20 Greatest Tanzanians Of All Time

Ungefafanya sub, ondoa Mtikila, Samatta na Nancy Sumari.
Weka Jaji Warioba, Edward Lowassa na Freeman Mbowe
 
What about Filbert Bayi?
 
21. Kalerema Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( GENTAMYCINE )

adriz na Bujibuji Simba Nyamaume mpo?
 
at list uyo kaweka rekodi nying kweny mchezo wa Riadha ila naye bado sio Greatest of all time changamoto kubwa ya nchi yetu bado hatujawekeza kweny michezo kwa level kubwa ila izo rekodi zinavunjwa vizuri tu kama tukiwa serious
Kuna mwanariadha mwingine yeyote Tanzania unaweza kumlinganisha na yeye? If your answer is NO basi Filbert Bayi is GOAT wa riadha Tanzania, lakini kama yupo mtaje.
 
Kuna mwanariadha mwingine yeyote Tanzania unaweza kumlinganisha na yeye? If your answer is NO basi Filbert Bayi is GOAT wa riadha Tanzania, lakini kama yupo mtajma
mim namanisha kwa sport in General Tanzania bado hatuna mtu wa kumuita Goat acha kujidanganya
 
Inamaana Freeman Mbowe hayupo hapo? Yani Nancy sumari ana impact gani jamani au unazungumzia kwny engo zipi? ...
Ongezea hapo Dimond Platnumz

Raymanu KE

Yani mwanamme mkata viuno na muhamasishaji ushoga na mmomonyoko wa maadili nae awe kwenye jopo la ma greatest?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…