Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
21.Diamond Platinumz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What about Filbert Bayi?kweny michezo naona bado hatujafikia kuwa na mtu wa kuimuita huyu ni Greatest of all time sababu kwa level aliyefikia Samata tukiwa serious sana na uwekezaji wa soka la vijana hasa kweny level ya Globally vijana wengi tu iyo level wanaweza kuifikia ni vile tu soka letu ni changa japo samata nampa heshima yake kwa pale alipofika ila sio Greatest of all time in Tanzania
kwan Abraham anakumbukwa USA je yeye alimzid mr.Washington ? Chuki ni adui wa haki
Mnataka kusema wanasiasa pekee ndio tuwatambue kwenye list hii??Ungefafanya sub, ondoa Mtikila, Samatta na Nancy Sumari.
Weka Jaji Warioba, Edward Lowassa na Freeman Mbowe
21. Kalerema Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( GENTAMYCINE )List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.
kumbuka haya ni maoni binafsi tu
1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
at list uyo kaweka rekodi nying kweny mchezo wa Riadha ila naye bado sio Greatest of all time changamoto kubwa ya nchi yetu bado hatujawekeza kweny michezo kwa level kubwa ila izo rekodi zinavunjwa vizuri tu kama tukiwa seriousWhat about Filbert Bayi?
What about Filb
Kuna mwanariadha mwingine yeyote Tanzania unaweza kumlinganisha na yeye? If your answer is NO basi Filbert Bayi is GOAT wa riadha Tanzania, lakini kama yupo mtaje.at list uyo kaweka rekodi nying kweny mchezo wa Riadha ila naye bado sio Greatest of all time changamoto kubwa ya nchi yetu bado hatujawekeza kweny michezo kwa level kubwa ila izo rekodi zinavunjwa vizuri tu kama tukiwa serious
mim namanisha kwa sport in General Tanzania bado hatuna mtu wa kumuita Goat acha kujidanganyaKuna mwanariadha mwingine yeyote Tanzania unaweza kumlinganisha na yeye? If your answer is NO basi Filbert Bayi is GOAT wa riadha Tanzania, lakini kama yupo mtajma
Inamaana Freeman Mbowe hayupo hapo? Yani Nancy sumari ana impact gani jamani au unazungumzia kwny engo zipi? ...
Ongezea hapo Dimond Platnumz