2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

Kumbe mnnaanzia huko mikoani mkija Dar huku mnajidai wanaume wa Dar kumbe mambo yenu mmeanzia huko maporini kwenu!
 
Hahahahaaa.. unajikuta mzee wewe
Huyu jamaa wanaemzungumzia nakumbuka around 2002 au 2005 hivi kuna ndugu yangu Dj alikuwa anafahamiana nae, alitaka aniagize full set ya muziki kwa ajili ya club gani sijui alikuwa anataka kufungua.
 
Miaka hiyo niko primary bado
Huyu jamaa wanaemzungumzia nakumbuka around 2002 au 2005 hivi kuna ndugu yangu Dj alikuwa anafahamiana nae, alitaka aniagize full set ya muziki kwa ajili ya club gani sijui alikuwa anataka kufungua.
 
Unaweza kuta nyinyi ni kina Misago sijui B...12 mnatunga hizi mambo...
 
Mbona mleta mada kama na yeye ni sawa rutty wa kiume. Maana ndiyo waliomchukia konkykonky oil chafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…