Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaimbwa sana na kina Ally Choki huyu!Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
moro United ilinunuliwa za bakhresa na sasa inaitwa azam sports clubMoro United ilipouzwa Dar iliishia wapi?
AaaaahBarbuu ndo alikuwa amenogewa na mikito ya konki.Kama jux anavyotafutwa sn na wapuliwaji et anawakita vzr
Asantemoro United ilinunuliwa za bakhresa na sasa inaitwa azam sports club
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
Kumbe visasi Magu kafanya kurithi tu?Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Wanasiasa wote ni watu wa visasi tu,Si JK wala mwenzake huyuAnaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Utaambiwa JK alikua na upendo na hakuwa mtu wa visasi,teh tehUnapambana kutengeneza empire for years af anakuja tu mwanasihasa from no where anavunja kila kitu.. THIS IS AFRICA
Nipe link ya document yoyote itakayonisaidia
Ha ha ha mkuu...pandagi chiza napo kuna karume!Nakushauri pita KARUME..... pale kuna full details
moro United ilinunuliwa za bakhresa na sasa inaitwa azam sports club
Jk alikuwa anajua jinsi ya kula sahani moja na wabaya wake, ilikuwa kimya kimyaKumbe visasi Magu kafanya kurithi tu?
Halafu kuna wanafiki leo wanapiga matarumbeta msoga alikuwa poaaaaaaa! Stori za visasi ziko kibao, leo hii anaonekana poaaaa...maisha bila unafiki hayaendi!Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!