi zinazoelezea Champions League...huko nyuma haikuwa inaitwa Champions league.
 
Nimekueleza Fatilia michuano ya CAF uwe unaelekea miaka ya nyuma...Utawaona wana Lunyasi...!

Ukiwa mvivu utaishia kusoma page za juzi zinazoelezea Champions League...huko nyuma haikuwa inaitwa Champions league.
Sasa hao wanao miliki rekodi hawa kujui.
 
Nimeamini yanga ina mashabiki wapumbavu sana mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali na Ghazl El Mahalla ya misri wakati huo ikiitwa African champions of cubs now ndo caf champions league
Mwaka 74 hakukua na group stage Kwa faida yako na mbumbumbu wengine mfumo wa group stage umeanza 1997.
 
Anayebisha simba hakucheza nusu fainali ya CAF mwaka 1974 naomba alete hapa ushahidi wa timu zipi zilicheza nusu fainali mwaa huo.


Kuna laki tano hapa.


It’s open chalenge to anyone!!!
 
Back
Top Bottom