clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.
View attachment 2771480
Huko shuleni mluenda kusomea ujinga?
Cc;Faiza fox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.
View attachment 2771480
Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.
View attachment 2771480
Sasa hapo kwenye hiyo twitter wamedanganya?Huko shuleni mluenda kusomea ujinga?
Cc;Faiza fox
Wewe ndio haujui kiingereza. Ndio maana hujaelewa First ever hapo ina maana gani.Tuition zipo.Wacha kukurupuka.Sasa hapo kwenye hiyo twitter wamedanganya?
Hii page ni official page ya CAF na kwenye fainal ya nusu fainali Yanga commentators nae alisema Yanga ndio timu ya kwanza kuingia nusu fainali.
Daah fiche ujinga wako.Hii nimeitoa kwenye dictionary ya Oxford.Wewe ndio haujui kiingereza. Ndio maana hujaelewa First ever hapo ina maana gani.Tuition zipo.Wacha kukurupuka.
Endelea kujipa Moyo.Bado pamoja na reference ya Oxford Dictionary hujaelewa first ever hapo kwenye hiyo tweet ina maana gani.
Ina maana Simba haijawahi kufika semifainali ya Champions League ya CAF tokea mdhamini awe Total Energies. Total Energies walianza kudhamini CAF Champions League tokea mwaka 2016.Kabla ya hapo mashindano hayo yalikuwa yanaitwa nini?Au unafikiri CAF Champions League ilianza mwaka 2016?
Tuandikie wewe timu gani ziliingia CAF Chamipons Cup mwaka 1974?
Nimekueleza Fatilia michuano ya CAF uwe unaelekea miaka ya nyuma...Utawaona wana Lunyasi...!Acha kuwadanganya wenzako ,tembelea page za CAF,wenyewe hawakufaham kama ushawahi kufika nusu fainali.
View attachment 2771480
Sasa hao wanao miliki rekodi hawa kujui.Nimekueleza Fatilia michuano ya CAF uwe unaelekea miaka ya nyuma...Utawaona wana Lunyasi...!
Ukiwa mvivu utaishia kusoma page za juzi zinazoelezea Champions League...huko nyuma haikuwa inaitwa Champions league.
Mwaka 74 hakukua na group stage Kwa faida yako na mbumbumbu wengine mfumo wa group stage umeanza 1997.Nimeamini yanga ina mashabiki wapumbavu sana mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali na Ghazl El Mahalla ya misri wakati huo ikiitwa African champions of cubs now ndo caf champions league