Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"NEWTON 3RD LAW OF MOTION"Aya sasa...For every action there is equal and opposite reaction
Kwahiyo Vanessa anafaidi sana eeBarbuu ndo alikuwa amenogewa na mikito ya konki.Kama jux anavyotafutwa sn na wapuliwaji et anawakita vzr
Barbuu ndo alikuwa amenogewa na mikito ya konki.Kama jux anavyotafutwa sn na wapuliwaji et anawakita vzr
Moro United ilipouzwa Dar iliishia wapi?Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Kumbe huu mchezo ni kipaji cha Tanzania one anayetoka Kijani.Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Waligombania kipato cha upambe toka kwa huyo tajiri na si vingenevyo kama unavyotaka tuamini.
Naona KONKI MASTER kawavuluga mapunga mpaka mmepagawa mmeanza kuleta mambo ya 2001.
Tulieni dawa iwaingie sawa
Mkuu rm tell me,Sisi wahenga tunaukumbuka vizuri ugomvi wa mwaka 2001 wa Mr.nice na konki..dudu baya walipokuwa na ugomvi mkubwa ikitajwa walikuwa wakimgombe tajiri maarufu..barbou wa mji kasoro bahari..
Nani anaukumbuka ugomvi huu?nini ilikuwa chanzo?mwenye data atiririke.
Mchezo mchafuSiasa Si hasa!
Moro United ilipouzwa Dar iliishia wapi?
Nipe link ya document yoyote itakayonisaidiaFuatilia Mkuu... spoon feeding sio nzuri.... kwa ufupi tu... Moro United... ndio timu inayoongoza kuuzwa na kubatizwa jina jipya kila baada ya kipindi flani... ndio hiyo hiyo iliwahi kuitwa Kajumulo World Soccer....
Unapambana kutengeneza empire for years af anakuja tu mwanasihasa from no where anavunja kila kitu.. THIS IS AFRICAAnaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Tushikamane.....Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.