2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

Kaimbwa sana na kina Ally Choki huyu!
 
Hivi maana ya oil chafu katika konki maana yake nini
 

Merey kawala wasanii wengi sanaaa na hilo halina ubishi, kinyaiya, mla rambi rambi
 
Kumbe visasi Magu kafanya kurithi tu?
 
Wanasiasa wote ni watu wa visasi tu,Si JK wala mwenzake huyu
 
Malimwengu
 
Asili ya Moro United ni kuuzwa uzwa na kubadilishwa badilishwa Majina kwa timu ya SIGARA (wakati wa Privatization). Ilipouzwa ilinunuliwa na Kajumulo na kuitwa Kajumulo World Soccer... baadae Kaju akaiuza kwa Iddy Azan na kuitwa TWIGA Fc (corrections allowed).... baada ya TWIGA ndio ikauzwa kwa Balhabou na hapo yeye akaibatiza Moro United! Azam FC ilianzishwa rasmi 2007 na ilipitia ngazi zote za kupanda daraja.... Azam Fc ilipandia daraja Dodoma na mfungaji wa bao liliwapandisha ni John Bocco! Kihistoria, Azam Fc ni timu ya Vibarua wa Viwanda vya Azam.... ambao walilenga kujiburudisha kabla Yusuf Bakhressa (rafiki wa akina Shekhan Rashid na Machupa) kuigeuza fursa na kuanzisha harakati za kuipandisha daraja kwa "mbinu zote mbadala"
moro United ilinunuliwa za bakhresa na sasa inaitwa azam sports club
 
Kweli konki kawatia adabu mpaka mnaanza kuleta story za ki..ngese. Letu ni moja tu hatuhitaji mashoga Tanzania full stop. Ukitaka kuishi Tanzania kuwa mwanaume tia hata malaya wa buguruni sio unatulembulia wanaume wenzio fala nyie
 
Halafu kuna wanafiki leo wanapiga matarumbeta msoga alikuwa poaaaaaaa! Stori za visasi ziko kibao, leo hii anaonekana poaaaa...maisha bila unafiki hayaendi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…