2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)

Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!

Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!

Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)

Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!

Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Moro United ilipouzwa Dar iliishia wapi?
 
Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)

Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!

Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!

Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)

Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!

Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Kumbe huu mchezo ni kipaji cha Tanzania one anayetoka Kijani.
 
Sisi wahenga tunaukumbuka vizuri ugomvi wa mwaka 2001 wa Mr.nice na konki..dudu baya walipokuwa na ugomvi mkubwa ikitajwa walikuwa wakimgombe tajiri maarufu..barbou wa mji kasoro bahari..

Nani anaukumbuka ugomvi huu?nini ilikuwa chanzo?mwenye data atiririke.
Mkuu rm tell me,
Ulkua na maana gani kuanzisha huu uzi,
Target useme dudu na nice ni ma gasho au list lake limekugusa unataka umsingizie.
Kama kweli muhenga,leo umejiongezea cheo kipya,muhenga mjinga .
Thread zingine bure kbsa.
#Pathetic
 
Fuatilia Mkuu... spoon feeding sio nzuri.... kwa ufupi tu... Moro United... ndio timu inayoongoza kuuzwa na kubatizwa jina jipya kila baada ya kipindi flani... ndio hiyo hiyo iliwahi kuitwa Kajumulo World Soccer....
Nipe link ya document yoyote itakayonisaidia
 
Mmechelewa si mnhamuweka wazi mnasubir mpka awataje ndio na nyie mnajifanya mnakuja na yenu,Dudu alimtandika Nice simply kwa kuwa Nice miaka hyo alikuwa ana kiburi nyodo nk
Konki! Konki! Konki master! Kawashika pabaya
 
Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)

Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!

Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!

Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)

Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!

Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Unapambana kutengeneza empire for years af anakuja tu mwanasihasa from no where anavunja kila kitu.. THIS IS AFRICA
 
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
 
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
Tushikamane.....
Dudu Baya wkt anasoma TUSHIKAMANE.... alikuwa anashinda soko la mitumba 77! Baadae alihamia Getto 1 la mshkaji wk, maeneo ya Mafiga TANK LA ZAMANI...Milano Str....
Mkuu uko vizuri... Mamende unafahamiana nao.... Mapunga unafahamiana nao...
 
Back
Top Bottom